Zipo nying sana:-Nipe faida ya kutokuwa na mtoto
Sasa maisha yana faida gani tena kama utayakimbia majukumu muhimu kama hayo?Zipo nying sana:-
1.hutapoteza muda ktk malezi,Mara kwenda kilinik
2.pesa yako haitatumika kwenye maswala ya ada ya watoto
3.unaweza epuka magonjwa ya moyo maana Kuna mitoto inatabia za ajabu znazoweza kukupelekea kupata stress
4.hakutakuwa na kelele nyumba,n.k
unaweza ku adopt watoto....umeongea mambo ya msingi sana, pressure kutoka katika jamii inayotuzunguka inafanya wengine waingie ndoani for the sake of it,matokeo yake mpaka wanakufa hawana furaha...
Aiseee zipo. Dah acha tu. Nilienda mojawapo pale msimbazi center dah kama haujui tafasiri ya neno upweke uzeeni then nenda utembelee vijijini vya wazee.Hivi siku hizi kuna huduma ya nyumba za kutunza wazee huko Tanzania? (nursing homes)..kama hakuna tafuta familia hata kama ni ku adopt, unaweza ukawa na pesa uzeeni na ukawa mpweke,mwenye sononi...na kama hamna huduma ya nursing home nani atakutunza?? lazima ufikiri hizo trade offs kabla ya ku make decision not to have a family.
Hivi ni Kwanini, Kwanini majority ya wanapenda fanya maamuzi haya magumu sababu ya pressure ya Jamii
Why
Sawa sawa kumbe umekuwa sasa..!!Usipo oa, usipo zaa, huo urijali wako utauonesha wapi?
Usiwe haudindi alafu ukasingizia mambo mengine ili usioe.
Nasema hivi kama mwanamme rijali kabisa (bunduki imejaa risisi) lazima uoe, hayo ya kuzaa mungu ndio anae jua.
Nikiwa kama kidume, nimeoa na nina watoto wawili (wakiume tupu) na shemeji yenu ana mimba ya miezi mitatu.
Kuishi bila kuwaza Leo watu wangu watakula nn,ni maisha yenye amani sana,yaan nakuwa najiwazia Mimi tu,Nile nn,ninunue nn,niende wap na kwa muda gani,aisee full stareheSasa maisha yana faida gani tena kama utayakimbia majukumu muhimu kama hayo?
we hutaki majukum kana kwamba wazazi wako hukuwapa majukumu.. akili fupiKuishi bila kuwaza Leo watu wangu watakula nn,ni maisha yenye amani sana,yaan nakuwa najiwazia Mimi tu,Nile nn,ninunue nn,niende wap na kwa muda gani,aisee full starehe
Eee Mimi sitak shida,hii dunia imejaa shda,siwez leta damu yangu ije iteseke hapa dunian,kumbuka ukizaa Mtoto hakikisha unamuandalia maisha mazuri yake yeye mpaka watoto wake,sio uzae kwa sifa kama ng'ombewe hutaki majukum kana kwamba wazazi wako hukuwapa majukumu.. akili fupi
una uoga sana wa maisha, akili za kimaskini hizoEee Mimi sitak shida,hii dunia imejaa shda,siwez leta damu yangu ije iteseke hapa dunian,kumbuka ukizaa Mtoto hakikisha unamuandalia maisha mazuri yake yeye mpaka watoto wake,sio uzae kwa sifa kama ng'ombe
Comment kutoka kwa shabiki nguli Wa Manyumbu[emoji119][emoji119]Usipo oa, usipo zaa, huo urijali wako utauonesha wapi?
Usiwe haudindi alafu ukasingizia mambo mengine ili usioe.
Nasema hivi kama mwanamme rijali kabisa (bunduki imejaa risisi) lazima uoe, hayo ya kuzaa mungu ndio anae jua.
Nikiwa kama kidume, nimeoa na nina watoto wawili (wakiume tupu) na shemeji yenu ana mimba ya miezi mitatu.
Wanawake mnapitia madhira mengi sana kwenye ndoa kuliko wanaume, lkn najiuliza kwanini mnakuwaga wa mwisho kuikataa ndoa?Ndoa ni sakreamenti takatifu..na kabla hujaingia ndoani sugua goti Mungu akupe yule aliye sahihi na mwenye hofu yake.
Embu oeni huko mfyuuu.
[emoji3516]Usipo oa, usipo zaa, huo urijali wako utauonesha wapi?
Usiwe haudindi alafu ukasingizia mambo mengine ili usioe.
Nasema hivi kama mwanamme rijali kabisa (bunduki imejaa risisi) lazima uoe, hayo ya kuzaa mungu ndio anae jua.
Nikiwa kama kidume, nimeoa na nina watoto wawili (wakiume tupu) na shemeji yenu ana mimba ya miezi mitatu.
Sijui km nimeelewa swali vzr[emoji848],,,,,Wanawake mnapitia madhira mengi sana kwenye ndoa kuliko wanaume, lkn najiuliza kwanini mnakuwaga wa mwisho kuikataa ndoa?
Mkuu kabla ya mauti utampokea YESU kristo kama bwana na mwokozi wako, nakuombea asee.Baada ya kifu unakuwaje tena kivipi braza...sii ulishamufa ama wee unaongelea kufa tofauti na mimi.
Sijui wewe ila mie nafsi yangu inanisuta kabisa kuwa wewe mzabzab ukifa ni wakichomwa motoni tuu.
Bora unanitakia mema...na iwe hivyoMkuu kabla ya mauti utampokea YESU kristo kama bwana na mwokozi wako, nakuombea asee.
MmhMtakuwa mnajinyea na hakuna wa kuwaosha mnathamani marafiki watakuwa wanawapita tu kama hawawaonj