simbamweupe
Member
- Mar 9, 2011
- 17
- 2
Wanajuuuuuuuta.....Unayosema yawezekana ni kweli lakini aliyewateua ndio kasema mrudushe, na tatizo la hawa wateule sijui kama wewe ni miongoni mwao kama sio samahani, huwa ni waoga kusema ukweli au kumwambia mkuu kuwa hivyo sivyo, sasa haisaidii kulalama mitandaoni, mmetumia au lah, kasma imepitishwa na bunge au lah mkubwa kasema rudisheni, La sivyo msirudishe atengue uteuzi iwe aibu kwenu au mrudishe na mjiuzulu ili mkuu atambue kuwa mmechukia na mtaonekana mashujaa. Kwani matumizi yakigeuzwa kutoka posho kwenda maendeleo kuna kosa gani almradi ijulikane imeenda kufanya shughuli gani ya maendeleo.
Poleni kama mlifikiri mlipoteuliwa mnaenda kutunisha matumbo mtaambulia magonjwa ya moyo na stress kibao kwa kutojua kesho kutaamkaje.
Haswa ukute wameacha kazi zao(ajira)nzuri kwa kukimbilia uteuzi kwa kudhani wameula kuwa kujipatia posho ndefu na virushwa kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa.Wanajuuuuuuuta.....
Nani, lini, wapi, na chanzo cha hbari (source) ni maswali muhimu unapoleta taarifa, vinginevyo taarifa yako inakuwa udaku.
wewe utakuwa wa ujabu sanaKufatana na agizo la mheshimiwa rais la kurudisha pesa za posho walizolipwa wakurungezi wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya pamoja na viongozi wa serikali wamehoji kwanini warudishe pesa hizo wakati wametumia kwenye maandalizi mbalimbali.
Hii imetokea leo kuanza kulalamika wakuu hao na kusema wao hawapaswi kulaumiwa maana walipokea maagizo na pesa hizo juu walidai kuwa tayari watumishi hao walikuwa wameanza safari na wengine kufanya maandalizi ya kwenda kuhudhuria mwaliko huo watendaji hao wameonyesha kutolidhishwa na hali hii ya utendaji ambayo ipo sasa.
Chanzo: Viongozi waliofika eneo la tukio na wale walioko ofisini kulalamika mbele za watumishi wenzake.
ujabu ndoo nn ukiwa ccm hata kureason tabuwewe utakuwa wa ujabu sana