cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitimoto ya kuchoma ina balaa.....[emoji91]
Halafu inachonifurahisha hii kitu, baada ya kuila kifuatacho ni maji tu inaleta kiu.
Nashauri watu tusiopenda kunywa maji tule kitimoto sana. More [emoji200] more water