Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Uzi wa vibopa ngoja nianze kujijenga na Mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakili msomi vipi?Kuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Nafasi yoyote ya uteuzi na mkuu wa nchi ni heshima kubwa, ila kuna baadhi ya watu kuwateua nafasi za kutumwa tumwa ni wastage!. Mfano mtu kama mimi, nimekuwa mtangazaji kwa zaidi ya miaka 30, sasa ni wakili wa kujitegemea umfanye DC! kiukweli its a waste!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili la kuteuliwa niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Sitaki nataka huyo paskali mtoto wa magorofani drive inankal nimependa majibu yako ingawa yana dhharau na kashfa ndani yake
Lile jambo lako subiri tumalize chaguzi za ndani za chama
Huko E.A tu wanafata ulaji tuWakili msomi vipi?
Haya maneno naona kama huyatumii vizuri!
"Waste" na "Wastage of time"!
Waste ni takataka,sasa nikuulize ,Je UDC ni takataka?
"Wastage of time" ni kupoteza muda, hapo umetumia vizuri lakini logic behind ni utumbo.
Leadership is all about serving other people and not yourself!
Kwanini uone UDC ni takataka lakini Ubunge wa EALA ni deal?
Jibu ni kuwa you are not a partiot but rather a selfish monger dies with hunger (Mayalla as your name depicts)!
hahahaha.drive in mitaa ya osman timber auSitaki nataka huyo paskali mtoto wa magorofani drive in
Unafikiri akiteuliwa udc atakata
Ova
Mkuu, chukua uDC ustaafu kiufahari... 😀😀😀Kuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Nafasi yoyote ya uteuzi na mkuu wa nchi ni heshima kubwa, ila kuna baadhi ya watu kuwateua nafasi za kutumwa tumwa ni wastage!. Mfano mtu kama mimi, nimekuwa mtangazaji kwa zaidi ya miaka 30, sasa ni wakili wa kujitegemea umfanye DC! kiukweli its a waste!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili la kuteuliwa niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
I Safi sana pata TOT mbili kwa mangi.Kuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Nafasi yoyote ya uteuzi na mkuu wa nchi ni heshima kubwa, ila kuna baadhi ya watu kuwateua nafasi za kutumwa tumwa ni wastage!. Mfano mtu kama mimi, nimekuwa mtangazaji kwa zaidi ya miaka 30, sasa ni wakili wa kujitegemea umfanye DC! kiukweli its a waste!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili la kuteuliwa niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
hata mm nimemwambia una majibu ya dharau kwakua ana jambo lake kule acha wajumbe wakaamue km walivyoamua kaweWakili msomi vipi?
Haya maneno naona kama huyatumii vizuri!
"Waste" na "Wastage of time"!
Waste ni takataka,sasa nikuulize ,Je UDC ni takataka?
"Wastage of time" ni kupoteza muda, hapo umetumia vizuri lakini logic behind ni utumbo.
Leadership is all about serving other people and not yourself!
Kwanini uone UDC ni takataka lakini Ubunge wa EALA ni deal?
Jibu ni kuwa you are not a partiot but rather a selfish monger dies with hunger (Mayalla as your name depicts)!
anataka aitwe mbunge wa bunge la afrika mashariki, uDC na uRC ni kumpotezea mudaMkuu, chukua uDC ustaafu kiufahari... 😀😀😀
Umri ukishasogea, hutakiwi kufanya kazi ngumu...
Pascal Mayalla naskia ameula aseee kapewa Wilaya nae daaaah Hatimae
Nasubiri kuona P,ila kama unamaanisha ni jambo kubwa endelea kujituma Kwa maslahi ya Taifa.Kuna watu kuwa DC ni kuula na kuna watu kuwa DC is a waste!. Nafasi yoyote ya uteuzi na mkuu wa nchi ni heshima kubwa, ila kuna baadhi ya watu kuwateua nafasi za kutumwa tumwa ni wastage!. Mfano mtu kama mimi, nimekuwa mtangazaji kwa zaidi ya miaka 30, sasa ni wakili wa kujitegemea umfanye DC! kiukweli its a waste!. Kuna umri wa kutumwa tumwa na umri wa kujituma, kwa mimi kutumwa at this age!, its a bit too little to late!. Please Gimme a break!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
Kwani unadhani Mama haingii humu?. Mbona hili la kuteuliwa niliisha litolea ufafanuzi humu, mimi na U DC wapi na wapi?. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Unamaanisha mjengoni P,basi Anza kuchagua mlango wa kuingiliamoo🤔Mkuu TADPOLE, ni vile wana jf tuna equal status, hivyo watu humu wananichukulia poa!, mtu nimetangaza kwa miaka 30, leo nifanywe kuwa DC to do what?!. Kuna baadhi ya watu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC is big deal!, kiukweli kabisa kwa baadhi yetu wenye shughuli zetu kulisaidia taifa, kuteuliwa kuwa DC, is a waste!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
P
Japo anagoma lakini namwombea kwa dhati kabisa apewe ukuu wa wilaya within daresalamu,Halafu nimegundua hapa jukwaani wakili msomi Pascal hua ikifikia teuzi tunamtania sana halafu yeye anachukulia serious kumbe wenzie tunafanya jokes siku akifahamu ni jokes atakua anakaa kimya tu, pascal mtu wa wawatu yule mzee hata akiwa kiongozi anafikika kirahisi na iwe wa chama chake au wapinzani
P Mzee wetu wa Kwa maslahi ya Taifa Hana shida,hajui wajukuu wanavyo cheza na Babu🏃Halafu nimegundua hapa jukwaani wakili msomi Pascal hua ikifikia teuzi tunamtania sana halafu yeye anachukulia serious kumbe wenzie tunafanya jokes siku akifahamu ni jokes atakua anakaa kimya tu, pascal mtu wa wawatu yule mzee hata akiwa kiongozi anafikika kirahisi na iwe wa chama chake au wapinzani
Watz tunatabia za ovyooo masimango na kusengenyana ndio tunachoweza tuna vitambia flan hivi km vya kaa kuvutana chini..Mkuu TADPOLE, ni vile wana jf tuna equal status, hivyo watu humu wananichukulia poa!, mtu nimetangaza kwa miaka 30, leo nifanywe kuwa DC to do what?!. Kuna baadhi ya watu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC is big deal!, kiukweli kabisa kwa baadhi yetu wenye shughuli zetu kulisaidia taifa, kuteuliwa kuwa DC, is a waste!. Mimi saizi yangu ni lile jambo letu lile!.
P
Sikiaa kama P alivyokuwa anawahoji watu Kwa kipindi Cha miaka thelathini lazima ni mkongwe na ameiva vilivyo,hiyo kuhojiwa na Wana JF sioni kama ni shida kwake ila ni menwelewa Huwa humu hata mjukuu wake atataka kujilinganisha nae🤔Watz tunatabia za ovyooo masimango na kusengenyana ndio tunachoweza tuna vitambia flan hivi km vya kaa kuvutana chini..
Mkuu Fumadilu Kalimanzila, kwanza japo mimi ni wakili ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji!.Wakili msomi vipi?
Hapa kweli nakubali, kidhungu kigumu!, niliposema kwa baadhi ya watu U DC is a waste, simaanishi U DC ndio a waste, sio waste ya uchafu, bali kwa mtu mwenye shughuli zake za kulisaidia taifa, kuteuliwa kuwa DC ni kuwa wasted!, ya kupoteza, mfano mzuri ni mtu kama Msando, wakili wa kujitegemea na mfanyabiashara mkubwa, kuwa DC, kwake is a waste!, angeweza kufanya mambo makubwa mazuri yenye manufaa kwa taifa hili kuliko kuwa DC!.Haya maneno naona kama huyatumii vizuri!
"Waste" na "Wastage of time"!
Waste ni takataka,sasa nikuulize ,Je UDC ni takataka?
DC ni mtu wa kutumwa, EALA ni kuitumikia nchi!."Wastage of time" ni kupoteza muda, hapo umetumia vizuri
Leadership is all about serving other people and not yourself!
Kwanini uone UDC ni takataka lakini Ubunge wa EALA ni deal?
Msando na Abood kama hawako vizuri vile, Msando anapiga kazi na Yuko karibu sana na wananchi, hasa chinga, anatatua migogoro ya ardhi, na anajua jinsi ya kuongea nao.Jamaa yako Msando Morogoro nje...unashika mbupu za watu wenye mkoa wao lazima wapite na wewe
Kuna wakili Mnyele, alikuwa na Marando, akateuliwa DC Tabora huko, aliacha, maslahi duni.Mkuu Fumadilu Kalimanzila, kwanza japo mimi ni wakili ila mimi sio wakili msomi, mimi ni wakili mtangazaji!.
Hapa kweli nakubali, kidhungu kigumu!, niliposema kwa baadhi ya watu U DC is a waste, simaanishi U DC ndio a waste, bali kwa mtu mwenye shughuli zake za kulisaidia taifa, kuteuliwa kuwa DC ni kuwa wasted!, mfano mzuri ni mtu kama Msando, wakili wa kujitegemea na mfanyabiashara mkubwa, kuwa DC, kwake is a waste!, angeweza kufanya mambo makubwa mazuri yenye manufaa kwa taifa hili kuliko kuwa DC!.
DC ni mtu wa kutumwa, EALA ni kuitumikia nchi!.
P