Pre GE2025 Wakuu wa shule kumchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais Rais Samia 2025, hiki ni "kituko" cha kufungia mwaka

Pre GE2025 Wakuu wa shule kumchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais Rais Samia 2025, hiki ni "kituko" cha kufungia mwaka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unataka wakuchangie wewe
Wajichangie wao kwa wao kwanza waache kukopa hovyo mitaani jambo linaloshusha heshima yao.

Hivi unataarifa kwamba siku hizi walimu wanafuatwa kudaiwa madeni ofisini jambo linalowaambisha mbele ya wanafunzi??

Mikopo umiza wateja wakubwa ni walimu. Leo Walimu wengi kadi zao za beñki ziko mikononi mwa wakopeshaji halafu wao wanaona kawaida wako bize wanachangishana hela za kuchukua fomu ya urais?
 
Wajichangie wao kwa wao kwanza waache kukopa hovyo mitaani jambo linaloshusha heshima yao.

Hivi unataarifa kwamba siku hizi walimu wanafuatwa kudaiwa madeni ofisini jambo linalowaambisha mbele ya wanafunzi??

Mikopo umiza wateja wakubwa ni walimu. Leo Walimu wengi kadi zao za beñki ziko mikononi mwa wakopeshaji halafu wao wanaona kawaida wako bize wanachangishana hela za kuchukua fomu ya urais?
Kutoa ni moyo, wahenga walisema.
 
Kama mdau wa Elimu na maendeleo ya kijamii, taarifa za wakuu wa shule kumchangia Mama Samia fedha za kuchukua fomu ya Urais kabla ya mchakato husika kuanza linaleta ukakasi na maswali mengi juu ya uwezo wa kupambanua mambo wa hawa viongozi walioaminiwa kusimamia elimu ya watoto wetu.

Je, kiongozi wa umma anaruhusiwa kuonyesha msimamo wake wa kisiasa hadharani?

Je, wamejuaje kama Rais Samia atagombea 2025?

Je, wana uhakika gani chama chake kitampitisha?

Kulikuwa na haraka gani kufikia hili azimio kipindi hiki ambacho hata mchakato haujaanza?

Tuamini kuwa hili nalo ni sehemu ya kujipendekeza? Kama ni kujipendekeza, wanawezaje kupandikiza ujasiri na kujiamini kwa walimu wanaowasimamia na watoto wetu? View attachment 2847719
Hawajitambui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mdau wa Elimu na maendeleo ya kijamii, taarifa za wakuu wa shule kumchangia Mama Samia fedha za kuchukua fomu ya Urais kabla ya mchakato husika kuanza linaleta ukakasi na maswali mengi juu ya uwezo wa kupambanua mambo wa hawa viongozi walioaminiwa kusimamia elimu ya watoto wetu.

Je, kiongozi wa umma anaruhusiwa kuonyesha msimamo wake wa kisiasa hadharani?

Je, wamejuaje kama Rais Samia atagombea 2025?

Je, wana uhakika gani chama chake kitampitisha?

Kulikuwa na haraka gani kufikia hili azimio kipindi hiki ambacho hata mchakato haujaanza?

Tuamini kuwa hili nalo ni sehemu ya kujipendekeza? Kama ni kujipendekeza, wanawezaje kupandikiza ujasiri na kujiamini kwa walimu wanaowasimamia na watoto wetu? View attachment 2847719
Kukosekana kwa siasa safi ndo tunaona matokeo yake sasa
 
Kama mdau wa Elimu na maendeleo ya kijamii, taarifa za wakuu wa shule kumchangia Mama Samia fedha za kuchukua fomu ya Urais kabla ya mchakato husika kuanza linaleta ukakasi na maswali mengi juu ya uwezo wa kupambanua mambo wa hawa viongozi walioaminiwa kusimamia elimu ya watoto wetu.

Je, kiongozi wa umma anaruhusiwa kuonyesha msimamo wake wa kisiasa hadharani?

Je, wamejuaje kama Rais Samia atagombea 2025?

Je, wana uhakika gani chama chake kitampitisha?

Kulikuwa na haraka gani kufikia hili azimio kipindi hiki ambacho hata mchakato haujaanza?

Tuamini kuwa hili nalo ni sehemu ya kujipendekeza? Kama ni kujipendekeza, wanawezaje kupandikiza ujasiri na kujiamini kwa walimu wanaowasimamia na watoto wetu? View attachment 2847719
Laki 2 wanazopewa kila mwezi nje ya mshahara ndo zinawazuzua.
Yaani walimu wa TZ sijui kawaloga nani
 
Hata mie, nilisema bora niwe jobless ila sio ualimu, tatizo sio taaluma, ila watu walio ndani ya taaluma ndo michoshoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyerere, Mkapa, Magufuli n.k. wote hao walikuwa walimu. Naona wewe ni mbwabwajaji kama walivyo Wabwabwajaji kama wewe.
 
Wanamlipa fadhila sababu sasa amewaachia wafanye watakavyo.

Hizo shule za sekondari zimekuwa pango la wanyonyaji.
Sasa wakuu wa shule wamebuni miradi yao ya kukamua wazazi michango kibao mara ya mitihani jumamosi, mara michango wa chakula, mara nini.....

Sasa hivi waalimu hawafundishi wanapiga miradi yao binafsi, shuleni Wana ripoti na kuendeleza na mambo yao.
Michango ya chakula wazazi wanatoa wenyewe kwa hiari ili watoto wapate chakula wawapo shuleni
 
Kwani ukiwa mwalim lazima uwe sisiemu, mbona babaangu ni mwalim lakini ni mjumbe wa chama pinzani, labda hao wanaomchangia mtu hela za kuchukua form ni manyumbu wanatafuta kiki
 
Back
Top Bottom