Walaji wa nyama ya kitimoto hatarini kuugua kifafa

Walaji wa nyama ya kitimoto hatarini kuugua kifafa

1644953367656.jpeg
 
mtu mwenyewe mwarabu, pumbavu kabisa!!! sisi tutakula yeye asubiri figo na moyo wa mkuu wa jiko!!
 
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.

Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri. Kazi kwenu walaji wa kitimotoView attachment 2120482
Sasa pikeni vizuri ili mle na msiugue kifafa, tatizo liko wapi?
 
Akwende huko.

Mbna hawaongelei ulaji wa vyakula vya kusindiia viwandani na madawa ya hovyo hovyo.

Kwakuwa imani fulani imeharamisha bas wanataftia udhaifu kitimoto kionekane kibaya.

Achen kunywa masoda, mabia na hayo majuis uchwara ya viwandani.

Kitimoto idumu milele
Acha mihemko, wapi kasema ni haramu? Kasema ipikwe vizuri ili watu wale wasipate kifafa. Hajazungumza kuhusu dini.
 
Dokta wa michongo huyo cheki hata ndevu zake...kimsingi hata nyama ya kondoo..ngombe zote zina minyoo mibaya inayoweza sababisha hayo magonjwa ya kifafa..mbona kuishambulia kitimoto..

#MaendeleoHayanaChama
 
Mhudum : kaka karibu
Mimi : Asante
Mhudumu : nikuhudumie mini ?
Mimi : hot chair ipikwe vizuri Dr kasema
Mhudumu : Aya kuwe mvumilibu


Hot chair ilaletwa plus vibiabia hv yaani we acha tu
 
mtu mwenyewe mwarabu, pumbavu kabisa!!! sisi tutakula yeye asubiri figo na moyo wa mkuu wa jiko!!
Sijaona kosa la Dr hapo, kasema nguruwe apikwe vizuri ndo iliwe. Hajasema yeye hali Wala hajagusa imani yoyote. Kasema ipikwe VIZURI.
Kosa hapo liko wapi enyi wagalatia wapumbavu?
 
Hii nyama hata mseme tukila tutakufa hatuachi abadani asilani.
 
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.

Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri. Kazi kwenu walaji wa kitimotoView attachment 2120482
Acheni kuchanganya imani na taaluma, ni chakula gani kisipopikwa vizuri hakina madhara?
 
Mmerudi tena??? Unafahamu kuwa nchi inayoongoza duniani kwa raia wake kula kitimoto ni China?? unafahamu kuwa China ina takribani watu 1.402 Billion? kati ya hao ni takribani watu 10 milioni ndio wanaugua kifafa.

Disclaimer: Nimetoka kupiga kitimoto rosti na Ugali.
 
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.

Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri. Kazi kwenu walaji wa kitimotoView attachment 2120482
ASITUTISHE☹☹
 
Back
Top Bottom