Tetesi: Wakuu wa mikoa, wakurugenzi na viongozi mbalimbali wa serikali wahoji kurudisha posho za Mwenge

Mimi nakubali 100% nia ya Rais, kinachoshindwa kuelewa na labda wengine watanisaidia na hilo, ni kwasababu gani agizo la kutodhuria sherehe ya mwenge limetangazwa baada ya watu kujipanga na kupokea posho? Kupanga si dalili ya utawala bora? Je kwa stahili hii kweli tutaweza?
 
Bandiko lina nembo ya TETESI, na tetesi haina tofauti kubwa na neno UDAKU,hakuna sababu ya kuendekeza udaku jukwaani kwani unashusha hadhi ya jukwaa,ila kama ni kweli wanalalamika na wako serious ni vyema wangedocument malalamiko yako kwenye right platform kwani kwa kanuni za kiofisi "if not documented then it is not done".
 
Wanajuuuuuuuta.....
 
hapo ndipo mtaamini kwamba kuna chama cha ndiooooooo!!!!!!!!!!!!!!!! ili mradi aliyesema ni mkubwa wao hata likiwa ni jambo la kuuzunisha
 
Wanajuuuuuuuta.....
Haswa ukute wameacha kazi zao(ajira)nzuri kwa kukimbilia uteuzi kwa kudhani wameula kuwa kujipatia posho ndefu na virushwa kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa.
 
Reactions: MTK
Nani, lini, wapi, na chanzo cha hbari (source) ni maswali muhimu unapoleta taarifa, vinginevyo taarifa yako inakuwa udaku.

Tena huyu mleta mada ni mtu hatari sana, anataka kuwachonganisha watu hawa na mkuu!
 
wewe utakuwa wa ujabu sana
 
Mwenge una ratiba na inajulikana ilitakiwa hawa viongozi waambiwe mapema kabla hata ya maandalizi.kuna wengine walikua simiyu tayari na pesa ilishatumika kwa maandalizi.Hasara imeshapatikana tayari japo raisi hajafanya vibaya kwa maamuzi yake ila yamechelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…