Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Mguu sawa. Mkeka wa Mama Umechanika analeta mpya

Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Mguu sawa. Mkeka wa Mama Umechanika analeta mpya

Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Ali Rufunga yupi ?! Kama yule aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga alishafariki.
 
Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Umewaza kama kocha mbovu zlatktco au zahera
 
Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Ndiyo hao hao wanasaidia kukwamisha Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, waache yawatafune
 
Kuchanika kwa mkeka sio mwisho wa kufuturu futari,nilibaki nalia siku Ile mlinzi wa legasi ya jiwe alivyopewa ulozi wa Malawi,nikalinganisha tukio lile na Mzee mmoja kule ludewa kwa wapangwa ukimkuta kilabuni usinunue pombe ukinunua pombe halafu unakunywa hulewi wewe, matokeo yake analewa yule Mzee mlozi,wewe unaishiwa Hela tu.
ukinunua pombe halafu unakunywa hulewi wewe, matokeo yake analewa yule Mzee mlozi,wewe unaishiwa Hela tu.[emoji23]
 
Na mimi nimo inshaalah...
 
Vibaraka walionunuliwa wote wapigwe chini. Full stop
 
Tuna hitaji kwanza maboresho jeshi la polisi. Mh. Rais alizuia usumbufu wa trafiki, juzi Siro kamjibu kaagiza kamatakamata nchi nzima.
Hivi kiongozi mkuu kwenye hii nchi ni Siro au Mama Samia?
 
Tuna hitaji kwanza maboresho jeshi la polisi. Mh. Rais alizuia usumbufu wa trafiki, juzi Siro kamjibu kaagiza kamatakamata nchi nzima.
Hivi kiongozi mkuu kwenye hii nchi ni Siro au Mama Samia?
Kamata Kamara ya watu gani jombaa?
 
Mwanri asahau Kama amekupa hela umpigie promo we kula tu mama hataki wazee aisee. Tena kidogo angekuwa mvaa kobazi angeweza hata akarudishwa Ila kwa sasa alee wajukuu au ajiunge na akina Joti si anaweza kuwa comedian wa TOT band ya CCM.
Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
 
Salaam Wakuu,

Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.

Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.

Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.

Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.

Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.

Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Kwani wana tija gani hao?
 
Back
Top Bottom