Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Acha niufufue tena huu uzi jumatatu tu nimepgwa naul ya kutoka Arusha to shy [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha unanikumbusha mbali sana, nilintumia nauli demu aje Dar Toka Arusha akaishia mitini.

Baada ya miezi 6 nikamtafuta nikamwambia yameisha, nikaendelea kumtumia 10000, 15000 hadi 20000 nyingi tu.

Nikamjenga akajengeka nikamwambia nataka kumtambulisha kwa ndg zangu huko kijijini Sangamwalugesha (sio kijijini kwetu lakini just nilimdanganya).

Nikamtumia ya kufika hadi Tabora, enzi hizo hata huko Tabora sikujui, nikatafuta kijiji cha mbali kabisa, (hapa Kumbuka nilimtumia nauli ya kwenda tu, nilimwambia tutarudi wote)

Akafika huko kijijini usiku wa saa4 maana Kuna bus moja tu la zamu. Aliponiambia amefika nikazima simu!

Kesho yake nikamtumia msg kumuuliza mm anakumbuka Ile nauli ya kuja Dar aliyonitapeli......!


In short alienda kujitambulisha kwa mwenyekiti wa kijiji wamsaidie, maana enzi hizo hata huduma za mpesa/tigopesa hazikuwepo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Duuuh ulimkomesha kwa kweli khaaah
 
Mm nilipigwa 8000 ubungo to kigamboni, ilivyofik hela tu kaniambia mjomba wake kaja na hawez kutoka, akaniambia kesho ndio jumla. Mm sikufa moyo, kuna siku kasahau akanipigia simu nikamwambia nipo hapa ubungo njooo tupate kasoda akajisogeza mapaka kwenye baa flani hivi, wakat tunapata soda nikamwambia naomba simu yako nipige huku nokia torch yangu nimeweka mezani nikajifanya km natafuta network ndio nikapotea jumla na cm yake huku nikimuachia nokia torch
😂😂😂Huu uzi unachelesha mno
 
Do nimekoswakoswa kutapeliwa Jana eti nimtumie tiketi ya ndege mwanza dar kwa 85% nshaingia mkenge kutuma ndo nkampigia Dada yake Bunju kuwa una taarifa za mdogo wako kuja akanambia mbona yupo hapa ana wiki mbili aisee nimechoka mpk sasa hivi ametoka kupiga cm cjapokea aisee
Alikuona babu jinga
 
Ah kuna demu alikuwa zanzibar m nipo dodoma ah katika kujitutumua kikadai kinataka kuja dodoma nika tuma laki moja na nusu...ah nilivyotuma tu after 10 minutes akanimute ah ajibu mesej wala hapkei nikasema poa
Nikachil kama wiki tatu nikamvutia waya tena..akadai mama yake alipata presha gafla
Niaktuma tena 30000 nikamwambia njoo dar ah mtoto akafika dar nilichomfanyia hawez nisahau kufa kwan nilichukua simu...alikuwa na kiakiba alikuja nacho kama laki hivi...
Nilimkomoa hasaaaa
Bwege yule
 
Back
Top Bottom