Wale ambao tunaishi na watoto wa watu na hatujapeleka hata 100 ya mahari tukutane huku

Wewe kwanza hujui tofauti ya mahali na mahari, mpaka hapo unanipa shaka kwamba unaweza kujadiliana mambo makubwa ya kifalsafa na mimi.
Mimi mtu wa nyanda za juu kusini kwetu kura tunasema kula hatuna rrrr habari tunasema habali kama unashindwa kujadiliana.na.mimi mchina ,mhindi utaweza kumwelewa jibu hoja acha visingizio mkuu
 
Mahari imepitwa na wakati.

Inashusha utu wa mwanamke, inamfanya mwanamke awe ananunuliwa kama ng'ombe.

Kitu muhimu watu wajenge familia tu.

Hiyo familia ya huyo mwanamke imeelewa hilo.
Mahali inaongeza nguvu ya utawala wa mwanamme kwa mwanamke

Mahali inakupa mamlaka ya kuwa mume halali au kamili mbele ya wazazi na jamii

Mahali inakuganya ww mwaname uwe na uchungu na mkeo pia naongoza dhamani ya mwanamke

Ndio maana mwanamke uliemlipia mahali kun tofauti kubwa sana na mwanamke usiemlipia mahali
 
 
Mimi mtu wa nyanda za juu kusini kwetu kura tunasema kula hatuna rrrr habari tunasema habali kama unashindwa kujadiliana.na.mimi mchina ,mhindi utaweza kumwelewa jibu hoja acha visingizio mkuu
Wewe wakuja jifunze Kiswahili kwanza.
 
Wewe jifunze tofauti ya mahali na mahari kwanza kabla ya kuparamia hoja za kifalsafa ambazo zimekuzidi kimo.
 
Na ambao mwanamke anamlipia mwanaume mahari inakuaje
 
Aisee mnapatikana wapi Nije nijifunze kuoa bila mahali
 
Wewe jifunze tofauti ya mahali na mahari kwanza kabla ya kuparamia hoja za kifalsafa ambazo zimekuzidi kimo.
Hakuna Cha falsafa wala mtihani wa kiswahili necta mahari ni Utamaduni wa kiafrika huandikwa kwa kilugha ,mahari haindikwi kwa kiswahili ,kiswahili ni lugha ya taifa hakuna kabila linaongea kiswahili wewe ndio unajifanya mzamivu endelea na ulingistic mambo ya mila na tamaduni za kuona Tz na Africa huyajui umuhimu na maudhui yake
 
Kwani mimi sijalelewa
 
Mimi sikusomeshwa na hivyo vyote?

Then utamaduni ni static ama dynamic? Ukijibu hili swali litakusaidia kueleza mada hiyo.
 
Huna hoja unataka kubeba watoto wa watu kwa mserereko wee unaejua kiswahili usipende dezo kuoa mabinti wa watu ,ajenda yako haiwezi kupata mashiko Tz na Africa nzima labda kwa waliokengeuka kama wewe
Wewe umemfanya mwanamke bidhaa ya kununuliwa, halafu hata hujui.

Ningekwambia usome hii makala hapa chini, lakini Kiswahili hujui, hivyo Kiingereza sitaki kukupa mzigo.

Ila wengine wenye uwezo wa kusoma watasoma.

Najua huwezi kuelewa falsafa kubwa, kwa sababu herufi za Kiswahili tu zinakupiga chenga.


"Nyerere describes bride price as evil in posthumous bio"
 
Mahari imepitwa na wakati.

Inashusha utu wa mwanamke, inamfanya mwanamke awe ananunuliwa kama ng'ombe.

Kitu muhimu watu wajenge familia tu.

Hiyo familia ya huyo mwanamke imeelewa hilo.

Naungana na wewe!
Kiufupi sijawahi kuzungumzia mahari na wala sitayalipa!
Kiutaratibu kwenye jamii yetu Baba ndio analipa ama ndugu! Niliwaambia ni bora nisioe kabisa kuliko kulipa mahari!
Familia ya binti ikihitaji msaada nikiwa na uwezo nitawasaidia na huwa nafanya hivyo kila mwezi angalao wanapata sukari!
Binti yao kwa kuwa sihitaji kumnunua pia yupo huru wakati wowote kurudi kwa wazazi wake kama atashindwa kwenda sambamba na principld zangu!
 
Inaonekana wewe ni wale Vijana umepitia maisha ya shida ukajisomesha.kwa mbinde ukajianzishia maisha ukakutana na msichana sampuli yako mkijanzishia maisha,mila na tamaduni potofu za kumnyanyasa mwanamke na kutengwa ndizo zinapigwa vita ,mahari sio mila potofu usichombeze tamaduni za mahari na falsafa ,mimi nimefundishwa.na ma professor wakubwa Google Prof Lankanser ndio hao walionifundisha hunidanganyi kuhusu falsafa ,falsafa .kuna mambo vigumu kuyabadilisha ,kuna jitihada nyingi zinafanyika kuhusu wanawake mfano kupandikiza mimba ,mfano mwanamke kapindikiza mimba akazaa dume huyo dume akikua atao au naye atakuwa.mgawa sperm ? Mwanaume Africa ndie anao ,mwanamke ndie anabeba mimba ana zaa ,ananyonyesha huchelewi kusema huo ni mzigo kwa mwanamke hayo ni mambo hayahitaji ufahamu.wa kifalsafa haitaji usome makala
Mke wangu ni msomi tena ni mkurugenzi wa Taasisi ya kimataifa inayotetea haki za wanawake wakati namuoa aliheshimu mila na tamaduni aliniletea taratibu za mahari tukatekeleza yeye anajua haki za wanawake kiliko wewe anashiriki vikao vya akina Mama Getruda ,Dr Nkya kama wewe unaona mahari Ni kushusha hadhi ya mwanamke wanao na wadogo zako waruhusuni waolewe bila mahari kupanga ni kuchagua,mahari sio ufalsafa mahari ni utamuduni ulianzishwa tangu enzi za akina Isaka alipoenda kumuoa Rebeka
 
Mimi sikusomeshwa na hivyo vyote?

Then utamaduni ni static ama dynamic? Ukijibu hili swali litakusaidia kueleza mada hiyo.
It's Dynamics it can be amended when it's due. Ni kawaida ya mwanadamu kupenda mabadiliko Dunia imekuwa kama.kijiji kumetomea mchanganyiko wa mila ,tamaduni na exposure ,wazungu na waafrica wanapenda kuwa Dynamics wahindi na waarabu wanapenda kuwa statics
 
Unajuaje nimepitia maisha ya shida na nikajisomesha kwa mbinde?

Thibitisha hilo.

Wewe ni kati ya watu wasioweza kuliangalia hili jambo kifalsafa.

Unaweka personsl feelings na kufanya psychological projection, kwa kuwa unachojua wewe ni shida, una project shida kwangu.

Hakuna mtu aliyekukataza kutimiza mila zako. Tunakwambia tu kwamba mila zako zinamfanya mwanamke awe bidhaa.
 
Dah...mi bado nasubir kiaina mpaka waanze kunong'ona . 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…