Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

Kuna mwamba mmoja nilisha wahi kukutana nae tukafanya biashara
 

na kwl km mimi JF naichukulia kama apps zingne nikiwa najiskia kucheka nakuja kusoma comments za watu kwenye zile uzi pambe
 
 
Kwa wao kujuana ni sawa na kuwa kwenye mahusiano. Ndio maana hwataku kujuana na watu sababh hawataki mahusiano nao. Naitafsiri kama ushamba pia kama kila unaejuana nae basi mnajuana kwa sababu ya kuanzisha mahusiano
Hivi kumbe kujuana huwa inaendana na kupeana Ukimwi? Au sijaelewa hapa Mkuu? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hili jambo kidogo linanishagaza sana wakuu, hivi inakuwaje hadi watu wanaanza kuwasiliana huko PM..???
Na ili ufike PM, unatakiwa kuingia kwenye jukwaa gani...!!!
Dahhhh, haya mambo mbona yananishangaza sana wallah....
Lol,
 
sijawahi ila siku moja itapobidi "nitajaribu" ila ntakua makini kama naingia kwenye interview

ole wake ashike smart mbele yangu,sitomuelewa yani muda wote tutaokaa pamoja ntaomba

tushirikiane kwa maongezi tu na si vinginevyo.
 
na kwl km mimi JF naichukulia kama apps zingne nikiwa najiskia kucheka nakuja kusoma comments za watu kwenye zile uzi pambe
Nakubaliana na wewe kabisaa manake hata mimi kwa mfano nikichoshwa na mihangaiko ya siku huwa napitia JF kusoma comments asee humu raia wanafunguka unaeza baki unacheka tu na uchovu ukaisha kabisa,.. Sijawahi fikiria kabisa kukutana na member yeyote, japo JF imeniunganisha na wadau kadhaa na tumefanya biashara online hata bila ya kuonana kulingana na sababu zinazokuwa nje ya uwezo.
 
100β„…
Sitaki kuliamini hili Mkuu. Nadhani hii inatokana na namna utakavyojiweka kama unaigiza jf ni lazima ukikutana na mtu zile mbwembwe zipungue kidogo.

Kwa wale waigizaji ni lazima waogope kuonana na watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…