Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
mie wiki iliyopita alisema nimtumie nauli nikakataa nikamwambia hapa sina emu jaribu kukopa sehemu kisha nitakurudishia utakapokuja kweli akafanya hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ck nyingine muombe picha zaidi ya 4 utapata ukweliPicha zilikudanganya
Ni kucheza bikock nyingine muombe picha zaidi ya 4 utapata ukweli
Demiss acha basi kuwafundisha wengine ujue wengine wanasoma wanajifunza eti, kama ndo hivyo basi ntakuwa nakuja kukuchukua tunasafiri wote ole wako ukikataa nije basi najua hapa nomaUkituma nauli nakula Dili Na konda Tunaunza namuachia 10%
Sakayo hatopokea iyo nauli ameshashtukaNitakutumia uje[emoji1]
Ukija tunaenda hotel ninayoijua nakuacha reception nakuambia kaa hapo ngj nikachague chumba Leta hela nalipa alafu natokea mlango wa pili ndukiiiDemiss acha basi kuwafundisha wengine ujue wengine wanasoma wanajifunza eti, kama ndo hivyo basi ntakuwa nakuja kukuchukua tunasafiri wote ole wako ukikataa nije basi najua hapa noma
unaniunguzia nauli sio kwa hasira namchukua demu maeneo ndo atalala asubuhi nageuza sina maumivu makaliUkija tunaenda hotel ninayoijua nakuacha reception nakuambia kaa hapo ngj nikachague chumba Leta hela nalipa alafu natokea mlango wa pili ndukiii
Hapo umeunguza nauli vinywaji na Nyamaa na hela ya chumba sipat Picha utakavyochukiaunaniunguzia nauli sio kwa hasira namchukua changu mwingine maeneo ndo atalala asubuhi nageuza sina maumivu makali
Poleeeee sanaAiseee umenikumbusha machungu...nakumbuka kabisa ilikuwa mwaka 2014..binti aliniambia nimtumie nauli..ambayo ilikuwa ni 3000 tu basi na mimi nikajiongeza nikamtumia elfu tano..kilichotokea...mung pekee ndo anajuaa..mana binti akasema mie siji tena...nna dhararula..aisee wanawake mungu anawaona
unafikiri nakuruhusu tunalia nyama na vinywaji nje la hasha labda kama na mimi sio mjanja watatuletea chumbani sio njeHapo umeunguza nauli vinywaji na Nyamaa na hela ya chumba sipat Picha utakavyochukia
Hahaaa! Wewe umeshindikana.Ukija tunaenda hotel ninayoijua nakuacha reception nakuambia kaa hapo ngj nikachague chumba Leta hela nalipa alafu natokea mlango wa pili ndukiii