Itabidi nipambane sana nikutune na wewe. Na sababu ya kukutana ni kupanga mikakati ya kuishabikia timu yetu YangaNa hii ndio inayoleta shida kwa wengi. Ila inawapasa wajue kuna sababu nyingi ya kuwakutanisha watu nje ya kuwa na mahusiano na mwisho wa siku maisha yakaendelea ndani ya Jf pasi shida yeyote.
Kabisaa chief.tuko pamojaBrotherrrr hiyo aihitaji comfirmation [emoji4]...
Tutapanga tu mzee hata kama sio mwezi huu ila ni MUST...
Shukrani and pamoja sana mzee
We nae. 🚶♀️🚶♀️🚶♀️Itabidi nipambane sana nikutune na wewe. Na sababu ya kukutana ni kupanga mikakati ya kuishabikia timu yetu Yanga
Hapana Mzigua90 sidhani kama kuna mtu amesema si kitu kizuri kukutana na jamii ya humu. Tunazungumzia ule ukutanaji wa ulio unaoweza kufikia 80%,wengi si watoto humu,nikizungumzia hivyo wengi wanajua ni wa aina gani?. Unajua wapo wengi watazama PM kwako kwa nia tu ya aina niliyozungumzia hapo juu. Lakini yote kwa yote campany kama hii ya Jf kufahamiana na kubadirishana mawazo,mkafurahi pamoja mnapokutana ni afya sana.Siku hizi utoto mwingi. Na ndo hao hao wanaoaminisha watu kuwa kujuana na watu wa JF sio kitu kizuri.
Halafu bahati mbaya sana hakuna niliewahi kukutana nae. Hasa sisi wa mikoa si rahisi sana kukutana kuliko nyie mliopo town. Hivi unajua JF karibu imebeba 80% ya waliopo dar?. Muda mwingine kwa uwingi wenu huo ni rahisi kufahamiana. Binafsi natamani kukutana na wengi humu. Hasa @Elmanigfico,The bold,@manengero,Antorio na wengine wengineKwa hiyo kila mtu uliyewahi kuchat nae PM uneonana nae?
Ebu naomba unipe muongozo mkuu, maana wengine ndio kwanza hatujui tuanzie wapi wallahiMm nmekutana nao kama watano na wamekuwa marafiki zangu sana sanaaaa
Dahhh....Anatuongopea eti. [emoji2]
Siku hizi utoto mwingi. Na ndo hao hao wanaoaminisha watu kuwa kujuana na watu wa JF sio kitu kizuri.
Ebu fanya tukutane hata kwenye ibada ya jioni tafadhali...Lol,
Siku hizi utoto mwingi. Na ndo hao hao wanaoaminisha watu kuwa kujuana na watu wa JF sio kitu kizuri.
Dahhh....Huu mwandiko umejaa uongo na uzandiki [emoji38] [emoji38]
Muongozo hahahha kuwa serious tuEbu naomba unipe muongozo mkuu, maana wengine ndio kwanza hatujui tuanzie wapi wallahi
Una bahati mbaya,tena wanaume wa Dar wapo fasta muonane kama lile goli lao la kwanza
Mkuu, mihakuna ninae fahamiana nae na sijawahi kukutana na yeyote wallahi.Mmmmh....! Hata Ushimen? Sidhani mkuu. Wewe lazima unafahamiana na hata 4,5. Wewe ni fermacy humu
Na shida kubwa naona vijana wameiharibu jf na kusababisha ongezeko la taharuki ambayo imesababisha hofu kubwa.Mimi huwa nikiona haya yanatokea naamini umri ushatutupa mkono...
Mchumba ile kazi yangu imefikia wapi?
Bado mchumba. Vumilia tu