Pre GE2025 Wakuu wa shule kumchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais Rais Samia 2025, hiki ni "kituko" cha kufungia mwaka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hutaki kumchangia mwanao Chakula shuleni?
 
Naamini tatizo limeanzia kwa Boss wao Mchengerwa, huyu ndo engineer wa huu mpango. Hata sijui kwanini imani yangu inanituma hivi[emoji3]
 

Hao nao wajinga. Wako 3000 halafu wanataka kuleta kapu kwa raia ili iweje?. Si wajichange hao watatu.
 
Wewe hujuhi kuwa Tanzania walimu ni wale waliofeli fomu 4 au fomu six??unakuta 4 ya 35 ndo walimu au fomu six 4 ya 20 ndo walimu wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…