Lazima upigiwe hapo .Mi nina miaka mingi toka 2016 sijagusa mbunye ya wife. Nliigusa 2020 wiku moja kwa ajili ya kuzaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima upigiwe hapo .Mi nina miaka mingi toka 2016 sijagusa mbunye ya wife. Nliigusa 2020 wiku moja kwa ajili ya kuzaa tu
Ni kweli kabisa. Kuna msemo wanasema Mwanaume anawaza akipata pesa ni namna gani aweze kuishi vizuri na mwanamke Lakini Mwanamke mawazo yake anawaza akipata ni namna gani anaweza akaishi bila mwanaume. Kwaiyo hapo utaona uwitaji wa mwanaume unamwitaji sana mwanamke lakini uwitaji wa mwanamke auwitaji sana mwanaume ndiomaana wanawake wanakubali kuolewa wakina na special reason au kesi either umri umehenda, au life gumu au anatafuta maisha ndiomaana wanaume wengi wanawahi kufa baada ya kuchuma maliHili tendo kwa wanawake Huwa tunawalazimisha tu ....hata wao Huwa hawalipendi [emoji23]
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app