Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

For national competition, Brazilian clubs are allowed to name up to five players born outside Brazil in their roster.
Hivi ni wafaransa wangapi wanaanza pale PSG ?

Hivi ni wachezaji wangapi wa timu ya taifa ya Ufaransa wanacheza Ligue 1 ?
 
Mawazo mgando hayo. Kuamini kua wachezaji wa kigeni wakiwa wengi basi tunaua vipaji.
 
Hili la wachezaji wa kigeni linazorotesha sana vipaji vya Watanzania kupata exposure ili nao waweze kufikia viwango vya juu. Wachezaji 12 wa kigeni? [emoji30][emoji30]
Soka la vilabu vya tz liameanza kukuwa baada ya ongezeko la usajili wa wachezaji wa nje. Tukisema tukomae na hawa hawa wachezaji wetu uchwara wasio jituma, tutaendelea kushika mkia kwenye ngazi ya vilabu vya soka barani Africa na duniani kote kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akikujibu unitag maana naona jamaa hawazi mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa anataka turudi miaka ya 2015

Sent using Jamii Forums mobile app
 
E
Tatizo ni kubwa timu ya Taifa inakuwa mdebwedo na Uingereza tayari hilo la foreign players linaathiri sana kupata wachezaji wa Timu ya Taifa wenye viwango vikubwa.
England ya Sasa c yazaman, angalia performance yake ndan ya miaka Minne, 3rd world cup, 2nd in Euro
 
Mpuuzi kweli wewe Nchi mbali mbali duniani ikiwemo Portugal, Brazil, Italy, Germany ambazo zina mafanikio makubwa sana ya mpira duniani na pia soka ni biashara kubwa sana katika nchi hizo zinaruhusu kati ya wachezaji wageni watano hadi wanane katika clubs zao na wanaoruhusiwa kucheza katika kila mechi ni kati ya watatu mpaka watano lakini hulioni hilo. Huyo karia ANAKURUPUKA na kuruhusu wachezaji 12!!! Hakuna nchi yenye upuuzi kama huo duniani ni kichwa cha MWENDAWAZIMU TU Tanzania.
Mawazo mgando hayo. Kuamini kua wachezaji wa kigeni wakiwa wengi basi tunaua vipaji.
 

Corinthians have exceeded their limit of foreign players​


OneFootball
Dan Burke 13 February 2019

With the arrival of Uruguayan defender Bruno Méndez, Corinthians have now exceeded the limit of foreign players allowed in their squad.
For national competitions, Brazilian clubs are allowed to name up to five players born outside Brazil in their roster.
Corinthians now have six: Méndez (Uruguay), Ángelo Araos (Chile), Mauro Boselli (Argentina), Sergio Díaz and Ángel Romero (Paraguay) and Junior Sornoza (Ecuador).


Romero’s situation, however, remains undefined. The winger had been heavily linked with a move away from Timão but recent reports suggested he has actually resumed negotiations with the club over a new contract.
The 26-year-old’s current deal is due to expire in July this year.
If not Romero then Corinthians made need to let one of their other foreign players go.
 
Utopolo wanapenda sana kuzusha mambo kwa mujibu wa mtendaji wa bodi timu pekee iliyopeleka mapendekezo ni yanga sasa simba sijui imeingiaje hapo
 
Jamaa anataka turudi miaka ya 2015

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio 2015..bali enzi za FAT...
Tuwe tu wakweli..Tanzania hatujawahi kuwa na mafanikio consinstently eitha kwa Timu ya Taifa au vilabu vyetu (kimataifa) walau hata kwa kipindi cha miaka 5..
Tukiamini wingi wa wachezaji wa kigeni ndio chanzo cha kuzorotesha soka la Bongo,basi hatutambui kiini cha tatizo la soka kwa Tanzania.Nataka niende mbali zaidi na Kusema kwa ujumla sekta ya Michezo Tanzania bado iko chini,tena sana,sasa sijui na huko kwingine ni wingi wa wageni..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Leo gazeti la Mwananchi

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…