Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Kivip fafanua tu vizuriNiliwahi kupata shida kuimagine muonekano wako..! Ila 98% unaendana na posts zako..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivip fafanua tu vizuriNiliwahi kupata shida kuimagine muonekano wako..! Ila 98% unaendana na posts zako..
father of revenge[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha unanikumbusha mbali sana, nilintumia nauli demu aje Dar Toka Arusha akaishia mitini.
Baada ya miezi 6 nikamtafuta nikamwambia yameisha, nikaendelea kumtumia 10000, 15000 hadi 20000 nyingi tu.
Nikamjenga akajengeka nikamwambia nataka kumtambulisha kwa ndg zangu huko kijijini Sangamwalugesha (sio kijijini kwetu lakini just nilimdanganya).
Nikamtumia ya kufika hadi Tabora, enzi hizo hata huko Tabora sikujui, nikatafuta kijiji cha mbali kabisa, (hapa Kumbuka nilimtumia nauli ya kwenda tu, nilimwambia tutarudi wote)
Akafika huko kijijini usiku wa saa4 maana Kuna bus moja tu la zamu. Aliponiambia amefika nikazima simu!
Kesho yake nikamtumia msg kumuuliza mm anakumbuka Ile nauli ya kuja Dar aliyonitapeli......!
In short alienda kujitambulisha kwa mwenyekiti wa kijiji wamsaidie, maana enzi hizo hata huduma za mpesa/tigopesa hazikuwepo!
Najikuta nacheka wallahMimi nina uzoefu na mambo haya kwa miaka 40 hivi !! Nimeshawahi kulizwa na kuliza vile vile
Hii jinsia ya kike ni kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Cha Zanzibar ni cha Zanzibar, Lakini cha Tanganyika ni cha wote a.k.a Tanzania. Mwanamke naye cha kwake ni cha kwake Lakini cha mwanaume ni cha wote a k a family
Hahaha unanikumbusha mbali sana, nilintumia nauli demu aje Dar Toka Arusha akaishia mitini.
Baada ya miezi 6 nikamtafuta nikamwambia yameisha, nikaendelea kumtumia 10000, 15000 hadi 20000 nyingi tu.
Nikamjenga akajengeka nikamwambia nataka kumtambulisha kwa ndg zangu huko kijijini Sangamwalugesha (sio kijijini kwetu lakini just nilimdanganya).
Nikamtumia ya kufika hadi Tabora, enzi hizo hata huko Tabora sikujui, nikatafuta kijiji cha mbali kabisa, (hapa Kumbuka nilimtumia nauli ya kwenda tu, nilimwambia tutarudi wote)
Akafika huko kijijini usiku wa saa4 maana Kuna bus moja tu la zamu. Aliponiambia amefika nikazima simu!
Kesho yake nikamtumia msg kumuuliza mm anakumbuka Ile nauli ya kuja Dar aliyonitapeli......!
In short alienda kujitambulisha kwa mwenyekiti wa kijiji wamsaidie, maana enzi hizo hata huduma za mpesa/tigopesa hazikuwepo!kuna siku nilifanyiwa uhuni sitosahau
Bila revenge hawa viumbe wanaweza kukuua kwa pressure mkuu!father of revenge[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ukala? au ulizima cm?Mimi alikuja lakini mmmh alikuwa bonge la mama
Ndivyo ilivyo wallah [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]Najikuta nacheka wallah
Ukiona hivo ujue huyo ni NJAA KALI na hana nia na wewe zaidi ya kukuchuna na kuondoka na ngozi yote.Hivi inakuwaje wadau demu unamtumia nauli baada ya kupokea hela anapiga kimya haji wakati mshakubaliana aje kwako ? .Naomba michango
Kichwa cha chini kikitutumka baadhi yetu akili hupungua. Mwanamke akihitaji hata pesa ya teksi itatafutwa.Hivi inakuwaje wadau demu unamtumia nauli baada ya kupokea hela anapiga kimya haji wakati mshakubaliana aje kwako ? .Naomba michango
Asa na ukomando wako ulionao unatia aibu aloo ukawa mdogo kama pilipili vileMimi alikuja lakini mmmh alikuwa bonge la mama
Alaf watoto wa moro walivokuwa wazuri walee dah watoto kama walabu vile mzee ukaingiza kingi ukajua umepata kumbe pata potea dah pole sanaMi zangu wamekula nyingi sana ila iliyoniuma nilimtumia dem 50000 moro aje dar