Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

7 years in JF as a member plus 2 years as a guest(before membership)

Sijawai onana na member hata mmoja

Kwanza hata ucjangiaji wanting wa kusuasua just imagine 7 years post 6k+ tu [emoji44]
 
Comrade niliona hiyo kipande nikacheka sana...[emoji23][emoji23][emoji23]

Watu wa JF wana maneno sana nyuma ya vifaa vyao vya mawasiliano...
Haya, nami ngoja nichangie hapa.

Eti nina UKIMWI [emoji1787].

Hiyo niliiona juzi nikaishia kucheka tu.

Watu walikuwa wanazunguka zunguka tu lakini hawanitaji.

Unawaona wanajichekesha chekesha tu...oh sijui yule mbeba maboksi...oh sijui kamla nani na nani!

Hahahaha....99% of the content here is bullshit!
 
Haya, nami ngoja nichangie hapa.

Eti nina UKIMWI [emoji1787].

Hiyo niliiona juzi nikaishia kucheka tu.

Watu walikuwa wanazunguka zunguka tu lakini hawanitaji.

Unawaona wanajichekesha chekesha tu...oh sijui yule mbeba maboksi...oh sijui kamla nani na nani!

Hahahaha....99% of the content here is bullshit!
Hahahahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115]
 
Hata nyie vi Ben ten huwa wengine wanapenda sana majimama makubwa makubwa,ila km ww naona unakaunafuu flani hv,endelea kukaza hivyo hivyo bwamdogo.ila ukikaza ukaze hadi kwa wenye umri wako maana hao pia ndo kimbilio LA madingi wengi
utaanzaje kukutana na mtu wa jf, labda tu iwe ni biashara tu basi, huku jf asilimia kubwa ya watu wapo "disturbed", wengi wana stress za maisha nk, na pia wengi wana chuki na hasira sana, pia wengi wapo kwenye umri kuanzia 28 years kuendelea, labda ndio maana, ila sisi below 25 sina tatizo na yoyote maana wengi wetu tupo tu uku kama torati ya kudownload apps, jf ni app tu kama zingine, ila wengine "hasa hao wanaojiiita wakubwa ndio wapo huku kama kijisehem chao cha kujificha na kutolea hasira zao, sasa wewe ukianzana na mtu huko pm, akikuambia yuko juu ya 25 we achana nae tu ndio huko mnajichotea watu washapitia kila aina ya maisha, kama unatafuta mahusiano, anza na walio karibu yako na sio huku kwa sociopaths....
 
Kuzoeyana Sana Ni kuchorana tu na unafki tu

Ishi maisha Kama huna Jambo la kuongea nam usitake tujadili ya mtu
 
Back
Top Bottom