edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Duh sijaelewa ulichoandikaDofrastabe hakuna hii makitu nini mazee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh sijaelewa ulichoandikaDofrastabe hakuna hii makitu nini mazee?
Best mbona hujaikausha?.... Utachezea minyoo tumboni ipande hadi kifuani uitapike mbele za watu ohooo!Ukiwa bachelor unajifunza kupika kitimoto style kama zoteView attachment 943868View attachment 943873
Hamna nimeiweka kwenye microwave for 15min imepigwa mionzi yakutosha nikakaanga nikaiweka tena kwenye microwave for 5 min huyo mnyoo akibaki atakuwa ametumwaBest mbona hujaikausha?.... Utachezea minyoo tumboni ipande hadi kifuani uitapike mbele za watu ohooo!
Oyooo. Wako vizuri sana hapo aisee
[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]... mitaa ya Frankfurt hiyo, central German!Duh sijaelewa ulichoandika
Kesho naenda nunua na Mimi undenda kama wotewapio hapo jamani daaaa
Haaahaaa...hapo sawaHamna nimeiweka kwenye microwave for 15min imepigwa mionzi yakutosha nikakaanga nikaiweka tena kwenye microwave for 5 min huyo mnyoo akibaki atakuwa ametumwa
Astaghafillullah..!Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.
View attachment 942375
View attachment 942377
Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,
Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.
Cc Zero IQ
Ya kuchemsha siipendi hataa!Tukichoka kukaanga tunachemshaView attachment 943898
Ahaaaahaaa[emoji23] [emoji23] ....umenichekesha walahiAstaghafillullah..!
Huyo kiumbe ni kharamu lakini utamu wake ni zaidi ya "mchepuko wa mkulu"
Duuh...ila nahisi kitimoto choma ni tamu na ndizi na ugali mmmh!Siku nimerudi bongo tukaenda na demu kwa mama kamchi .. Wakaniuluza unakula na ugali... Nilishangaa sana nani mlafi huyo anakula kilo na ugali. Ila nikajagundua kitimoto + ugali ni homa ya jiju
Inautamuwake ... Mi naiweka kwenye plastic bug naitupia na viungo kwenye microwave inajichemsha yenyeweYa kuchemsha siipendi hataa!
Siku ukija nataka kuionja....airport lkn coz ikishapata joto la kibongo itaoza[emoji23] [emoji23]Inautamuwake ... Mi naiweka kwenye plastic bug naitupia na viungo kwenye microwave inajichemsha yenyewe
Ni kitu lainiSiku ukija nataka kuionja....airport lkn coz ikishapata joto la kibongo itaoza[emoji23] [emoji23]
Ujaribu na INI na mkia ni vitamu.. Mixer bandama bado sijala utumbo wake tuu na pua ile ila soon ntanunuaSiku ukija nataka kuionja....airport lkn coz ikishapata joto la kibongo itaoza[emoji23] [emoji23]
Aaagh! ...hivo hapana asee[emoji36] [emoji36]Ujaribu na INI na mkia ni vitamu.. Mixer bandama bado sijala utumbo wake tuu na pua ile ila soon ntanunua