Pimbi mwenyewe. Eboh!Ni kwel, kwangu Mimi sjatoa faida yoyote kwa wazazi wangu,zaidi ya kuwa mzigo,labda wao wanaijua faida yangu kwao,ulivyo pimbi umekosa faida za watoto,unasema tu zipo lakini kuzitaja umeshindwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umetukana muhenga!Pimbi mwenyewe. Eboh!
wewe n pimbi tu,tetea hoja sio unaleta bra barah hapaPimbi mwenyewe. Eboh!
Ha haaa hapana nimemrudishia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umetukana muhenga!
Ha haaa kuku wewewewe n pimbi tu,tetea hoja sio unaleta bra barah hapa
Nipe faida ya kutokuwa na mtotoNipe faida ya kuwa na mtoto
Nishaicheki kitambo.kuna movie moja inaitwa THE UPSIDE.. ameigiza kevin Hart!.. majibu yako yote yako mle mkuu.
nna uhakika kuna majibu ya mtoa mada, au unalizungumziaje hilo!?.Nishaicheki kitambo.
Kwa mujibu wa muvi jinsi mzee alivyokua hadi akabidi amuajiri Kevini basi mtoto na mke ni Muhimu. Familia ndio kila kitu ndio msaada wako wa karibu pindi uwapo na uhitajinna uhakika kuna majibu ya mtoa mada, au unalizungumziaje hilo!?.
lakini si ndio solution kama hukuoa!?.. maana naweza nisioe ila nikawa na watoto na wakanijali uzeeni kwangu.. nadhani mada imeuliza swala la kutokuoa na si kupata mtoto.Kwa mujibu wa muvi jinsi mzee alivyokua hadi akabidi amuajiri Kevini basi mtoto na mke ni Muhimu. Familia ndio kila kitu ndio msaada wako wa karibu pindi uwapo na uhitaji
Kwan huyo mtoto lazima asome kama mimi, si tasoma shule kwa kurushwa madarasa na baada ya hapo anakula course fupi ya mwaka m'moja anaingiza mzigoni...... Acha kuclamisha maisha wewwwewe sasa kama una mpamgo wa kuoa na uanelekea 40 shika kalam na karatasi, piga hesab za mtoto wa kwanza hadi anamaliza chuo utakuwa age gani, na last born utakuwaje. utajikuta kuna hatar ukafa hujawai kuishi. unahangaika na familia tu! ila kama utashupaza shingo bas niongeze tu USIOE BINTI AU DADA MDOGO KUIFURAHISHA NAFS KUWA UMERUDI UJANANI. utaishi kwa tabu ya hofu ya kuibiwa na hofu ya underperformance kias kwamba katakupelekesha ka mke dogo dogo utakufa mapema mno. oa mkubwa mwenzio. kama ameachika ni added advantage.
True mpenzi, huyu ameamua tu kuwatisha wenzake..... Usiogope my wanguunaweza ku adopt watoto....umeongea mambo ya msingi sana, pressure kutoka katika jamii inayotuzunguka inafanya wengine waingie ndoani for the sake of it,matokeo yake mpaka wanakufa hawana furaha...
Eee basi si unaendelea tu kukata gogo kwa raha zako....Mtakuwa mnajinyea na hakuna wa kuwaosha mnathamani marafiki watakuwa wanawapita tu kama hawawaonj