Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

unafikiri nakuruhusu tunalia nyama na vinywaji nje la hasha labda kama na mimi sio mjanja watatuletea chumbani sio nje
Nasubiria walet nakwambia tuoge Kwanza tuanze mahaba ukiingia bafuni nakufungia na kufuli nabeba vinywaji na Chakula natembea Natumia mkoba nabeba pesaa zote nduki naenda kuacha ufunguo reception nawadanganya unataka kuniomba tigo nimekukimbia
 
Hukuomba urudishiwe nauli yako
Aiseee umenikumbusha machungu...nakumbuka kabisa ilikuwa mwaka 2014..binti aliniambia nimtumie nauli..ambayo ilikuwa ni 3000 tu basi na mimi nikajiongeza nikamtumia elfu tano..kilichotokea...mung pekee ndo anajuaa..mana binti akasema mie siji tena...nna dhararula..aisee wanawake mungu anawaona
 
Nasubiria walet nakwambia tuoge Kwanza tuanze mahaba ukiingia bafuni nakufungia na kufuli nabeba vinywaji na Chakula natembea Natumia mkoba nabeba pesaa zote nduki naenda kuacha ufunguo reception nawadanganya unataka kuniomba tigo nimekukimbia
🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳🙄😵
 
Nasubiria walet nakwambia tuoge Kwanza tuanze mahaba ukiingia bafuni nakufungia na kufuli nabeba vinywaji na Chakula natembea Natumia mkoba nabeba pesaa zote nduki naenda kuacha ufunguo reception nawadanganya unataka kuniomba tigo nimekukimbia
Demiss unanifundisha kitu sitokubali unipeleke hoteli unayoijua wewe, utanikuta hapo na utakuta nimeshaoga tayari, ukifika unaenda kuoga then tunaanza mchezo baada ya hapo tunaagiza vinywaji hapo ndio ntakuwa nimekubana
 
Demiss unanifundisha kitu sitokubali unipeleke hoteli unayoijua wewe, utanikuta hapo na utakuta nimeshaoga tayari, ukifika unaenda kuoga then tunaanza mchezo baada ya hapo tunaagiza vinywaji hapo ndio ntakuwa nimekubana
Mxeeew mchezo bila kunywa savvana wala sinyegeki
 
Hivi inakuwaje wadau demu unamtumia nauli baada ya kupokea hela anapiga kimya haji wakati mshakubaliana aje kwako ? .Naomba michango
Hahaha unanikumbusha mbali sana, nilintumia nauli demu aje Dar Toka Arusha akaishia mitini.

Baada ya miezi 6 nikamtafuta nikamwambia yameisha, nikaendelea kumtumia 10000, 15000 hadi 20000 nyingi tu.

Nikamjenga akajengeka nikamwambia nataka kumtambulisha kwa ndg zangu huko kijijini Sangamwalugesha (sio kijijini kwetu lakini just nilimdanganya).

Nikamtumia ya kufika hadi Tabora, enzi hizo hata huko Tabora sikujui, nikatafuta kijiji cha mbali kabisa, (hapa Kumbuka nilimtumia nauli ya kwenda tu, nilimwambia tutarudi wote)

Akafika huko kijijini usiku wa saa4 maana Kuna bus moja tu la zamu. Aliponiambia amefika nikazima simu!

Kesho yake nikamtumia msg kumuuliza mm anakumbuka Ile nauli ya kuja Dar aliyonitapeli......!


In short alienda kujitambulisha kwa mwenyekiti wa kijiji wamsaidie, maana enzi hizo hata huduma za mpesa/tigopesa hazikuwepo!
 
Sitasahu kipindi icho nikaingia kichwa kichwa nikatuma 65k mtu atoke mwanza kuja dar...... roho huku inauma dadek msg ya tgpesa inarudi fedha ishatumwa.... namuuliza kama amepata ananiambia hajapata.....dah... nliumia huku nikijutia maamuzi yangu coz nawajua hawa viumbe.

Kumbe mungu wangu aliona jins nlivojuta, kumbe kapata, af kma zali akafuta msg ya namba ya siri(coz nlituma kwemda mpesa)
Baada ya siku kadhaa anajichekesha chekesha... ati alikua anantania... km vp nimtumie msg ya namba ya siri.....

Baada ya cku7, muamala unarejeshwa kwangu... raha iliyoje.

Sitakuja fanya ungese km huo tena l.
 
Mm nilipigwa 8000 ubungo to kigamboni, ilivyofik hela tu kaniambia mjomba wake kaja na hawez kutoka, akaniambia kesho ndio jumla. Mm sikufa moyo, kuna siku kasahau akanipigia simu nikamwambia nipo hapa ubungo njooo tupate kasoda akajisogeza mapaka kwenye baa flani hivi, wakat tunapata soda nikamwambia naomba simu yako nipige huku nokia torch yangu nimeweka mezani nikajifanya km natafuta network ndio nikapotea jumla na cm yake huku nikimuachia nokia torch
 
Back
Top Bottom