Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Na mimi hapa..[emoji137] me to
Ni tabia mbaya mwanaume kuchunguza dume mwenzieZimekuingizia milioni ngapi mpaka leo?
Jibu swali acha kuhamisha magoli.Ni tabia mbaya mwanaume kuchunguza dume mwenzie
Baadhi ya hizo pm zimenipatia $ bila kusahau wifi yako fulaniJibu swali acha kuhamisha magoli.
Halafu anakuja mtu tena eti anajiita dume anajisifu kua "mimi pm mpaka nimezichoka!" teh! teh!Watu tuna Id fake na humu kwenye majukwaa tunajiachia kupita kiasi! Pm za mapenzi za nn!!!? Nani ana uhakika kuwa demiss ni ke? Una uhakika upi kama Gentamycin sio wale wasojulikana? Ukitaka hayo nenda fb uko mkuu wapo wengi wanadangika kule humu utaishia kutekwa tu utapokuta MAMA SABRINA ni Dume la haja! Au SKY ECLAT ni mtu wa kitengo!! Endekeza pm utakuja na mrejesho ukifanikiwa kutoka hai.
NamwogopaHumwogopi Mshana?
Namsalimia tuShemu ila usimuuzi kaka yangu mshana jr
Sasa huko PM kwa huyu jamaa huoni utaukwangua moyo wa Mshana kwangwaru?Namwogopa
Ahahaha acha uongoNa mimi hapa..
Kweli shemAhahaha acha uongo
Namsalimia tuSasa huko PM kwa huyu jamaa huoni utaukwangua moyo wa Mshana kwangwaru?
NakupmKweli shem
Unakuja kunitumia zile kaniki nyeusi?Nakupm
NdioUnakuja kunitumia zile kaniki nyeusi?
HayaNdio
Jali hisia za mwenza wako buanaNamsalimia tu
Jali hisia za mwenza wako buanaNamsalimia tu