OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Smartphone ata 70k unapata, je itatosha kulimia?Pesa ya smartphone unayo ila ya hivyo vitu huna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Smartphone ata 70k unapata, je itatosha kulimia?Pesa ya smartphone unayo ila ya hivyo vitu huna?
Sawa nimekuelewa mkuuAsante sana mkuu, mzani upo samaki ni wakubwa mteja akija anataka Nusu kilo, au kilo 1 Utawezaje kukata exactly kilo 1 kutoka kwa samaki mwenye 3.2kg?
Tunakata vipande kwa uzoefu
Mimi niko kitaa naskuma life kibishi kupata 60k,80k, adi 100k kwa siku nina uhakika. Vyeti nimeacha kabatini uko muhimu kuwa na nia..
#Pinye
Financial markets mkuu. Hii ni saiv tu mda huu...Hebu weka wazi mkuu, unafanya inshu gani?
Waweza kuelezea kidogo namna unavyofanya?Financial markets mkuu. Hii ni saiv tu mda huu...View attachment 1503508
Ukiwa na trading skills na trading plan kila kitu kinawezekana mkuu...Waweza kuelezea kidogo namna unavyofanya?
Mbinu unazotumia ili upate daida na si hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Ukiwa na trading skills na trading plan kila kitu kinawezekana mkuu...
My dear You should never quit...try it, try it, try it ...utakuja enjoy sana apo badae...[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Akhsante kwa kunitia moyo.
Mimi nilikuwa siamini katika kufanya hizo biashara.
Nitajaribu,skills kwa kiasi ninazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4][emoji120]My dear You should never quit...try it, try it, try it ...utakuja enjoy sana apo badae...
Good things take time...
Usikubali kuyumbishwa na mtu...
Rafk angu mmoja hivi waliunga kikundi wa4Kutokana hili tatizo la ajira kuzidi kuongezeka hapa nchini na kuacha baadhi ya Graduate wakizagaa tu mtaani, kuzurula mtaani, kukaa nyumbani tu naomba mtu anisaidie kutupa njia au mbinu mlizotumia kuweza kujiajiri.
Graduate wengi sana wapo mtaani kwa sasa hawajaweza kujiajiri, wengine bado wanasumbuliwa na mawazo (stress) zaidi ya mwaka wa tatu sasa hivi. Je, nyie mlioweza kujiajiri mlianzaje hadi mkafanikiwa kujiajiri ?
Ni njia (mbinu) gani mlitumia hadi mkaweza kujiajiri?
++Kama vile kupata mtaji(mlianza na mtaji wa shingapi?)
++Biashara mlizo anza nazo
+++Changamoto
+++ Kukwepa aibu na mengineyoo
Naomba mtuambie jinsi mlivyo fanya hili litasaidia sana graduate waweze kupata fikra mpya na waweze kujiajiri huku wanatafuta ajira wengine wajiajiri kabisa kuliko kukaa tu nyumbani, kuzurula mtaani, kushinda kwenye mitandao.
Acha kashfa mwenzio anapotoa hoja,swali alilouliza linaonyesh wazi kijana ni msomi kwa kuwa ameweza kuwaza extra miles,haya tukisema tufanye kilimo Cha mababu zetu tutafika wapi?tunahitaji mapinduzi ya kilimo hicho kilimo Cha mkono atang'oa visiki vingapi?Huu ujinga ndiyo sitaki kuusikia. Na kama kweli wewe ndiye msomi basi taifa limekufa hili. Unaanza kuuliza utalimia nn? Unauliza utang'oa vipi visiki shambani?
Huyo bibi na babu yako mpk leo wamekuwa wazee nani amekuwa akiwafanyia hizo kazi? Sasa wewe una kitu cha ziada "elimu" dhidi ya hao bibi na babu zako. Unashindwa vipi kuishi kwa kilimo?
Kwahiyo unataka upewe ajira ya mshahara wa laki 2 katikati ya jiji ama mji? Ambapo utaishia kuishi kwa kukopa kopa unga kwenye maduka ya Mangi. Acha ujinga kilimo kinalipa, ndiyo maana 80% ya watanzania wanakitegemea. Wewe msomi gani unakiogopa kilimo?
Umenichefua wewe!!
Hongera sana mkuu kwa kuthubutu.Mkuu Mimi ni mhitimu wa 2018, mpka hapa nilipo leo nilisota sana nilianza na biashara ya mchele lakini baadae nikabadili gia.
Kwasasa ninajishugulisha na biashara ya samaki kutoka mwanza( Sangara na sato), kiukweli ni biashara nzuri sana!!
Unafanyaje? Natumiwa samaki Mwanza - Moshi wakifka nna ofisi nauza wabichi jumla na rejareja, lakini kuna department nyingne nimeweka mdada huwa anakaanga Sangara vipande kuanzia 1500, 2000,na 2500.
Kwa siku nakaanga kilo 10- 15, wakati wabichi inategemea na siku hiyo wateja wangapi wana hamu ya kula samaki lakini sio chini ya kilo 10.
Na oda za supermarket pia huwa nawauzia, na watu wahotelini pia.
Nilianza na kilo 50 za sangara na sato 50kg, now nna uwezo wa kuagiza 200kg. Karbu kwa maswali View attachment 1503055
Ukinisoma katikati ya mistari sikupigia debe kilimo cha mkono. Ninachopinga viakali hapa ni graduates kukaa wakililia ajira wakikataa kufanya shughuli za kilimo.Acha kashfa mwenzio anapotoa hoja,swali alilouliza linaonyesh wazi kijana ni msomi kwa kuwa ameweza kuwaza extra miles,haya tukisema tufanye kilimo Cha mababu zetu tutafika wapi?tunahitaji mapinduzi ya kilimo hicho kilimo Cha mkono atang'oa visiki vingapi?
Nimependa uzoefu wako hongera sana👏🏽Faida ipo ndo maana naendelea kufanya.
Kuhusu changamoto zipo, kutumiwa size kubwa( samaki wa kilo 9) wakati soko langu linahtaji samaki size ya Kati ( 1.5kg - 2.5kg). Samaki akiwa mkubwa Sana ni hasara, sababu baada ya kukata kichwa chache kitakuwa na uzito mkubwa ( labda upate mteja wa kununua mzima)
Pili kuna baadhi ya siku unaweza kupokea samaki wawili au watatu wameharibika lakini hapa hutegemea sana na mtu anayekutumia mzigo, kwangu mm hutokea mara chache sana kwa mwezi ata Mara 1, au isitokee kabsa!! Kijana wangu mi mwaminifu mno.
Kubadilika badilika kwa bei, kila week samaki hubadilika bei, inaweza Kupanda au kushuka, ila ikishuka utaenjoy Sana, mfano ikashuka mpka 3400 wakati ww huku unauza 6000 au 6500 na wateja hawajui kama imeshuka!!.
Tatu, hakuna kipimo cha usahihi kwamba hapa ni kilo 1 au nusu Bali nnakata kwa uzoefu tu, uzoefu ndo umenifundisha kuwa nikikata hapa ni kilo 1 au hapa ni nusu kilo, ila ukikosea kukata ni changamoto kumshawishi mteja aongeze pesa kisa eti umekosea kukata.
Ila mpka saiv nna uwezo mzuri kabsa wa kukadilia kuwa hapa ni nusu au hapa ni kilo, mpka wateja huwa wanashangaa sana!!
Umeme, ila kwangu sijawahi kupata hili tatzo mpka nikakosa raha eti umeme umekatika, ukikatika baada ya mda unarudi, Ila kama upo vzr unaweza kununua generator.
Ntakuja kuendelea
Mchele ulikuwa unauzaje jumla au rejareja? Na ilikuwaje ikafa namaanisha changamoto ulizokutana nazoMkuu Mimi ni mhitimu wa 2018, mpka hapa nilipo leo nilisota sana nilianza na biashara ya mchele lakini baadae nikabadili gia.
Kwasasa ninajishugulisha na biashara ya samaki kutoka mwanza( Sangara na sato), kiukweli ni biashara nzuri sana!!
Unafanyaje? Natumiwa samaki Mwanza - Moshi wakifka nna ofisi nauza wabichi jumla na rejareja, lakini kuna department nyingne nimeweka mdada huwa anakaanga Sangara vipande kuanzia 1500, 2000,na 2500.
Kwa siku nakaanga kilo 10- 15, wakati wabichi inategemea na siku hiyo wateja wangapi wana hamu ya kula samaki lakini sio chini ya kilo 10.
Na oda za supermarket pia huwa nawauzia, na watu wahotelini pia.
Nilianza na kilo 50 za sangara na sato 50kg, now nna uwezo wa kuagiza 200kg. Karbu kwa maswali View attachment 1503055
Rafk angu mmoja hivi waliunga kikundi wa4
Walifungua kampuni wakiwa chuo
Wakaanza kutafuta tenda ya kazi walizosomea...
Wakaanza kupata kidogo kidogo...wakajishkiza ofisi za wazazi na muda mwingine majumbani
Wamesota sana sana na bado wanapambana lakini their future is too bright tayari matunda wanayaona..wanaishi comfortably saivi ...wana ofisi yao saivi nzuri mnooo ila imepita miaka 8!the hustle is real!
So mnaweza jaribu
Ni idea mojawapo
we jamaaa 😂😂😂😂 unachekesha sanamkiwa vyuoni mnabetua sana watu kwa kujiona nyie ndo nyie ndo maana mnaona aibu kujimix.
pole sana ,japo naamini ushapoaNilikodi shamba hekari 5
Nikalima cabbage, nikahudumia vizuri ilikuwa kilimo cha umwagiliaji
Nilimwagia
Kupiga dawa
Kuweka mbolea za viwandani
Kupalilia nk
Nilitumia/nilipoteza almost 9.7m
Zilipokomaa, soko likawa kizungumkuti, serikali inazuia wakenya kuja kununua mazao na vikwazo lukuki vya kijinga sana
Wateja niliokuwa nawategemea sana ni wakenya kwani wananunua kwa wingi na kwa bei nzuri.
hadi mvua iliponyesha zikaozea shambani zote
Sikupata hata Tsh 100
Mtu asiyelima ni kawaida kuongelea kilimo kiraisi sana lakini uhalisia hauko hivyo
Serikali inatia wananchi umasikini kwa kiwango kikubwa mno kwa matamko na makatazo ya kijinga na yasio ya kiungwana
Juzi nilimsikia Bashe akilizungumzia hili watu wanalima halafu serikali inawakataza kuuza mazao yanaharibika kama ilivyotokea pia kwenye mahindi mikoa ya Ruvuma, Mbeya na Sumbawanga (Rukwa)
They don't care!!