Wakuu wa wilaya kujazia mafuta bodaboda ili wakampokee mkuu wa nchi ni kumhadaa kuwa anakubalika wakati si kweli

Wakuu wa wilaya kujazia mafuta bodaboda ili wakampokee mkuu wa nchi ni kumhadaa kuwa anakubalika wakati si kweli

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa boda boda lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa bodq bodq lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Mwenyekiti wa chawa ameshawasihi chawa wake mmpunguze mihemko na uwana harakati koko usiokuwa na faida kwa chama wala taifa, lakini bado chawa hamtaki kusikia. Mnaendelea na propaganda mfu matokeo yake uchaguzi unafika mnaangukia pua na kuanza kulalama kuwa mmeibiwa uchaguzi. Mawazo yako na ya chawa wenzako hapa JF sio ndo mawazo ya watanzania wote akiwemo mwenyekiti wenu wa chawa.
 

Attachments

  • Screenshot_20220605-082514_1.jpg
    Screenshot_20220605-082514_1.jpg
    159.8 KB · Views: 15
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa bodq bodq lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Tena wakati wa magufuli ndio lilitia fora kabisa. Alikuwa tapeli sana yule mbaba.
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa bodq bodq lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
NCHI ya VITUKO kila UCHAO hivi hata URUSI Wanafanya hivyo hivyo?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa bodq bodq lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.

Hii tabia muasisi wake alikuwa ni dhalimu.
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa bodq bodq lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Si jambo jipya hili. Walishazoea kufanya haya miaka yote. Kumbe kutokukubalika kwao hakujaanza leo! Katiba mpya ni sasa!
 
Hii tabia muasisi wake alikuwa ni dhalimu.
Kusema tu ukweli hii tabia ipo kwa vyama vyote na ya miaka mingi tu.
Sioni shida sana maana ni mapokezi tu.

Shida nayoiona ni kutundika mabango barabarani kila raisi anapokwenda
 


Walivyokuwa na wivu sasa na Magufuli watakwambia hao waliojitokeza kumuaga Mwanza wanamuogopa dikteta.

Dodoma walitoka nae airport hadi Chamwino halafu usiku wanaachiana katikati ya njia kundi lingine linaendelea. Dar Es Salaam ndio ilikuwa balaa.

Maza ajitafakari kwa mfumo wetu ata shinda uchaguzi; je wananchi wanamtaka.

Usia wa Kenyatta kwenye kuaga mwili Samia usibadili njia uliyoachiwa, baki nayo.

Ye anataka kuwafurahisha mafisadi.
 
Nafikiri wao boda ndio dhalili kwa kukubali lita 3 za mafuta maana hapo unakuwa umenyanyaswa na ukijua ukweli

Wangekataa hapo tungejua wanajua mipaka ila kama wanakubali hakuna kuwalaumu wanaotoa maana ni ujinga wao
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa bodq bodq lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Na kwingine yanaandaliwa maandamano 'ya kumpongeza', halafu watumishi wa umma wanalazimishwa kuhudhuria! Pongezi gani za kulazimishana? Ama kweli ujinga na umaskini ni laana!!
 

Ndiyo Hii Wanaiita

Kula Ccm Kulala Chadema

Haa​

 
Mwenyekiti wa chawa ameshawasihi chawa wake mmpunguze mihemko na uwana harakati koko usiokuwa na faida kwa chama wala taifa, lakini bado chawa hamtaki kusikia. Mnaendelea na propaganda mfu matokeo yake uchaguzi unafika mnaangukia pua na kuanza kulalama kuwa mmeibiwa uchaguzi. Mawazo yako na ya chawa wenzako hapa JF sio ndo mawazo ya watanzania wote akiwemo mwenyekiti wenu wa chawa.
Na wewe ficha ujinga wako kidogo, kwani ni lazima watu wote wawe na mtazamo kama wako? Nini maana ya kutumia utashi wako uliopewa na Mungu? Chama chako pia kinaweza kikawa "bloody fuckurs" na wewe ukawa chawa kama chawa wengine tu!
Think critically!
 
Back
Top Bottom