Wale Askari polisi na Wanajeshi waliokuwa wamesiama pembeni wakiwaangalia wananchi wakivuta ndege kwa kamba ni Watanzania?

Wale Askari polisi na Wanajeshi waliokuwa wamesiama pembeni wakiwaangalia wananchi wakivuta ndege kwa kamba ni Watanzania?

Hao JWTZ ni vilaza watupu,

Hii nchi imeoza kuanzia Ikulu, Ndege imeanguka, hapo ilipoanguka,nyamkazi, ni makazi ya watu wazito,ni kama ununio Kule Dar.

Taarifa zilifika mapema, kilometa 15 Kuna kambi ya field force, hapo uwanjani Kuna magari ya zimamoto. Kwanini gari hazikufungwa zisaidie kuvuta? Utakuta magsri ni mabovu, au hayana mafuta.
AIBU NA INASIKITISHA SANA SANA, BINASFI NAWAZA HATA ULINZI WA RAIS WETU HAUKO SALAMA KABISA PALE IKULU YA MAMBO SIMPLE SIMPLE TU KHAAA!!!!!!!!! Juzi napita pale kwenye gate la Magogoni naona BOBABODA imebeba Matairi mapya ya gari ina fanya delivery kweli ? Kwani nani anasimamia protocols STATE HOUSE?
 
Na huyo aliyefunikwa mwavuli Kama malkia ni nani?
 

Attachments

  • 20221107_090255.jpg
    20221107_090255.jpg
    66.1 KB · Views: 2
Ni wa Tz mkuu, tena ndio wenye kazi zao lakini nilishangaa sana!
Wao wasikie wananchi wanaandamana kwa amani ndio 'wanaingia kazini'
 
Nimeona video ya wananchi wakivuta ndege ya PW huko ziwani Bukoba kwa kutumia kamba huku wakiimba na kuhamasishana.

Nimeangalia hiyo video na kuwaona askari kadhaa wa Jeshi la Polisi pamoja na Wanajeshi wakiwa wamesimama pembeni "Wanaangalia" tukio.

Swali langu ni moja tu: Je, wale ni Watanzania?
1667801460483.png
 
Nchi yetu inautulivu na amani tele Jeshi letu la wana maji lipo ni mda sasa wa viongozi pia kuangalia namna jeshi lipewe bajeti ya uokoaji maana wao ndo wanaujuzi ...Tatizo kubwa nchi hii kujuana na u ccm ndo unatuangusha.

Ni aibu sehem km kwa mkuu wa mkoa na wilaya kuna gari za bei kubwa hata nane ama kumi ila tunakosa gari ama vifaaa vya uokoaji hata magari ya kuzima moto hii ni aibu.

Kingine vitu vinavyo husiana na kuokoa maisha ya watu viingizwe bila kodi hata mashirika ama watu binafsi waweze kununua..Mm nilishangaa siku moja dada yetu flavian matata alikua anaelezea alivo pata changamoto ya kuingiza life jacket eti atoe kodi wakati yy aliguswa kusaidia jamii maana alimpoteza mama yake kwenye mv bukoba...Tuna serikali ya ovyo sana tunaacha wapuuuzi wanaiba mabilion ya hela ila tunakomaa kuweka makodi kwenye vyombo vinavyoweza kuokoa maisha yetu[emoji24][emoji24]
 
Hao huwa hawaendi bila amri toka kwa mkuu wao, inawezekana ndio walikuwa wanaisubiri.

Hata hivyo, baadae wanajeshi waliungana na raia kuivuta ndege iliyopata ajali.
Kama ni kweli basi wanajeshi ni watu malofa zaidi duniani
 
Nimeona video ya wananchi wakivuta ndege ya PW huko ziwani Bukoba kwa kutumia kamba huku wakiimba na kuhamasishana.

Nimeangalia hiyo video na kuwaona askari kadhaa wa Jeshi la Polisi pamoja na Wanajeshi wakiwa wamesimama pembeni "Wanaangalia" tukio.

Swali langu ni moja tu: Je, wale ni Watanzania?
Hao ni makada wa CCM, kazi yao ni kuhakikisha kuwa CCM inaendelea kubaki madarakani hayo mengine hayawahusu
 
Nimeona video ya wananchi wakivuta ndege ya PW huko ziwani Bukoba kwa kutumia kamba huku wakiimba na kuhamasishana.

Nimeangalia hiyo video na kuwaona askari kadhaa wa Jeshi la Polisi pamoja na Wanajeshi wakiwa wamesimama pembeni "Wanaangalia" tukio.

Swali langu ni moja tu: Je, wale ni Watanzania?

Halafu utashanga itakapofika uchaguzi wa 2025, watakavyojazana Pemba na Unguja kwenda kutisha raia na kuwapiga kisa uchaguzi. Mimi huwa nawaona Kama mazombie
 
Fg5P-o_WQAIP7o5.jpeg
Kuna yule sijui ni nani kashikiwa na mwamvuli...😂😂😂🙌
 
Nimeona video ya wananchi wakivuta ndege ya PW huko ziwani Bukoba kwa kutumia kamba huku wakiimba na kuhamasishana.

Nimeangalia hiyo video na kuwaona askari kadhaa wa Jeshi la Polisi pamoja na Wanajeshi wakiwa wamesimama pembeni "Wanaangalia" tukio.

Swali langu ni moja tu: Je, wale ni Watanzania?
Kuna taarifa juu ya watu 2 kuzidi ndani ya ndege, au Kuna mahala tumekuwa fixed???
 
Back
Top Bottom