Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Kweli lengo la maisha ni furaha na sehemu ya ukamilifu wa furaha ni maisha ya ndoa.
Ndoa za siku hizi zimekua shubiri, ile furaha tarajiwa haipo tena, lakini zile faida za ndoa zipo na hakuna replacement yake.
Kwa namna hio unapo tafuta mbadala wa ndoa inabidi mchakato wake uwe was muda mrefu.
Ndoa za siku hizi zimekua shubiri, ile furaha tarajiwa haipo tena, lakini zile faida za ndoa zipo na hakuna replacement yake.
Kwa namna hio unapo tafuta mbadala wa ndoa inabidi mchakato wake uwe was muda mrefu.