Wakuu wapi nitapata futari nzuri Dodoma?

Wakuu wapi nitapata futari nzuri Dodoma?

Wanabodi wapi nitapata futari nzuri Dodoma? Watu wanapika vyakula vya hovyo na mabei makubwa. Mwaka jana kuna sehemu nilikuwa ninapata iftar karibu na Fire hapo Makole na walikuwa wana best Iftar.

Mwaka huu nimekwenda hapo kama mara tatu and I am not impressed ! Wamepandisha bei na yet wanapika vibaya kuliko mwaka jana. Sitaki kuwataja jina nikaharibu biashara yao.

Ila pia kama kuna watu wanawafahamu please wawafikishie ujumbe huenda wakajirekebisha.
Hakuna pa kuwazidi Chief Asili, wapo hapo town karibu na Nyerere square.

Nenda hapo ukaone thamani ya pesa yako.
 
Hakuna pa kuwazidi Chief Asili, wapo hapo town karibu na Nyerere square.

Nenda hapo ukaone thamani ya pesa yako.
Watu wengi wa class yangu huwa wanaenda hapo nilipopaeleza ila wanaanza kuvurunda. They were far better than chef asili au mwambao
 
Wanabodi wapi nitapata futari nzuri Dodoma? Watu wanapika vyakula vya hovyo na mabei makubwa. Mwaka jana kuna sehemu nilikuwa ninapata iftar karibu na Fire hapo Makole na walikuwa wana best Iftar.

Mwaka huu nimekwenda hapo kama mara tatu and I am not impressed ! Wamepandisha bei na yet wanapika vibaya kuliko mwaka jana. Sitaki kuwataja jina nikaharibu biashara yao.

Ila pia kama kuna watu wanawafahamu please wawafikishie ujumbe huenda wakajirekebisha.
Nenda kwa mama abas nyuma ya chako ni chako, uswaz ila mambo yake makubwa
 
Back
Top Bottom