Wale ambao tangia ujiunge na jamiiforums hujawahi kutumiwa MSG tukutane hapa..

Ha haha haha kweli mdomo "bakuli "" waambie aiseee"" waelewe "
 
Mie pia niko ka wewe Mbalizi. [emoji12] [emoji12] Hivi ndio nini PM. Hahahaaaa.

Hebu tusubiri wajuzi watuambie kufika nauli yake sh ngapi.

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahaaaa

Mara nyingi tu nasoma humu watu wanazungumzia piem piem - ipoje hiyo piem?

Mbona wengine hatupati hiyo makitu ?
 
Mie pia niko ka wewe Mbalizi. [emoji12] [emoji12] Hivi ndio nini PM. Hahahaaaa.

Hebu tusubiri wajuzi watuambie kufika nauli yake sh ngapi.

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmh hata siamini
We unakosaje PM?
Tena wadada ndo mnapataga nyingi[emoji3]
 
Hahaaaa. Inabidi tuweke kambi kwenye huu uzi aisee huenda tukajua hiyo Piemu inafananaje.

Hahahaaa. Nashangaa hata mie ujue.
Daaaaaaah! Nikajua Hajar kaja walau atanijuza lolote kuhusiana na hiyo makitu kumbe na wewe hujui lolote kama mimi![emoji3] [emoji3]
 
Hahaaaa. Inabidi tuweke kambi kwenye huu uzi aisee huenda tukajua hiyo Piemu inafananaje.

Hahahaaa. Nashangaa hata mie ujue.
PM..Private Message
Kutumiwa msg inbox
Kuchat na mtu, wewe na yeye tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…