Kilimanjaro (Boma) - Barabara ya kwenda Lawate, upande wa kushoto kuna Bar ndogo ndogo ina hii huduma.
Kilimanjaro (Mtaa wa Karanga opposite Magereza) - Kuna fundi mmoja yuko mwisho kabisa wa zile frame za biashara. Ana balaa huyu jamaa. Anatoa kitu safiii sana.
Mbeya (mjini) - Penge restaurant maeneo ya Mzumbe Uni.
Mbeya (mjini) - Barabara ya kwenda hotel za Mfikemo kuna vibanda vingiii.
Mbeya (mjini) - Chini ya Chaula Pub karibu kabisa na chuo cha mzumbe.
Arusha - Kimandolu eneo la Njia ya Ng'ombe pale kuna mtaalam kajiwekea kibanda safii.
Arusha - Mianzini mkabala na CRDb office kuna vibanda vingii.
Arusha - Mwanzo wa Barabara ya kanisa la Father babu ukitokea ALMC hospital.. karibu na mafundi wa furniture wameweka vitanda nje na makabati. Kuna Bar siijui jina. Wako vizuri sana.
Arusha - Karibu na mahakama ya Wilaya kuna bar inaitwa Apache. Huduma safi na salama.
View attachment 1413668
Sent using
Jamii Forums mobile app