Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 441
- 1,065
- Thread starter
-
- #21
Wajichangie wao kwa wao kwanza waache kukopa hovyo mitaani jambo linaloshusha heshima yao.Unataka wakuchangie wewe
Huyu mdau anatajwa sana, naomba link ya alichowahi kusema kuhusu WalimuMpyayungu village nilikua nakuchukulia poa. Nimekosa mimi
Kutoa ni moyo, wahenga walisema.Wajichangie wao kwa wao kwanza waache kukopa hovyo mitaani jambo linaloshusha heshima yao.
Hivi unataarifa kwamba siku hizi walimu wanafuatwa kudaiwa madeni ofisini jambo linalowaambisha mbele ya wanafunzi??
Mikopo umiza wateja wakubwa ni walimu. Leo Walimu wengi kadi zao za beñki ziko mikononi mwa wakopeshaji halafu wao wanaona kawaida wako bize wanachangishana hela za kuchukua fomu ya urais?
HawajitambuiKama mdau wa Elimu na maendeleo ya kijamii, taarifa za wakuu wa shule kumchangia Mama Samia fedha za kuchukua fomu ya Urais kabla ya mchakato husika kuanza linaleta ukakasi na maswali mengi juu ya uwezo wa kupambanua mambo wa hawa viongozi walioaminiwa kusimamia elimu ya watoto wetu.
Je, kiongozi wa umma anaruhusiwa kuonyesha msimamo wake wa kisiasa hadharani?
Je, wamejuaje kama Rais Samia atagombea 2025?
Je, wana uhakika gani chama chake kitampitisha?
Kulikuwa na haraka gani kufikia hili azimio kipindi hiki ambacho hata mchakato haujaanza?
Tuamini kuwa hili nalo ni sehemu ya kujipendekeza? Kama ni kujipendekeza, wanawezaje kupandikiza ujasiri na kujiamini kwa walimu wanaowasimamia na watoto wetu? View attachment 2847719
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamchangie tu lakini kausha damu tupo pale pale tunakuja kusomba kila kitu ndani shuleni watavaa yebo yebo.
Hata mie, nilisema bora niwe jobless ila sio ualimu, tatizo sio taaluma, ila watu walio ndani ya taaluma ndo michoshoo.Sijutii kukataa fani ya uwalimu
Kukosekana kwa siasa safi ndo tunaona matokeo yake sasaKama mdau wa Elimu na maendeleo ya kijamii, taarifa za wakuu wa shule kumchangia Mama Samia fedha za kuchukua fomu ya Urais kabla ya mchakato husika kuanza linaleta ukakasi na maswali mengi juu ya uwezo wa kupambanua mambo wa hawa viongozi walioaminiwa kusimamia elimu ya watoto wetu.
Je, kiongozi wa umma anaruhusiwa kuonyesha msimamo wake wa kisiasa hadharani?
Je, wamejuaje kama Rais Samia atagombea 2025?
Je, wana uhakika gani chama chake kitampitisha?
Kulikuwa na haraka gani kufikia hili azimio kipindi hiki ambacho hata mchakato haujaanza?
Tuamini kuwa hili nalo ni sehemu ya kujipendekeza? Kama ni kujipendekeza, wanawezaje kupandikiza ujasiri na kujiamini kwa walimu wanaowasimamia na watoto wetu? View attachment 2847719
Laki 2 wanazopewa kila mwezi nje ya mshahara ndo zinawazuzua.Kama mdau wa Elimu na maendeleo ya kijamii, taarifa za wakuu wa shule kumchangia Mama Samia fedha za kuchukua fomu ya Urais kabla ya mchakato husika kuanza linaleta ukakasi na maswali mengi juu ya uwezo wa kupambanua mambo wa hawa viongozi walioaminiwa kusimamia elimu ya watoto wetu.
Je, kiongozi wa umma anaruhusiwa kuonyesha msimamo wake wa kisiasa hadharani?
Je, wamejuaje kama Rais Samia atagombea 2025?
Je, wana uhakika gani chama chake kitampitisha?
Kulikuwa na haraka gani kufikia hili azimio kipindi hiki ambacho hata mchakato haujaanza?
Tuamini kuwa hili nalo ni sehemu ya kujipendekeza? Kama ni kujipendekeza, wanawezaje kupandikiza ujasiri na kujiamini kwa walimu wanaowasimamia na watoto wetu? View attachment 2847719
Kama unaIsharau hizo laki 2 wanazopewa wewe wape hizo zako nyingi ulizonazo.Laki 2 wanazopewa kila mwezi nje ya mshahara ndo zinawazuzua.
Yaani walimu wa TZ sijui kawaloga nani
Nyerere, Mkapa, Magufuli n.k. wote hao walikuwa walimu. Naona wewe ni mbwabwajaji kama walivyo Wabwabwajaji kama wewe.Hata mie, nilisema bora niwe jobless ila sio ualimu, tatizo sio taaluma, ila watu walio ndani ya taaluma ndo michoshoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe katika ukoo wenu, jirani zako na hata rafiki zako hakuna wenye ndugu ambao ni walimu unavyowaita wenzako eti kukosa akiliHawa wapumbavu ndiyo maana wanalipwa mishahara kidogo sababu ya kukosa akili
Wewe ulifundishwa na MunguNdiyo maana wahitimu wengi ni tegemezi sababu ya kufundishwa na watu wapumbavu kama hawa
Michango ya chakula wazazi wanatoa wenyewe kwa hiari ili watoto wapate chakula wawapo shuleniWanamlipa fadhila sababu sasa amewaachia wafanye watakavyo.
Hizo shule za sekondari zimekuwa pango la wanyonyaji.
Sasa wakuu wa shule wamebuni miradi yao ya kukamua wazazi michango kibao mara ya mitihani jumamosi, mara michango wa chakula, mara nini.....
Sasa hivi waalimu hawafundishi wanapiga miradi yao binafsi, shuleni Wana ripoti na kuendeleza na mambo yao.