Wakuu wa wilaya kujazia mafuta bodaboda ili wakampokee mkuu wa nchi ni kumhadaa kuwa anakubalika wakati si kweli

Wakuu wa wilaya kujazia mafuta bodaboda ili wakampokee mkuu wa nchi ni kumhadaa kuwa anakubalika wakati si kweli

Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa bodq bodq lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Yaani sikuhizi mmekosa yakuongea mnaanza kutunga uongo wa aina hiyo? sasa hivi kila mahala mama anapopita nyomi kama lote sasa wewe kaa na chuki zako mama anaupiga mwingi mpaka mbowe kaukubali na hiyo chuki yako sijui utaipeleka wapi maana hakuna upinzani tena mbowe ana ramba asali tu sasa hivi kawaacha wapuuzi kama nyie muendelee kubweka kwenye mitandao
 
Na wewe ficha ujinga wako kidogo, kwani ni lazima watu wote wawe na mtazamo kama wako? Nini maana ya kutumia utashi wako uliopewa na Mungu? Chama chako pia kinaweza kikawa "bloody fuckurs" na wewe ukawa chawa kama chawa wengine tu!
Think critically!
Mwenyekiti kishalamba asali chawa tulieni
 
Jambo la kusikitisha mno.

Serikali inapaswa kuboresha maisha ya wananchi ili kuungwa mkono bila matumizi makubwa ya nguvu.
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa boda boda lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Mwendazake alikuwa anahadaa hata OMBAOMBA wajifanye wanamuunga mkono kama siku alipofungua kijazi interchange
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa boda boda lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Haijaanza leo na lengo sio hilo Bali lengo ni la kumpokea kiongozi kama inavyofanyika kwenye sherehe..

CCM wanabebaga watu kutoka vijijini kwa akili hiyo na hamjawahi kuwashinda kwenye uchaguzi..

Ukiuliza mtaani utaambiwa Sina mpango wa kupiga kura ,tunajua atapita yule yule 😂😂
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa boda boda lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Mmmmh aisee ccm ni mafisadi yanakula kwa urefu wa kamba zao
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa boda boda lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Aliyeanzisha huu upuuzi ni dhalim mwendazake,alipenda mno sifa za kijinga
 
Naangaliza mkutano wa bi kioboto hakuna lolote hakubaliki. Mashwain kama nyie ndio mnafwagilia ushwain

Kwani dhalimu alikuwa anakubalika? Unadhani kwakuwa wewe unawashobokea CCM basi kila mtu anawashobokea?
 
Kwani dhalimu alikuwa anakubalika? Unadhani kwakuwa wewe unawashobokea CCM basi kila mtu anawashobokea?
We jamaa njoo huku mtaani ufanye research kujua kama Jiwe alikuwa anakubalika au hakubaliki, wewe unafikiri hizi chuki zenu huku mitandaoni ndio picha halisi na huko mtaani?
 
We jamaa njoo huku mtaani ufanye research kujua kama Jiwe alikuwa anakubalika au hakubaliki, wewe unafikiri hizi chuki zenu huku mitandaoni ndio picha halisi na huko mtaani?

Huko mtaani wanaomkubali ni wasiojua lolote na nyie sukuma gang. Kwa watu wenye uelewa wanujua fika ni chenga chenga.
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa boda boda lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Mkuuu weka ushahidi ni wapi tukio linefanyika na nan kawawekea mafuta ili jamii ijue nan mwizi wakat wa uchaguzi wapiga kura wasisumbuke sana wawekw X tuu inatosha
 
Huko mtaani wanaomkubali ni wasiojua lolote na nyie sukuma gang. Kwa watu wenye uelewa wanujua fika ni chenga chenga.
Hao wasiojua lolote na wenye kujua ni kundi lipi ni wengi?
 
Mwenyekiti wa chawa ameshawasihi chawa wake mmpunguze mihemko na uwana harakati koko usiokuwa na faida kwa chama wala taifa, lakini bado chawa hamtaki kusikia. Mnaendelea na propaganda mfu matokeo yake uchaguzi unafika mnaangukia pua na kuanza kulalama kuwa mmeibiwa uchaguzi. Mawazo yako na ya chawa wenzako hapa JF sio ndo mawazo ya watanzania wote akiwemo mwenyekiti wenu wa chawa.
Duh...
 
Hao wasiojua lolote na wenye kujua ni kundi lipi ni wengi?

Wajinga sio wengi kwa kiasi hicho. Na kwa taarifa yako hao wasiojua lolote hao ni bendera fuata upepo
 
Hii ni janja au akili mbovu? Yaani mnawapa boda boda lita tatu za mafuta kila anapopita rais Samia na kuwaambia boda wabebe raia ili kuonekana kuna nyomi linalomkubali mama?

Ukweli ni kuwa hii ni hadaa ya kufa mtu.

Boda boda wanajipatia mafuya ya bure tu.

Hii imetokea kila mahala. Msilete ubishi.
Ndivyo inakuaga, na hii huwapumbaza viongozi,mwishowe huishia kuiba uchaguzi
 
Back
Top Bottom