Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,404
AiseeKaribuni[emoji241] [emoji241] View attachment 943642
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKaribuni[emoji241] [emoji241] View attachment 943642
Konyagi mkuu ila k-vant hapanaMkuu tusaidiane kilevya kipi ni bora kutumia wakati unatumia hii kitu
Kimara k'moto chafu chafu sana kule ukiondoa Safari resort....Hakuna kama kimara!!
Wapi kuna kisafi mkuu? Nataka weekend nikafanye mambo!Kimara k'moto chafu chafu sana kule ukiondoa Safari resort....
Mibs sinza, kontena mikocheni,rest fish& bbq mbeziWapi kuna kisafi mkuu? Nataka weekend nikafanye mambo!
Pana mbege?Kimara korogwe ukipanda mwendo kasi ukitokea ubungo unashuka kituo cha Resort upande wa kushoto kuna jiko
Mama angu leo nipikie hii kitu nyumbani![emoji4][emoji4][emoji4]Afanye aende tuu kwa babu ayubu akale...
Kuna cha kuchoma mkuu?Karibu mkuu,,ulizia sehemu moja panaitwa white house kuna dogo mmoja anaitwa chale anatengeneza kitimoto safii sana,
Chura na mbege wanywaa?Pana mbege?
Nimeimiss sana, nina almost 3 years sijaionja sasa nina hamu kweli kweli!!Chura na mbege wanywaa?
Kuna cha kuchoma mkuu?
Unataka na nn my son,.ndizi,chips,ugali,wali au na nn??em niambie tafadhali mama anakusikiliza..Mama angu leo nipikie hii kitu nyumbani![emoji4][emoji4][emoji4]
Nikirudi nipelekePale kontena daah!.. Unaweza kujing'ata[emoji39]
Oyooo. Wako vizuri sana hapo aiseeSafari resort - kimara ni utamu wa kujilamba ulimi
Dofrastabe hakuna hii makitu nini mazee?Nikirudi nipeleke