Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Mm nlituma nauli elf 50 moshi kuja morogoro nikiwa chuoni. Aisee nlienjoy sijaahi kuona,ila sasa gharama nlotumia ni laki kama 2, maana dem alikuja ijumaa nikakesha jumamosi, jumapili, dem akakataa kuondoka jumapili akasema anaomba ruhusa kazini na mm mfuko nauhurumia na nimeshapiga gem nimechakaa vibaya. Sihitaji tena. Ikabidi nimwambie nimeishiwa hela. Dem akajichanga elf 30 ya room, nikawa sina ujanja. Ilibidi nitumike zaidi ya uwezo wangu
 
Mm nlituma nauli elf 50 moshi kuja morogoro nikiwa chuoni. Aisee nlienjoy sijaahi kuona,ila sasa gharama nlotumia ni laki kama 2, maana dem alikuja ijumaa nikakesha jumamosi, jumapili, dem akakataa kuondoka jumapili akasema anaomba ruhusa kazini na mm mfuko nauhurumia na nimeshapiga gem nimechakaa vibaya. Sihitaji tena. Ikabidi nimwambie nimeishiwa hela. Dem akajichanga elf 30 ya room, nikawa sina ujanja. Ilibidi nitumike zaidi ya uwezo wangu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] una bahati mzee
 
Hivi inakuwaje wadau demu unamtumia nauli baada ya kupokea hela anapiga kimya haji wakati mshakubaliana aje kwako ? .Naomba michango
Duuh!!Nilishawai kumtumia nauli x wangu mmoja hivi, kutoka Nzega kuja Mwanza,alichonifanyi Sitosahu Mpaka leo yaani,,,Wanawake mitu mibaya Sanaaaaa[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Duuh!!Nilishawai kumtumia nauli x wangu mmoja hivi, kutoka Nzega kuja Mwanza,alichonifanyi Sitosahu Mpaka leo yaani,,,Wanawake mitu mibaya Sanaaaaa[emoji25] [emoji25] [emoji25]
[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]
 
Kuna jamaa yangu alimtumia miss wa wilaya flani maarufu dar. Alikuwa mwanza kikazi, alituma nauli return ticket ya fastjet kama laki 5 hivi. Dem akaja kweli ila yupo period so hakula mzigo. Jamaa alimaind balaa
 
Kuna jamaa yangu alimtumia miss wa wilaya flani maarufu dar. Alikuwa mwanza kikazi, alituma nauli return ticket ya fastjet kama laki 5 hivi. Dem akaja kweli ila yupo period so hakula mzigo. Jamaa alimaind balaa
Hahahahahaha
 
Ahh nilirusha mpesa ya Fastjet oneway ikaliwa, nikawa mpole sana nikajua nina kiherehere nikakoma, TUNAJIFUNZA KWA MAKOSA TUNAYO YAFANYA. ndo maana nikitongoza demu akiomba hela mapema situmi maana tunaweza tukaachana muda wowote hata kabla ya kuonana
aiseeee daahh kwahiyo alijifnya mjnja akakupiga changa
 
Kuna jamaa yangu alimtumia miss wa wilaya flani maarufu dar. Alikuwa mwanza kikazi, alituma nauli return ticket ya fastjet kama laki 5 hivi. Dem akaja kweli ila yupo period so hakula mzigo. Jamaa alimaind balaa
hahaaa namla hivyo hvyo manina usintanie
 
Mimi nina uzoefu na mambo haya kwa miaka 40 hivi !! Nimeshawahi kulizwa na kuliza vile vile

Hii jinsia ya kike ni kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Cha Zanzibar ni cha Zanzibar, Lakini cha Tanganyika ni cha wote a.k.a Tanzania. Mwanamke naye cha kwake ni cha kwake Lakini cha mwanaume ni cha wote a k a family
kweli kabisa mkuu ..chao chao vya kwetu wanataka viwe vyao pia
 
Rusha mitusi imkute hukohuko kesho yake wamezidi
 
nshamcheka mtu kdgo anirushie ngumi

tupo zetu kahama kikazi tuko fresh mbesa sio ishu ilkua last Xmas
rafkiangu 1iv kaanza ooh kuna shemlako nataka nltoe mwanza lije full kulpamba yan sjui lina kalio mlima akanionesha picha m mwenyewe nkakubali kwel kazur
jamaa kavuta waya, apo mkesha ili dem aje kesho ambayo ndo xmas sasa dem akakubal jamaa atume nauli kahama to mwanza fee aizid af12 ila jamaa fasta akutuma 70
sasa kesho yake sasa jamaa kila akpiga cm dem yupo njiani hafiki kuanzia sa2 dem kasema ndo anatoka mwanza had sa 6 hajafka af apatkan jamaa akajipa moyo labda cm yake imezima chaj ngoja achukue room kabisa maana ni skukuu asje akakosa chumba tkaenda hotel flan iv room af45 akalpia
nkamwacha pale.... kwe sa10 nkamtafta ili nihakikishe kabsa kama uyo dem kaja
kuniona tuu anaanza kutukana
nlcheka nlcheka ad jamaa akaanza kunchenchia na mm

nakkumbuka sana mr L

mimi sjawah kuliwa nauli hua nawafata sjui uko iringa siku nkicharuka utashangaa nakwambia npo iringa njoo seem flan

M naitaga kusaidia maisha sjui ka mzinga ka 50 we mwenyewe nkikuangalia umepiga wigi la 20 aaah ntakpa hata 60 mrad upendeze

MI siongi ila nawasaidia maisha!!
 
Kuna jamaa alikua anachat na mimi akijua ni manzi mwenye simu (wife) coz alikua anamsumbua.....

Kajichetua nkamwambia atume nauli, ni wiki iliyopita tu akatuma tigo nikai-cross network kwenda voda ili isiweze kurudishwa then nkalipia deni M-PAWA.

Jamaa kaishia kulialia tu na line yenyewe nshaipiga moto.
 
Mi zangu wamekula nyingi sana ila iliyoniuma nilimtumia dem 50000 moro aje dar
aisee ww wa ajabu sana nauki ya moro dar elfusaba inamaana ungetuma elf kumi ingetoaha kabisa maana tatu inayobaki buku angekunywa soda buju nyingine angeweka vocha akifika ubungo na buku nyingine angepata pikipiki kukufuata ulipo aiseee ndugu yangu hebu badilika hata kama pesa unazo
 
Back
Top Bottom