Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Best mbona hujaikausha?.... Utachezea minyoo tumboni ipande hadi kifuani uitapike mbele za watu ohooo!
Hamna nimeiweka kwenye microwave for 15min imepigwa mionzi yakutosha nikakaanga nikaiweka tena kwenye microwave for 5 min huyo mnyoo akibaki atakuwa ametumwa
 
Tukichoka kukaanga tunachemsha
IMG_20181111_125242.jpeg
 
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?

Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za kukaanga,nimeshapanga ratiba yangu leo lazima nikale kitimoto.

View attachment 942375

View attachment 942377

Nb:
Mashekhe na Maustadhi tafadharini sana msije kuutia shombo uzi huu,

Huu ni kwa sisi wala kitimoto tu ukiona haukufai kafanye mengine siyo kuja hapa.


Cc Zero IQ
Astaghafillullah..!
Huyo kiumbe ni kharamu lakini utamu wake ni zaidi ya "mchepuko wa mkulu"
 
Siku nimerudi bongo tukaenda na demu kwa mama kamchi .. Wakaniuluza unakula na ugali... Nilishangaa sana nani mlafi huyo anakula kilo na ugali. Ila nikajagundua kitimoto + ugali ni homa ya jiju
 
Siku nimerudi bongo tukaenda na demu kwa mama kamchi .. Wakaniuluza unakula na ugali... Nilishangaa sana nani mlafi huyo anakula kilo na ugali. Ila nikajagundua kitimoto + ugali ni homa ya jiju
Duuh...ila nahisi kitimoto choma ni tamu na ndizi na ugali mmmh!
 
Back
Top Bottom