Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuaje alikua mnyonge hivyo adi adundwe na kinadada?
Aligonganisha wale wadada wakalumbana baadaye akili ikawaijia kwanini tugombane ikiwa sababu ni huyu ndiye katuleta hapa kwake? Kibao kikageuka acha wamshushie halafu ndani kwake kafumuliwa haswa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Papuchi, ainaga makombo
 
Hahah!! Hiyo ilikua ni kiboko ndugu
 
we jamaaa umenichekesha sana
 
Dah.....m nliopoa malaya bar...nkapga mech had asubuh nkamwambia sina cash muda huo na bank n mbal,labda nmvutie mobile then nm2mie mpesa akakubal...nkam2mia 50000 alvongeuzia 2 mgongo nkawapgia customer care kwmba mekosea ku2ma pesa!!!within 3 minutes nkarudshiwa changu....khaaa!!!!!an raha 2pate wote af nkulpe mie....!!!!
 
Nishawah kumtoroka demu asubaa ile naingy kwenye kosta kama kawa nkawah siti ya mbele kufika mbele kdg lahaula nae anasimamisha hy hy kosta hahaha nilichanganyikiwa nkajikuta namuambia dereva huyo haendi huyo.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nimecheka sana hahahahaha
 
Kuna demu nlionana naye club,nikabeba hadi gest,asubui nkasepa nkamwachia amelala nkampa buku 5,nlivyofika geto mkalala na mimi nimekuja kushtuka saa 6 mchana namkuta yupo geto anafanya usafi,kumbe alikuwa ananifahamu vizuri tu alikuwa anarafiki yake nyumba ya jirani japo mimi skuwahi kumwona
 
Mie nakumbuka mwaka 2011 nikiwa pande za Mwenge enzi hizo bado nikiwa mwizi wa mafuta ya Transfomer,
Siku hiyo tumeuza mafuta tumegawana kila mtu kama laki na kitu hivi tukazama pande za Tegeta kibaoni kwenye bar moja hivi tukagonga bia huku tukicheki walembo wa kuoshea rungu.
Mida ya saa 6 usiku kijana wangu kaibua malaya watatu tukagawana kila mtu na wake japo mimi sipendagi mabonge ilibidi tu nimchukue huyu mwenye sura kama mzee yule!
Sasa wakati tunaingia Lodge tulielewana sh elfu 15
Nilipiga bao moja akaomba nimtafune nyuma japo nilikuwa sijazoea ilibidi nimtafune tu mbaya zaidi nilimla peku!
Alfajiri hiyo akaaga anataka kuondoka nikamlipa elfu 15 kama tulivyokubaliana cha ajabu akamind eti nimpe elfu 30 kisa nimemtafuna nyuma!
Nikamwambia mie sikuhitaji nyuma ila ulinipa mwenyewe,
Basi ikawa kelele akasema nisipompa hiyo pesa elfu 30 atapiga kelele kuita watu nipewe kesi ya ubakaji
nikaona isiwe taabu nikamwomba niende chumba cha rafiki yangu nimgongee aniazime pesa niongezee nimlipe nikamwomba ashike kwanza hiyo elfu 15 kisha iliyobaki nampa baada ya muda akagoma eti hapokei pesa nusu hivyo nikamilishe nikasema poa!
Nikazunguka nyuma ya lodge nikizuga kama nam hinges mshkaji nilipoata nafasi ya uchochoro nilifyatuka kama tairi nikasepa bila kugeuka nyuma.
Speed 120
 
Duh..nimeipenda hii..!
Vipi huyo demu alikuwa mbongo au wa huko?
 
Sshhaaaaa!
 
Hiyo kwetu tunaita "Rutombo rwa bhure!!!
Yaani unapiga mashine bila hata mia.
 
Mkuu ushawahi pima ngoma???
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha.....

Uzi mtamu sana huu,

UMENIKUMBUSHA KITUKO Flani HIVI amazing sana ENZI ZA CHUO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…