pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hivi ni kazi nzuri inayofanywa na seikali au inayofanywa na mama SSH? Tumepoteza mwelekeo sana TzKuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Happy, mashinji, Kalist Lazaro, na wengine walionunuliwa na yule marehemu mbaguzi watarudi mtaani.Unataka uniambie Yule Jamaa wa mara wanaweza mpushi Pembeni
Mwantumu Mahiza kwa kazi gani aliofanya?Salaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Huwa haiji kwa bahati mbaya. Huanza hivihivi kisha huwa kweli.Hizo Ni ramli chonganishi[emoji4]
Kutesa kwa zamu mzeeMwantumu Mahiza kwa kazi gani aliofanya?
Kama lengo ni Ally happy kwanini wazunguuke mbuyu?
Mwanri tayari ameshastaafu.Mwanry yule wa sukuma ndani?😀 Apewe tu maana anafaa...
Mwanry alifanya dhambi ya kukufuru anaijutia Hadi kasomea uinjilisti.Mwanri tayari ameshastaafu.
Huyu angepewa ubunge kabisaHawa Ghasia
Tuna bahati mbaya sana ya kuwa na marais wasiojuwa walifanyalo na wanatawala kwa amri ya kukilinda chama na upuuzi wake. Wasingemuua Magufuli kwa kweli tungefika mbali sana. Japo naye alikuwa na changamoto zake lakini alikuwa anatupeleka tunapostahili. Huyu Mama sasa anazingua sana mpaka inakuwa kero. Hapa Dar mapolisi wako mitaani kutafuta wanaume wanaonunua machangu ila huko Dodoma wabunge wako bize kulala na kuhonga machangu mchana kweupeee hasemi kitu. Nako Zanzibar, vijana wa kiarab koko wanashikwa shikwa matako na Italians mchana kweupe hawasemi kitu ila mbantu akionekana anakula mchana anapigwa na rais yuko kimya tu akichekelea. Yaani sijuwi tunakwenda wapi.Halafu kuna RAS & DAS. Na bado watu wanataka kumuona Rais na misafara yake akitatua matatizo ya wanyonge hadi mitaani na vijijini!
Nchi ina pesa nyingi sana hii. Overheads za serikali zinatisha. Watawala wanajiweka sawa kwa matumizi ya anasa. Hakuna wa kujua, kuhoji wala kuchukua hatua.
Yule mzee alikuwa ananifurahisha sana na ana roho nzuri anaonekana ile ilikuwa tishia tuu wafanye kaziMwanry yule wa sukuma ndani?😀 Apewe tu maana anafaa...
Yule wa kuwatwanga wastaafu watakaochomoza vichwa vipiSalaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Sasa mama anarudi...... kaheni mkao wa kula nyie msiotimiza vyema wajibu wenuAcheni kuwarusha roho wakuu wetu. Hakuna cha mkeka wala jamvi, nchi imeshatulia na kazi inaendelea
Kwa hiyo unataka wakuu wa mikoa waimbe mapambio ya kumsifia mama wakati bei zimependa kuanzia vifaa vya ujenzi,vyakula mwaka wa pili sasa hata kabla ya vita ya Urusi na Ukraine haijaanza,kipi cha kumsifia? labda waanze kutusimulia Royal tour na safari za Marekani.Salaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.
Never on Earth, ukiendelea kuandika namna hii utapoteza credibility yako on JFSalaam Wakuu,
Baada ya rais Samia kukaa mwaka mmoja na siku kadhaa madarakani, macho yake yamemuwezesha kuwaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Wachapakazi na wale Wauza Sura.
Japo Mkeka wa Wakurugenzi haupo wazi, ila nao panga linawapitia.
Makatibu Tawala kidogo Wanajitahidi. Wanamfurahisha Mama.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaojijua kwamba hamna mnachokifanya hata usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa ya Mkopo wa Covid-19 umewashinda kaeni Mkao wa kuondoka.
Kuna Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa wanashindwa hata kuwaambia Wananchi kazi nzuri anayoifanya rais Samia, kaeni Mkao wa kuondoka.
Wale Wakuu wa Wilaya na Mikoa mnaoshindwa kutatua Matatizo ya Wananchi kaeni Mkao wa Kuondoka.
Sura ninazotegemea kuziona kwenye Mkeka mpya ni Manzie Mangochie, Richard Kasesela, Mwanry, Ludovick Mwananzila, Fatuma Mwassa, Issa Machibya, Salome Kitomari, Mwantumu Mahiza, Parseko Kone, Magalula Magalula, Rajabu Rutengwe Dk Ibrahim Msengi, Asery Msangi, Elaston Mbwilo, Ali Rufunga na wengine wengi.