Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,262
- 1,956
hahaaa namla hivyo hvyo manina usintanie
Upande wa pili ungehusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaa namla hivyo hvyo manina usintanie
hahaa hapana mkuu huwaga simgeuzi samaki upande kwa dhamira ya kumla pande zote 2Upande wa pili ungehusika.
Jasho LA mwanaume haliliwi bureKuna jamaa alikua anachat na mimi akijua ni manzi mwenye simu (wife) coz alikua anamsumbua.....
Kajichetua nkamwambia atume nauli, ni wiki iliyopita tu akatuma tigo nikai-cross network kwenda voda ili isiweze kurudishwa then nkalipia deni M-PAWA.
Jamaa kaishia kulialia tu na line yenyewe nshaipiga moto.
Hahahaha, hasa kikifika ukubwa wa bichwa la siafuKichwa cha chini kikitutumka baadhi yetu akili hupungua. Mwanamke akihitaji hata pesa ya teksi itatafutwa.
Unajua madhara ya kupiga dem yupo period, google mzee, yaan umalaya wanaume ndo unaotutesa. Maana kukikuta mwanamke yupo period hesabu siku saba baada ya siku ya meisho kutoka dam ndo anakuwa salama kwa matumizi. Siku zingine hizi tunajitakia matatizo. Maana hata bibilia imesema hivyo kwamba ukimkaribia mwanamke ndani ya hizo siku huwa yupo najisi.baadhi ya matatizo ni, kuwa tasa wote mwanamke na mwanaume, yaan mwanaume sperm zako zinadhoofika milele. Ingine ni matatizo ya mgongo hii pia ni kwa wote, kuziba mirija ya njia ya mkojo kwa mwanaume, kuishiwa nguvu za kiume/ kike. So wengi sana tumepiga wanawake wakiwa kwenye hedhi nikiwemo na mmhahaaa namla hivyo hvyo manina usintanie
Nawe ushawahi tumiwa kumbe halafu hukwenda[emoji15] [emoji15][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]naomba nisamehe kwa kweli nilienda kununulia carolite hiyo helaaa
Mara moja moja sio mbaya mkuu ..hahaaUnajua madhara ya kupiga dem yupo period, google mzee, yaan umalaya wanaume ndo unaotutesa. Maana kukikuta mwanamke yupo period hesabu siku saba baada ya siku ya meisho kutoka dam ndo anakuwa salama kwa matumizi. Siku zingine hizi tunajitakia matatizo. Maana hata bibilia imesema hivyo kwamba ukimkaribia mwanamke ndani ya hizo siku huwa yupo najisi.baadhi ya matatizo ni, kuwa tasa wote mwanamke na mwanaume, yaan mwanaume sperm zako zinadhoofika milele. Ingine ni matatizo ya mgongo hii pia ni kwa wote, kuziba mirija ya njia ya mkojo kwa mwanaume, kuishiwa nguvu za kiume/ kike. So wengi sana tumepiga wanawake wakiwa kwenye hedhi nikiwemo na mm
Duuh aisee, wee ndo mwalimu wao nahisiNasubiria walet nakwambia tuoge Kwanza tuanze mahaba ukiingia bafuni nakufungia na kufuli nabeba vinywaji na Chakula natembea Natumia mkoba nabeba pesaa zote nduki naenda kuacha ufunguo reception nawadanganya unataka kuniomba tigo nimekukimbia
Daaah aiseee watu mna visasi hatariiHahahaha.....kuna demu nilimtumia nauli kutoka singida - dar.....akaila halafu hakuja na akakata mawasiliano......nikaona sio mbaya....baada ya nikamtafuta nikiwa mcheshi.....na uchangamfu like nothing happened..,.wala sikumuuliza.....baada ya kama wiki tatu nikamwomba tena aje....akasema hana nauli.....wala sikuwa na hiyana....mwanaume nikatuma tena....nikamwambia ntakupokea stend (coz hakuwahi kufika dar na hakuwa na ndugu kwa dar).....basi sijui binti aliona kapata bonge la bwana...hahahaha!!!!...akapanda gari aisee....kama utani....njiani naongea naye kwenye simu...nafuatilia kila sehem aliyofika.....kafika dar saa tano usiku.....ili tu kuhakikisha kweli kaja stendi nilikuwepo.....mpaka nikamuona....yuleeeeeee......hahahaha....nikazima na simu.....kudadeki sijui alilala wapi maskini......alikula nn...alirudi vipi kwao.....ila kiukweli mwenyewe iliniuma baadae.....kisasi nilichomfanyia ilikuwa too much...nilimpigia simu baada ya wiki moja.....alinitukana and kunilaumu sana.....aliapa hajawahi kufanyiwa kitu kama kile.....yani nilikubali niingie gharama mara mbili ili tu nimkomeshe....daaaaa...utoto huu....anyway..samahani sana Dada flora popote pale ulipo
nikikumbuka mikeka yangu iliyokwisha chanika, daaah....!![emoji2] [emoji2]Hii ni aina nyingne ya betting ambayo men always do.