Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #41
Mambo makubwa Tanzania ni yepi kama sio hayo yanayohusu watu moja kwa moja hizo redio hawakukatazwa kugundua wakifikiri wafanye huyu jamaa mimi simkubali ila kwenye hili nipo nae moja kwa moja Nchi masikini pamoja na watu wake mtu anakuja na vitu vya kujikwamua mnapinga mnataka nini sasa..
Kwa hiyo tamasha la kunywa Heineken Dar es salaam kwako unauona ni ubunifu mkuubwa wa kuleta tija endelevu?