mjakazi mwema
Member
- Oct 8, 2017
- 96
- 110
Watu wa tabata leo nipo kwenu na mama watotoView attachment 1351300
Sent using Jamii Forums mobile app
40/40...nilikwenda pale kitambaa cheupe nikakuta pamejaa kuna promotion ya windhoek
Nilikaaa nakunywa pombe kwa miaka Zaid ya 20+ ila Sasa nashukuru Mungu huo ulevi napita nao mbali yaaaan labda totoz tu ndio nashindwa kuachaHabar wakuu nazan nimelogwa na POMBE, kwasasa miezi miwili"2" nalewa kila siku hata nkikaa asubuh najikuta nashtuka nalewa tuu,
Kuna siku nliota kwamba nimepigwa pepo lakin nashangaa Sana nikiwa mzima napotezea san nliochokiota, nkilewa nakumbuka why??????
Msaada tafadhal wakuu
Nnamika 20 now mtoto wapekee kwa watoto 3 niwamwisho namimi ndio mwenye namafanikio kwafamilia hapa nmelewa now nipo Moro nawasha Brevic bakuja dar uck huuu kula pombe naludi kesho morn
NB.
Nahisi nakufa kimasihara wakuu.
USHAULIView attachment 1351138View attachment 1351140View attachment 1351141
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea nitaona VYUPA vya Ajajbu vya kikubwa... Una kula Vant then unasema... POMBE imekuloga??.. kwa mujibu wa wanywaji VANT kubwa zimesha anza chakachuliwa ni kama GONGO tu ndo maana zimekuwa adimu.. xaxa kijana una haki ya kutaka kuja DAR....Habar wakuu nazan nimelogwa na POMBE, kwasasa miezi miwili"2" nalewa kila siku hata nkikaa asubuh najikuta nashtuka nalewa tuu,
Kuna siku nliota kwamba nimepigwa pepo lakin nashangaa Sana nikiwa mzima napotezea san nliochokiota, nkilewa nakumbuka why??????
Msaada tafadhal wakuu
Nnamika 20 now mtoto wapekee kwa watoto 3 niwamwisho namimi ndio mwenye namafanikio kwafamilia hapa nmelewa now nipo Moro nawasha Brevic bakuja dar uck huuu kula pombe naludi kesho morn
NB.
Nahisi nakufa kimasihara wakuu.
USHAULIView attachment 1351138View attachment 1351140View attachment 1351141
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] Mbona kama hivyo viatu vimeshikiliwa na mikononi nasio watu wa wili hapa!
Nitakula nikimaliza kula mzee wangu.
Guu la bia hilo mzee.Paja takatifu!
[emoji23][emoji23] kwani kusifia ni dhambi!Umeshafanya zambi ya kutamani
Jr[emoji769]