AIBU NA INASIKITISHA SANA SANA, BINASFI NAWAZA HATA ULINZI WA RAIS WETU HAUKO SALAMA KABISA PALE IKULU YA MAMBO SIMPLE SIMPLE TU KHAAA!!!!!!!!! Juzi napita pale kwenye gate la Magogoni naona BOBABODA imebeba Matairi mapya ya gari ina fanya delivery kweli ? Kwani nani anasimamia protocols STATE HOUSE?Hao JWTZ ni vilaza watupu,
Hii nchi imeoza kuanzia Ikulu, Ndege imeanguka, hapo ilipoanguka,nyamkazi, ni makazi ya watu wazito,ni kama ununio Kule Dar.
Taarifa zilifika mapema, kilometa 15 Kuna kambi ya field force, hapo uwanjani Kuna magari ya zimamoto. Kwanini gari hazikufungwa zisaidie kuvuta? Utakuta magsri ni mabovu, au hayana mafuta.