Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Ngoja waje wateja waooooo
 
Kweli na tungepata mapato pia kupitia hiyo biashara. Bongo bora uchukue escort wapo wengi japo sio professional. Ngoja nkaombe kibali niwafungulie na web kabisa watoto wazuri wote wamjini nawaweka humo niwapunguzie kaka zangu kasi ya kula machangudoa wa Sinza
 
sema sasa ukiwa manage unatakiwa uwe mfano kwa vitendo ndio watakuelewa[emoji23]
 
Looh shem hayo maisha ya zaman nipo okay saiv bhn
Sasa sindio namaanisha hivyo hivyo shem, kama sasa hv umetulia basi umetulia kweli ata mtu akikuweka ndani hatojutia uamuzi wake
 
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Eti nasikiaga wanasema ile ni kama sahani tu mtu akilia chakula inaoshwa afu anakuja tena kutumia mwingine...
 
Mamaaaa ulimtapel mjomba angu aliniadisia hiyo story sasa cha kufanya tutakutafuta ulipe tuu so unajua mla vya watu na vyake uliwa???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…