Walaji wa nyama ya kitimoto hatarini kuugua kifafa

Walaji wa nyama ya kitimoto hatarini kuugua kifafa

[emoji23][emoji23][emoji23]
mshana bwanaa... hiyo ni picha ya mdudu na mkungu wa ndizi. nadhani huyo jamaa ndo anaenda kutengeneza balaa moja la kusababisha kifafa
Hahahaha
 
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.

Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri. Kazi kwenu walaji wa kitimotoView attachment 2120482
Je ukishushia hiyo kitimoto na konyagi unaweza kupata kifafa? Maana komyagi ni kama spirit inauwa vijidudu vyooote
Asante
 
Wamekula babu na bibi zetu na walizikwa wakiwa na 80+, 90+ wazima kabisa.
Hivi mtu kama kifafa hataumwa yeye... na mwenye kifafa akipelekwa hospitalini kwake atapiga hela, SHIDA NI NINI KWAKE? Hiyo huruma ya hivi ameianza lini?

Nimesoma jina lake na kucheck mavazi yake nimegundua hapo shida si hicho kifafa, ni ILIM AHERA aliyonayo
 
Akwende huko.

Mbna hawaongelei ulaji wa vyakula vya kusindiia viwandani na madawa ya hovyo hovyo.

Kwakuwa imani fulani imeharamisha bas wanataftia udhaifu kitimoto kionekane kibaya.

Achen kunywa masoda, mabia na hayo majuis uchwara ya viwandani.

Kitimoto idumu milele
Nilijuwa tu Kuna mja ataileta hii mada Huku.

Kibarakashia kimemponza Dr wa watu.
 
Kwa hiyo Doctor shekh Yusuf hali nguruwe!
 
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.

Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri. Kazi kwenu walaji wa kitimotoView attachment 2120482
Mjinga huyo mbohora.
Watu tumekula kitimoto kwa miongo na miongo hakuna cha kifafa wala mtindio.
Nimkaribishe kitifire sehemu aseme poo!
 
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.

Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri. Kazi kwenu walaji wa kitimotoView attachment 2120482
Mbona wazungu hawaugui acha hizo usichanganye imani yako na hiyo kofia hapo na taaluma uliyosomea.Ingekuwa hivyo wachanga na wanyakyusa wangeugua sana
 
Pote la mbali bwashee
Babuu leo nimekula kilo pekeanguu kuanzia sa saba mpaka sa 10.

Pole poleee huku nakazia na Vant mixa na ndizi rost
Alafu anatoke kishtobe mmoja na kofia kama kifuu cha nazi anakuja na ukunguni wake na mkee kichaa anasema inaleta kifafa kama vile alikula ye na makinda wake kwake alafu wakapata kifafa kengere kwelii
 
Kumbe shida ni isipopikwa vizuri. Kila chakula kisipo pikwa kikaiva vizuri kina madhara
 
Mnisamehe bure..sijui kwanini nikionaga mtu kafuga midevu kama hivyo..kavaa na hicho kikoafia..hua nahisi amejifungia mabomu mwilini..hata kama awe nani naonga kinacho fuata hapo ni kutaja lile jina na kujilipua.

Anyway kuna taeni saginata..kuna e.granulosus na wengine wengi wa hao minyoo wanapatikana kwenye nyama ya ngombe na kondoo wanaweza sababisha kifafa pia..

Chamsingi pikeni nyama iive...sijaona sababu ya kushambulia nyama ya kitimoto pekeake.

Vinginevyo ni si daktari ni maalimu anatoa ilimu akhera

#MaendeleoHayanaChama
 
Babuu leo nimekula kilo pekeanguu kuanzia sa saba mpaka sa 10.

Pole poleee huku nakazia na Vant mixa na ndizi rost
Alafu anatoke kishtobe mmoja na kofia kama kifuu cha nazi anakuja na ukunguni wake na mkee kichaa anasema inaleta kifafa kama vile alikula ye na makinda wake kwake alafu wakapata kifafa kengere kwelii
Alafu nimekuja kushtukia jamaa wanakula kisiri siri asee
 
Back
Top Bottom