Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni? [emoji30][emoji30]
Lakini timu zinazosajili sana wachezaji wa kigeni si ni Tatu tu?..Sina takwimu rasmi lakini naamini hizi timu nyingine zinazoshiriki Ligi kuu zina wachezaji wachache sana wakigeni..Na hata kwa ujumla uwiano wa wageni na wenyeji katika ligi kuu bado si wa kuogofya..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Timu zinazoshiriki sana katika mashindano mbali mbali ya vilabu Afrika 90% of the time ni club hizo hizo tatu.
Lakini timu zinazosajili sana wachezaji wa kigeni si ni Tatu tu?..Sina takwimu rasmi lakini naamini hizi timu nyingine zinazoshiriki Ligi kuu zina wachezaji wachache sana wakigeni..Na hata kwa ujumla uwiano wa wageni na wenyeji katika ligi kuu bado si wa kuogofya..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
onday May 29, 2017. 16:30


In their move to curb foreign players plying their trade in the Algerian Premier League, the Federation of Algerian Football has reversed their decision.

Media reports indicate that the decision to allow foreigners in the country has received good applause with clubs expressing their delight.

The move comes after the Algerian FA decided to announce in 2016 that due to a lack of fiscal accountability and incompetent recruiting, all Algerian clubs would be banned from signing foreign players.

ES Setif are set to lift their eighth Algerian league title this year and were about to release their duo in Malagascar's Ibrahim Amada and Cameroonian Azongha Tembeng due to the rule.

CRYSTAL PALACE STAR ZAHA REVEALS HIS FAVORITE GOAL

However, in changing their tune, the FA announced that clubs will now once again be able to recruit foreign players, but they must be below the age of 30.

"I was surprised and a little shocked when I learned of the law, because I had never heard of such a thing," Amada told BBC Sport.

"I was familiar with quotas that limit two or three foreign players, but I had never heard of completely banning players from playing in a league."

The legislation was censured locally and internationally and eventually overturned on Thursday, 27 May as clubs will look for players from foreign leagues.

According to a statement released by the Federation, the move has been reversed and the Malagasy international has breathed a sigh of relief.

"As of the 2017/2018 season, Ligue 1 Mobilis clubs may once more recruit foreign players. The number of foreign players may not exceed two, and those signed may not be over the age of 30," reads a statement from the Algerian FA.

"It's logical. We can't stop an athlete from expressing themselves in any country so long as the league is professional," adds Amada.

2019 Africa Cup of Nations Qualifiers tournament »​


Lakini timu zinazosajili sana wachezaji wa kigeni si ni Tatu tu?..Sina takwimu rasmi lakini naamini hizi timu nyingine zinazoshiriki Ligi kuu zina wachezaji wachache sana wakigeni..Na hata kwa ujumla uwiano wa wageni na wenyeji katika ligi kuu bado si wa kuogofya..


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huyo Miquessone si anaenda Al Ahly na namba yake ya jezi pale Msimbazi ameshapewa Peter Banda.

Lakini pia mmoja kati ya Chama au Mugalu huenda akaondoka pia dirisha hili.

Sasa hiyo 12 itatoka wapi katika mazingira hayo ?

Na huyo Inonga ndio nani pale Simba mbona mie simfahamu
Si mpaka taarifa ziwe rasmi
 
Kwa nini wasipandishe viwango vyao Namungo?
Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni? [emoji30][emoji30]
 
Kuna tetesi za chini ya kapeni zinazo sema bodi ya wakurugenzi ilipokaa kikao chake wiki kadhaa zilizo pita imeafikiana kumuomba ndugu Walace Karia aongeze idadi ya wachezaji wanaoruhusiwa kucheza Ligi KUU Tanzania.

Pendekezo ni kuongeza nafasi ziwe 12 kutoka 10 za sasa.

Changamoto hiyo imetokea baada ya Simba kupatwa na kizungumkuti katika kuamua ni nani wamuache na nani wamsajili.

1.Onyango 2. Wawa 3. Chama 4. Luis Miq 5. Mgalu 6. Chikwende 7. Bwalya 8. Morrison 9. Inonga 10. MK 14 11. Banda 12. Lwanga
Ninyi UTOPOLO si mlisema Chikwende amevunja Mkataba?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Sio ombi la simba ni ombi la utopolo mmesajil wachezaji 12 wa Congo kutoka goba, hapo kwenye list yako ondoa luis.
Kwanini amuondoe mkuu? Au ashachukuliwa na waarabu?
 
Tatizo ni kubwa timu ya Taifa inakuwa mdebwedo na Uingereza tayari hilo la foreign players linaathiri sana kupata wachezaji wa Timu ya Taifa wenye viwango vikubwa.
Timu ya taifa si inachukua na wachezaji wanaocheza nje mkuu (Akina Ulimwengu, Samatta, Msuva, n.k) sasa iweje huo u-mdebwedo uhusishwe na idadi ya wageni kwenye ligi ?

Pia kumbuka hizo Simba na Yanga bila hao wageni ni almost sawa tu na Namungo, KMC au Ruvu Shooting zilizochangamka.

Haziwezi kufika hata robo fainali za mashindano ya Afrika kwa miaka hii.
(Miaka ya 70 the case was different na sasa).
 
Watanzania wangapi wanacheza mpira nje? Unadhani nchi kama China ambazo zimeruhusu idadi ndogo sana ya foreign players ni wapuuzi? China wameruhusu wachezaji watano tu ná Algeria pamoja na kuweka limit ya age wameruhusu wachezaji wawili tu ambao si Waalgeria. Hizi nchi zimeona mbali sana sisi TUNAKURUPUKA bila ya kutafakari athari ya hili kwa Timu ya Taifa.
Timu ya taifa si inachukua na wachezaji wanaocheza nje mkuu (Akina Ulimwengu, Samatta, Msuva, n.k) sasa iweje huo u-mdebwedo uhusishwe na idadi ya wageni kwenye ligi ?

Pia kumbuka hizo Simba na Yanga bila hao wageni ni almost sawa tu na Namungo, KMC au Ruvu Shooting zilizochangamka.

Haziwezi kufika hata robo fainali za mashindano ya Afrika kwa miaka hii.
(Miaka ya 70 the case was different na sasa).
 
Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni? [emoji30][emoji30]
kwasasa mpira biashara mengine haya baadae kidogo
 
Kwenye biashara ndani ya nchi wazawa pia ni lazima wanufaike Mkuu si wageni tu au wageni wakawa wengi kuliko wazawa.
kwasasa mpira biashara mengine haya baadae kidogo
 
Mwenye nacho ataongezewa. Wachezaji wa kibongo mbona wanapewa sana nafasi wanashindwa wenyewe wapi salamba? Wapi sigano messi? Wapi ajibu? Kichuya je? Hadi hapo bado unasema idadi ya wageni ina athiri vipaji vya wabongo au ni uzembe wao tu wanajifichia kwenye kichaka cha wachwezaji wa kigeni.
 
Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni? [emoji30][emoji30]
Kabla wachezaji wa kigeni hawajaongezwa hao wa ndani walikuwa wanapata hiyo exposure ?
 
Mzawa hawezi kuongeza kiwango chake kwa kutosajiliwa na timu kubwa kwa sababu kuna wageni wengi au kukaa benchi kwa sababu asiye mzawa ana kiwango kuliko yeye. Ná kiwango cha mcheza kinapatikana kwa kushiriki katika mechi nyingi za Kitaifa na Kimataifa kama hawazipati hizo hawawezi kuongeza vipaji vyao vya uchezaji. Wachezaji 12 wa kigeni ni wengi sana. 5 hadi 7 inatisha sana. Mbona miaka ya nyuma kulikuwa hakuna wageni na soka la Tanzania lilikuwa juu tu kwa kuweza kushindana na mataifa mbali katika kiwango cha juu?
Mataifa yapi timu za Tanzania ziliweza kushindana nayo ?

Kipindi kipi hicho ?
 
Watanzania wangapi wanacheza mpira nje? Unadhani nchi kama China ambazo zimeruhusu idadi ndogo sana ya foreign players ni wapuuzi? China wameruhusu wachezaji watano tu ná Algeria pamoja na kuweka limit ya age wameruhusu wachezaji wawili tu ambao si Waalgeria. Hizi nchi zimeona mbali sana sisi TUNAKURUPUKA bila ya kutafakari athari ya hili kwa Timu ya Taifa.
Unaweza nambia kilichowafanya Kichuya, faridi musa, salamba na huyu dog wa azam nimemsahau jina washindwe kuperform kule njee ni ajiri ya hii idadi ya foreign hapa bongo au ni uzembe wao? Ukisha lijua hili utagundua wachezaj wa kibongo ni wazembee hawajitumii hivo kwa team kama simba inayotaka mafanikioa haiweI tegemea hawa wachezaji wavivu lazima uwe na strong squad inatoka wapi sasa usipokuwa na nambaa kubwa ya kigeni.
 
Hujui klabu bingwa Tanzania inashiriki mashindano gani Afrika? Sasa kama the first 11 players au hata ni 8 hao Wabongo exposure wanaipata wapi?
Kabla wachezaji wa kigeni hawajaongezwa hao wa ndani walikuwa wanapata hiyo exposure ?
 
That is a different topic. Ability to perform outside the country and getting the opportunity to play for various clubs within the country instead of foreign players are two different issues.
Unaweza nambia kilichowafanya Kichuya, faridi musa, salamba na huyu dog wa azam nimemsahau jina washindwe kuperform kule njee ni ajiri ya hii idadi ya foreign hapa bongo au ni uzembe wao? Ukisha lijua hili utagundua wachezaj wa kibongo ni wazembee hawajitumii hivo kwa team kama simba inayotaka mafanikioa haiweI tegemea hawa wachezaji wavivu lazima uwe na strong squad inatoka wapi sasa usipokuwa na nambaa kubwa ya kigeni.
 
Pale siasa zinapoingizwa had kwenyr mpira matokeo yake ni haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbunge ananunua ka [emoji243][emoji243] alafu anaita ligi kumbe lengo wampe kura akipata ligi limeisha bas vipaj vinafia hapo , [emoji23][emoji39][emoji39]kwann mo asilete wagen? Nan alaumiwa sasa mbunge?au mo anaetaka faida ? Jibu unalo[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom