Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Nilishawahi toa laki kwa demu.nikimchukulia kama mpenzi wangu
Hee.kumbe yeye ananichukulia buzi lake.akawa anawasimulia wenzie kuwa Mimi babu jinga.wenzie wakaja kuniambia.nikatemana nae.
 
Hahaha unanikumbusha mbali sana, nilintumia nauli demu aje Dar Toka Arusha akaishia mitini.

Baada ya miezi 6 nikamtafuta nikamwambia yameisha, nikaendelea kumtumia 10000, 15000 hadi 20000 nyingi tu.

Nikamjenga akajengeka nikamwambia nataka kumtambulisha kwa ndg zangu huko kijijini Sangamwalugesha (sio kijijini kwetu lakini just nilimdanganya).

Nikamtumia ya kufika hadi Tabora, enzi hizo hata huko Tabora sikujui, nikatafuta kijiji cha mbali kabisa, (hapa Kumbuka nilimtumia nauli ya kwenda tu, nilimwambia tutarudi wote)

Akafika huko kijijini usiku wa saa4 maana Kuna bus moja tu la zamu. Aliponiambia amefika nikazima simu!

Kesho yake nikamtumia msg kumuuliza mm anakumbuka Ile nauli ya kuja Dar aliyonitapeli......!


In short alienda kujitambulisha kwa mwenyekiti wa kijiji wamsaidie, maana enzi hizo hata huduma za mpesa/tigopesa hazikuwepo!
father of revenge[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi nina uzoefu na mambo haya kwa miaka 40 hivi !! Nimeshawahi kulizwa na kuliza vile vile

Hii jinsia ya kike ni kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Cha Zanzibar ni cha Zanzibar, Lakini cha Tanganyika ni cha wote a.k.a Tanzania. Mwanamke naye cha kwake ni cha kwake Lakini cha mwanaume ni cha wote a k a family
Najikuta nacheka wallah
 
Hahaha unanikumbusha mbali sana, nilintumia nauli demu aje Dar Toka Arusha akaishia mitini.

Baada ya miezi 6 nikamtafuta nikamwambia yameisha, nikaendelea kumtumia 10000, 15000 hadi 20000 nyingi tu.

Nikamjenga akajengeka nikamwambia nataka kumtambulisha kwa ndg zangu huko kijijini Sangamwalugesha (sio kijijini kwetu lakini just nilimdanganya).

Nikamtumia ya kufika hadi Tabora, enzi hizo hata huko Tabora sikujui, nikatafuta kijiji cha mbali kabisa, (hapa Kumbuka nilimtumia nauli ya kwenda tu, nilimwambia tutarudi wote)

Akafika huko kijijini usiku wa saa4 maana Kuna bus moja tu la zamu. Aliponiambia amefika nikazima simu!

Kesho yake nikamtumia msg kumuuliza mm anakumbuka Ile nauli ya kuja Dar aliyonitapeli......!


In short alienda kujitambulisha kwa mwenyekiti wa kijiji wamsaidie, maana enzi hizo hata huduma za mpesa/tigopesa hazikuwepo!kuna siku nilifanyiwa uhuni sitosahau
 
Hivi inakuwaje wadau demu unamtumia nauli baada ya kupokea hela anapiga kimya haji wakati mshakubaliana aje kwako ? .Naomba michango
Ukiona hivo ujue huyo ni NJAA KALI na hana nia na wewe zaidi ya kukuchuna na kuondoka na ngozi yote.
 
Do nimekoswakoswa kutapeliwa Jana eti nimtumie tiketi ya ndege mwanza dar kwa 85% nshaingia mkenge kutuma ndo nkampigia Dada yake Bunju kuwa una taarifa za mdogo wako kuja akanambia mbona yupo hapa ana wiki mbili aisee nimechoka mpk sasa hivi ametoka kupiga cm cjapokea aisee
 
Hivi inakuwaje wadau demu unamtumia nauli baada ya kupokea hela anapiga kimya haji wakati mshakubaliana aje kwako ? .Naomba michango
Kichwa cha chini kikitutumka baadhi yetu akili hupungua. Mwanamke akihitaji hata pesa ya teksi itatafutwa.
 
Mna roho ngumu yaan unatuma pesa alafu una baki una sikilizia!! duh kweli
 
Mi zangu wamekula nyingi sana ila iliyoniuma nilimtumia dem 50000 moro aje dar
Alaf watoto wa moro walivokuwa wazuri walee dah watoto kama walabu vile mzee ukaingiza kingi ukajua umepata kumbe pata potea dah pole sana
 
Back
Top Bottom