johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unawasagia kunguni wenzako etie
Wakuu wa wilaya wengi tu uongozi wao hautofautiani sana na wa Ole sabaya sema tu Ole kiki za kutumia media ndio zimekuwa zikimuumbua.
Lakini kuna maDC na maDAS wana roho za uovu kuliko huyo Ole sabaya.
Fuatilia utagundua ukweli.
Naamini tochi ya mama itamulika kabati zima na kuuwa chawa wote.
Eid Mubarak!
Bwashee siku hizi umeokoka au ni mtu amehack acc yako?[emoji84]Wakuu wa wilaya wengi tu uongozi wao hautofautiani sana na wa Ole sabaya sema tu Ole kiki za kutumia media ndio zimekuwa zikimuumbua.
Lakini kuna maDC na maDAS wana roho za uovu kuliko huyo Ole sabaya.
Fuatilia utagundua ukweli.
Naamini tochi ya mama itamulika kabati zima na kuuwa chawa wote.
Eid Mubarak!
-> Kabla kutumbuliwa (kipindi cha meko)Wakuu wa wilaya wengi tu uongozi wao hautofautiani sana na wa Ole sabaya sema tu Ole kiki za kutumia media ndio zimekuwa zikimuumbua.
Lakini kuna maDC na maDAS wana roho za uovu kuliko huyo Ole sabaya.
Fuatilia utagundua ukweli.
Naamini tochi ya mama itamulika kabati zima na kuuwa chawa wote.
Eid Mubarak!
Kwa hiyo una maanisha utawala wa magufuli ulikua ni utawala wa watu wenye tabia za ole sabaya? Kama ni hivyo tukisema na magufuli nae alikua na tabia za ole sabaya tutakua tumekosea?Siasa ndivyo ilivyo.nyakati zinabadilika nawashangaa mnaolikuza hili jambo kwani ni jambo geni? utawala fulani ukiondoka basi na watumishi wa utawala huo lazima waondoke au kubadilishwa.
Na bado maelekezo yataendelea kutoka juu zaidi.
Anawakaanga na wenzie[emoji16][emoji16]unawasagia kunguni wenzako etie
Ndugu zangu Wazaramo wanasema mwanakulitafuta mwanakulipata.Sabaya aliitumia media kujisafisha kumbe ndio amejichafua, nashangaa pamoja na tuhuma zote alizokuwa nazo bado mamlaka ya uteuzi ilikuwa bado inamlea.
Kumchinja kobe yataka timing,ile ya clouds ndiyo ilikuwa timing yenyewe. Wale makanjanja wa clouds walijua wanamsafisha kumbe walikuwa wanamuogesha uharo.Sabaya aliitumia media kujisafisha kumbe ndio amejichafua, nashangaa pamoja na tuhuma zote alizokuwa nazo bado mamlaka ya uteuzi ilikuwa bado inamlea.
Akimeza dawa zake huwa akili zinamkaa sawa. Tatizo akiamka na hang'over anashindwa kumeza dawa ndiyo kutwa nzima anakuwa mropokajiBwashee siku hizi umeokoka au ni mtu amehack acc yako?[emoji84]
Mungu ana makusudi kwa kila jambo.Sabaya aliitumia media kujisafisha kumbe ndio amejichafua, nashangaa pamoja na tuhuma zote alizokuwa nazo bado mamlaka ya uteuzi ilikuwa bado inamlea.
HahahahaKihongozi naye kunguni tu, Jerry Muro hili ni lipapasi kabisa.