MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mnaosali anzeni kusali sana, mnaoroga rogeni mno na wale mnaoabudu mizimu kama mimi tafadhali iombeni zaidi kwani yajayo yanaweza yakafurahisha na hata yakaumiza pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yako Msando Morogoro nje...unashika mbupu za watu wenye mkoa wao lazima wapite na weweMnaosali anzeni Kusali sana, Mnaoroga Rogeni mno na wale mnaoabudu Mizimu kama Mimi tafadhali iombeni zaidi kwani yajayo yanaweza yakafurahisha na hata yakaumiza pia.
Mimi Mwenyewe nahitaji Kuombewa!Mwamba niombee nafasi basi na mimi hali yangu siielewi elewi!
Wakili Msomi Msando alishawahi labda Kukuambia kuwa Mimi ni Jamaa yake?Jamaa yako Msando Morogoro nje...unashika mbupu za watu wenye mkoa wao lazima wapite na wewe
Mkuu Papa, the Shark , kuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Nafasi yoyote ya uteuzi na mkuu wa nchi ni heshima kubwa, ila kuna baadhi ya watu kuwateua nafasi za kutumwa tumwa ni wastage!. Mfano mtu kama mimi, nimekuwa mtangazaji kwa zaidi ya miaka 30, sasa ni wakili wa kujitegemea umfanye DC! kiukweli its a waste!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.Pascal Mayalla naskia ameula aseee kapewa Wilaya nae daaaah Hatimae
Ila kweli, we kwa sasa umri wako sio wa kuanza fukuzana na watoto wadogoKuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Mtu ni mtangazaji wakujitegemea na wakili wa kujitegemea umfanye DC!. Gimme a break!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?.
P
Bhana wewe tusichoshane narudia tena JAMAA YAKO ambaye unaishi karibu nae hapo Morogoro siku hizi out kama unabisha weka mikono tushindaneWakili Msomi Msando alishawahi labda Kukuambia kuwa Mimi ni Jamaa yake?
Kweli kabisa mkuu wanakuonea mtu mwenye confidence ya kumtwanga swali zito kama lile mh raisi then umuweke daraja moja na Kina Jokate,Niki wa pili!???,,thats crazy and not fairKuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Mtu ni mtangazaji wakujitegemea na wakili wa kujitegemea umfanye DC!. Gimme a break!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Kosa lake nini huyu jamaa?Jamaa yako Msando Morogoro nje...unashika mbupu za watu wenye mkoa wao lazima wapite na wewe
Mkuu TADPOLE, ni vile wana jf tuna equal status, hivyo watu humu wananichukulia poa!, mtu nimetangaza kwa miaka 30, leo nifanywe kuwa DC to do what?!. Kuna baadhi ya watu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC is big deal!, kiukweli kabisa kwa baadhi yetu wenye shughuli zetu kulisaidia taifa, kuteuliwa kuwa DC, is a waste!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.Kweli kabisa mkuu wanakuonea mtu mwenye confidence ya kumtwanga swali zito kama lile mh raisi then umuweke daraja moja na Kina Jokate,Niki wa pili!???,,thats crazy and not fair
Hana kosa ni mabdiliko tuKosa lake nini huyu jamaa?
Yes lile jambo letu linakufaa kabisa sema unakwama padogo tu huandai kambi strong toka muda wewe unakurupuka tu jambo letu ni mwezi ujao ww unachukua form mwezi huu unaingia ukumbin hakuna hata anayekujua na wakati huo wapinzani wako wameshakuwa na kambi tyr...Huyy msando tunayemuongelea humu kashaanza kutengeneza kambi yake kwa ajili ya Morogoro 2025 japokuwa hawez kupita ila strategies zake ulitakiwa upite nazo wwMkuu TADPOLE, ni vile wana jf tuna equal status, hivyo watu humu wananichukulia poa!, mtu nimetangaza kwa miaka 30, leo nifanywe kuwa DC to do what?. Kuna baadhi ya watu kuteuliwa kuwa DC is a waste!. Mimi zaizi yangu ni lile jambo letu lile!.
P
Tunakuombea sana hasa mimi mkulima wa parachichi huku Njombe IturikeMkuu TADPOLE, ni vile wana jf tuna equal status, hivyo watu humu wananichukulia poa!, mtu nimetangaza kwa miaka 30, leo nifanywe kuwa DC to do what?. Kuna baadhi ya watu kuteuliwa kuwa DC is a waste!. Mimi zaizi yangu ni lile jambo letu lile!.
P
Duh...!. Kumbe wewe Mkuu CIA mgumu ni mtu wa parachichi za Njombe!, nimekuja sana Njombe ku promoti parachichiTunakuombea sana hasa mimi mkulima wa parachichi huku Njombe Iturike
ankal nimependa majibu yako ingawa yana dhharau na kashfa ndani yakeKuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Mtu ni mtangazaji wakujitegemea na wakili wa kujitegemea umfanye DC! to do what ny God?!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo langu!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Kuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Nafasi yoyote ya uteuzi na mkuu wa nchi ni heshima kubwa, ila kuna baadhi ya watu kuwateua nafasi za kutumwa tumwa ni wastage!. Mfano mtu kama mimi, nimekuwa mtangazaji kwa zaidi ya miaka 30, sasa ni wakili wa kujitegemea umfanye DC! kiukweli its a waste!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili la kuteuliwa niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
P, vitu vingine inabidi kubaki navyo kwa mtizamo wako. Kwani ni sawa na kujenga ukuta wa matofari huku unaogelea ili ukaunomoe.Kuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Nafasi yoyote ya uteuzi na mkuu wa nchi ni heshima kubwa, ila kuna baadhi ya watu kuwateua nafasi za kutumwa tumwa ni wastage!. Mfano mtu kama mimi, nimekuwa mtangazaji kwa zaidi ya miaka 30, sasa ni wakili wa kujitegemea umfanye DC! kiukweli its a waste!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili la kuteuliwa niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
hahahahahaKazi za kuteuliwa leo kesho umetenguliwa ni udhalilishaji na kupoteza muda. I always wonder kwanini watu huwa wanafurahia na kukubali hizi kazi as though ni jambo la maana sana wakati kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya.