Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,138
Be yourself brother, we are unique in nature, JPM alifikia climax but he never lived long enough to enjoy it,mshukuru MUNGU kwa kila kitu,[emoji24][emoji24]Nilikuja humu niondoe stress, kumbe unaweza kujikuta umeongeza baada ya kupitia post kama hii....
You can't be serious [emoji24][emoji24][emoji24]Umri wako?? Tukuombee Nini?,,,,,Trako?,kazi?,mume?mtoto?
Siyo tunakuombea kumbe hats 20yrs bado haujafika
Mie nina 35yrs hapa nikifikia 45+ndiyo nikimiliki kitanda na godoro vyatosha yaani maisha nitakuwa nishayapatia.
Umenena kwa lugha ya kimbingu Sana, when I think about what happened to JPM, I fall short of breath to find the real meaning of life, after all those push ups,[emoji24][emoji24]he didn't live long enough to see the second election [emoji24][emoji24][emoji169]Epuka hiyo roho ya kujilinganisha na wengine kwa sababu kila mtu ana safari yake.
Mimi nina ma classmates wana majumba mpaka Dubai na Amerika lakini nami niko kivyangu napambana. Wengine ni vigogo huko serikalini wanajichotea tu mahela wamejenga mahekalu kila kona hapa mjini na wanasukuma ma Vogue. Na mimi hata Corolla ya mchongo sina. Na umri umeenda sana!
Ukijilinganisha na watu utapata msongo wa mawazo kwa maana lazima kutakuwa na watu wanaokuzidi tena mbali mno.
Na ajabu tukijilinganisha na wengine kamwe huwa hatujilinganishi na wengi tuliowazidi (ukiachilia mbali wenzetu wengi waliotangulia mbele ya haki). Huwa naona ni kama vile huwa tunamkosea Mungu kwa kukosa shukrani kwa kutufikisha hata hii hatua tuliyofikia...
Kama ni lazima kujilinganisha basi kufanyike kwa lengo la kujipatia motisha tu wa kupambana na si vinginevyo.
Una afya nzuri. Una gari. Unajenga...Una kazi...Bado uko kwenye 40s.
God has been good to you and you are blessed. Just keep hustling [emoji1545]
π€£π€£π€£wewe ni muongoDont give up,,, mimi mwnyw nilipokua kwny umri wa miaka ya 21-26 nlipambana sana, biashara zinafeli, michongo inafeli,,, everything goes wrong,, nlipofika miaka 27 ebhaaaana eeeh ilikua kama gari ndo imewaka yaan kila ntachogusa imooooo!!! . Leo hii nina miaka 40 kasoro but mali nazomiliki watu hudhani nimerithi kumbe nilianza from scratch.
Kikubwa; USIKATE TAMAA...... USE WHAT U HAVE, DO WHAT U CAN, ILI MRADI UFIKE UNAPOTAKA.
Hicho ni kiburi Cha uzima brother,[emoji24][emoji24]kuna Rafiki zangu wawili,miaka mitatatu ijayo tulipanga tuje tufanye bonge la party kwa kutimiza 45yrs maana wote Born in 81, tulisema itakua 345 code party, yaani watu watatu wenye wametimiza miaka 45,.Mtu upo hai halafu unasema huna chochote, wewe ni timamu kweli ?
Unafikiri hiyo pumzi ya uhai ni jambo dogo
Watu wanaangalia tu material things.Hicho ni kiburi Cha uzima brother,[emoji24][emoji24]kuna Rafiki zangu wawili,miaka mitatatu ijayo tulipanga tuje tufanye bonge la party kwa kutimiza 45yrs maana wote Born in 81, tulisema itakua 345 code party, yaani watu watatu wenye wametimiza miaka 45,.
Lakini nimebaki mwenyewe,Sam and Singa are gone,car accidents,left behind good Houses and their cars.
I wapi faida ya MAISHA haya?[emoji137][emoji137]
Dont give up,,, mimi mwnyw nilipokua kwny umri wa miaka ya 21-26 nlipambana sana, biashara zinafeli, michongo inafeli,,, everything goes wrong,, nlipofika miaka 27 ebhaaaana eeeh ilikua kama gari ndo imewaka yaan kila ntachogusa imooooo!!! . Leo hii nina miaka 40 kasoro but mali nazomiliki watu hudhani nimerithi kumbe nilianza from scratch.
Kikubwa; USIKATE TAMAA...... USE WHAT U HAVE, DO WHAT U CAN, ILI MRADI UFIKE UNAPOTAKA.
Kaza mkuu maisha changamoto sanaMkuu usikate tamaa mi kazi yangu ya kwanza nilipata 2019 nikiwa na miaka 30 baada ya kusota miaka 4 bila kazi toka nimalize chuo na ilikuwa na mshahara mzuri tu haya 2021 mkataba ukaisha sikuongezewa mkataba , nikarudi mtaani kumbuka hapo nishaanza maisha yangu ya kujitegemea maisha yalinipiga nikauza baadhi ya vitu vyangu vya ndani, na niko mkoa wa mbali na nyumbani nikawa bodaboda mara dereva bajaji unadandia za washkaji unapiga deiwaka nawe upate pesa ya kula bahati nzuri mwaka jana mwishoni ndo nikapata ajira serikalini ni kama nilianzaa upya mana niliuza kila kitu naweka malengo yangu upya sina mke wala mtoto na hainipi stress cha msingi nina afya njema
Shukrani sana!Be yourself brother, we are unique in nature, JPM alifikia climax but he never lived long enough to enjoy it,mshukuru MUNGU kwa kila kitu,[emoji24][emoji24]
Na Valentine stresser aliukwaa uraisi akiwa na miaka 26Sio Babu tu wa Loliondo hata Joe Biden amepata u Rais akiwa na 78yrs wakati Joseph Kabila akaupata akiwa na 31 au Obama just 44 kama sikosei au Waziri Mkuu wa Sasa wa Uingereza.
πKauli yangu siku zote hata kabla sijamaliza chuo
"Sitaki nianze kutafuta cha kufanya baada ya kustaafu kazi kama wengi niliowaona, nataka nijue dira ya maisha yangu toka mwanzo"
Hii kauli bado inanipa nguvu sanaa na nashukuru Mungu kila industry au skills set nilizotamani nizijue, nimezimaliza. Siishi tena maisha ya kusema ningejua ningefanya kitu flani au uwezo wangu flani ungenitoa HAPANA. Sina hiyo regret
I define my life and success in my own terms na kitu nachoogopa labda kifo tu ππ lakini nikiwa hai. Lazma iwe
Najua kwa hii flow na phrases kuna watu washanijua.. Sijali lakini πππ½
Pole sanaMfano Mimi natimiza 29 huu mwaka nina watoto watatu tayari ..mapacha wawili na mmoja kivyake nimezaa na mademu wawili tofauti. Hao mapacha wanna 5years now na huyu mwingine 3years je nimechelewa au nimewahi??
Na hapa wengi ndio wanashindwa mimi nishalizika na hali yangu some of dream zikiwa archived nitafurahi zile ambazo naziona aziwezi timia basi naacha
Nakumbuka kuna siku nilikuwa peke yangu ndani nikawa nawaza sana kuhusu maisha na ndoto zangu nikiangalia njia naona ngumu sana nikaishia kulia basi nikasema ngoja nipambane napo paweza
Scamming na deal mbal mbal hatari online
*****! Kumbe huyu mama samia ni mwanaume!Nakumbuka nilihitimu chuo nikiwa umri mdogo tu wa miaka 24 kasoro miezi kadhaa. Kwa enzi zile za JK sikuwa na shida sana ya kupata ajira kwahiyo nilianza ajira kwenye sekta binafsi siku chache tu baada ya mtihani wa mwisho chuo ilikuwa Julai.
Pia tangu nikiwa chuo nilikuwa nikijishughulisha sana na madili ya town kwahiyo kiukweli haikuwa shida kupata sehemu ya kujishikiza. Ile ajira niliifanya nikiwa na malengo ya kuja kujiajiri muda sio mrefu.
Wakati naanza kazi nikasema ndani ya miaka mitano lazima niwe na masters, nyumba nzuri, gari na ule mwaka wa sita naoa. Kwa hesabu za haraka ilikuwa nikiwa na miaka 29 niwe nimefikia hizo ndoto.
Kiukweli kwenye ile miaka mitano nilikutana na dhoruba nyingi sana ikiwemo kufeli karibu kila kitu nilichojaribu kwenye biashara kwasababu ajira niliacha ndani ya mwaka mmoja na nusu.
Mkuu usikate tamaa mi kazi yangu ya kwanza nilipata 2019 nikiwa na miaka 30 baada ya kusota miaka 4 bila kazi toka nimalize chuo na ilikuwa na mshahara mzuri tu haya 2021 mkataba ukaisha sikuongezewa mkataba , nikarudi mtaani kumbuka hapo nishaanza maisha yangu ya kujitegemea maisha yalinipiga nikauza baadhi ya vitu vyangu vya ndani, na niko mkoa wa mbali na nyumbani nikawa bodaboda mara dereva bajaji unadandia za washkaji unapiga deiwaka nawe upate pesa ya kula bahati nzuri mwaka jana mwishoni ndo nikapata ajira serikalini ni kama nilianzaa upya mana niliuza kila kitu naweka malengo yangu upya sina mke wala mtoto na hainipi stress cha msingi nina afya njema