Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
we nawe..ndo umeandika nini sasa..Wawake wajiuzao watamu sana
 
kwahyo na wewe alikula au..funguka basi
 
Mmepitia mambo mengi, mimi nina swali, ina maana asingekuwa na lidudu kubwa ungelala naye? MMEKUTANA NAYE SIKU MOJA, HIYO INA MAANA WEWE NI MALAYA UNAUZA UCHI AU? hemu nieleweshe!
ndiyo kwani tatzo nn..angempa Papa tu
 
kula kashata ndio nini?????
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Nilimkimbia jamaa ana dushelele kubwa hatariπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
ahahahahaha mandingo style
 
kula kashata ndio nini
 
I see u
 
Ila kicheche ni kicheche tu. Siku moja nimeingia kijiwe fulani nilikuwa naenda at least mara tatu kwa wiki. Siku hio nimeingia kulikuwa na promotion kama kawaida kuna vitoto vizuri sana ndio vinafanya hio promo. Mimi niko na jamaa yangu tukajisogeza kwa viwili tukaanza kuvichombeza kama kawa vikalia njaa na kiu.
Tukawaagizia msosi na vibia viwili vitatu,baadae mida immenda mimi na jamaa yangu ikabidi tuondoke wao promo inaenda hadi saa saba. Tukachukua namba zao za simu na baada ya kuchukua namba ya simu nikawauliza bill ya chakula na vinywaji wakasema 25,000/-. nikatoa 30,000 nikawapa mkononi mtalipa hii tukaondoka.
La haula huku nyuma baada ya promo kwisha wale mabinti wakaondoka bila kulipa! Sasa weekend iliofuata mimi nikaenda pale nikapokelewa na muhudumu alietuhudumia. Akaanza kuniambia bro siku ile umeondoka umesahau kulipa meneja kanikata hela ila sikuwa na wasiwasi nilijua wewe hapa nyumbani utarudi tu. Mimi nikawa simuelewi ndio akaniambia wale wadada uliowanunulia bia na chakula hukuwalipia!
Nikamwambia kabla sijaondoka niliwapa hela ya kulipia chakula na vinywaji na change nikawaachia, akasema duh basi wameondoka bila kulipa, akasema ngoja niongee na meneja anawajua watu wao wa promo. Yule meneja kweli akawasiliana na watu waliowaleta baadae nikasikia wamefukuzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…