Wale Graduate mlioweza kujiajiri mlitumia mbinu (njia) kuweza kujiajiri?

Wale Graduate mlioweza kujiajiri mlitumia mbinu (njia) kuweza kujiajiri?

Nilianza namtaji wa 4000 waraka
1) waraka 1000
2)mshumaa 300
3)karanga
4) chumvi 300

Huo ndomtaji nilioanzanao changamoto nimda sababu badonipo chuo ila likizo nauza hadi 5kg kwajumla nasitembeisana ninatafta masoko

Nabaadhi yamasoko naninataka niongeze mengine nitoe 7kg tukifungua chuo bidhaa ninzuri ninapatikana arusha napia kwamlio fanikiwa naombeni mniungishe iliniweze kupata mtajipindi ntakapomaliza chuo

Upande wafaida nikubwa nanimepanga nje sababu hostel siwez pika nanimepiga hatua sababu kodi najilipia matumizi ila kunawakati nakwama hasakipindi chamitihan
My whatsap namba 0692422869 karibuni tupeane support karanga ninzuri nazakiwango chajuu
PSX_20191023_234657.jpeg
 
Chamsingi niusiogope kuzaraulika kwaupandewangu napendasana wanao nidharau nikiwa nafanya kazizangu zakujingizia kipato sababu ndowananipa morali yakukazana na hasira yakuja kuwaajiri wote
 
vijana wanasumbuliwa na ulimbukeni,yani kijana yupo tayari ashinde bar akisubiri mtu anayemjua aje amnunulie bia,siku imepita.
mimi nili graduate 2011,nikawa machinga wa vyombo mkoani mwanza yaani nachukua chupa za chai 2 tu za chuma,coated with silver kwa nje @tsh 40,000/=afu nikawa nawauzia akina mama wa matajiri hapo jijini kwa unit moja elfu 80,000/=.saa 7 tu nimesharudi geto.
ulimbukeni na ushamba unakuja pale nilipokutana na graduate mmoja ambaye tulisoma wote advance,akaniuliza ina maana siku hizi unafanya hii kazi?nikamjibu ndio ndo inayo niweka mjini na niko huru.akanicheka akaenda zake.
Lakini Mungu si athumani..nashukuru nilipo.
kwa kifupi taifa kama taifa lina kazi ngumu kila kijana anahitaji akae ofisini hata fundi uchundo anataka akae ofisini.
 
Tatizo ni kwamba Most of graduates tunashindwa kuwa wabunifu,katika kipindi hiki ambacho hata wafanyabiashara hali sio nzuri sana, ni lazima nasisi graduates tutumie akili nyingi pia kwenye kutafuta kazI hasa kama hauna connection. Tunalalamika kwamba kazi zinatolewa kindugu au kirafiki lakini ukijiuliza tu mwenyewe Mfano wewe ndo boss na unatafuta mfanyakazi,anatokea graduate wa kwanza anatafuta kazi lakini humfahamu kabisa,upande wa pili anatokea rafiki yako unaemwamini anakwambia anamfahamu graduate ambae anachapa kazi,muaminifu na pia anawafahamu mpaka wazazi wake,kama wewe ndo boss utamchukua mfanyakazi yupi katika position hiyo ya kazi? DIRECTLY wengi watamchagua huyu wa pili maana hata kama ataleta uharibifu wowote inakuwa rahisi kumpata maana vijana wa sasa hivi nao hatueleweki,Kwa hiyo kwa sisi ambao hatuna connection ni lazima kuwa na vitu vya ziada na pia kuwa ubunifu ili kupata kazi.
NJIA RAHISI NINAYO IONA ILI KUPATA KAZI HASA KWA KIPINDI HIKI.
Unajua katika hiki kipindi kila boss anapokutana na graduate anaetafuta kazi wengi wanakuwa na wasiwasi kwamba huyu mtu nikimwajiri nitamlipa kiasi gani na degree,masters au P.h.d yake.mtihani mkubwa uko hapa na maboss wengi wanashindwa kutuajiri sababu kwanza anajua kwamba hatuna experience,pili hajui tabia yako na tatu hali ya biashara pia sio nzuri sana hivyo ana wasi wasi atakulipa kiasi gani uridhike na masters yako au P.h.d yako.Njia rahisi ya kuli ruka hili kweli kama wewe ni graduate unaetafuta kazi kweli na ni mchapa kazi ni kwa kwa kujitofautisha na graduates wengine wanaohangaika na mabahasha mjini kutafuta kazi,WAKATI wao wanatafuta kazi wewe tafuta kitu unachokipenda hasa vitu ambavyo vitakupatia UJUZI na itapendeza zaidi kama ujuzi huo utakuwa katika field ambayo umeisomea.MFANO kama umesomea mambo ya Computer science na unapenda labda mambo ya kudesign Website,graphics design au software development Tafuta Kampuni zako kama tano ambazo kweli zinadeal na hizo kazi za designing,badala ya kuomba kazi wewe OMBA kujitolea katika moja ya kampuni utakayo pata kati ya hizo tano,Kuwa mbunifu pia kwenye kuomba nafasi hizi za kujitolea,Mfano unaweza ukatafuta hata watu watatu wakajifanya ni wateja labda wanataka huduma ya kutengenezewa website ukaenda na mmoja siku ya kwanza kwenye kampuni ya kwanza ukajieleza wewe ndo umemtafuta na umemleta kama mteja,baada ya siku mbili ukampeleka mteja wako wa pili anajifanya anataka kudesigniwa logo, baada ya siku nne ukampeleka mteja wa tatu alafu siku hiyo hiyo ukaacha na barua yako ya kuomba kujitolea,Haki ukifanya hivyo kwa kampuni zote tano huwezi kukosa hata moja.
WORKING PRINCIPLE
Hapa ninavyosema uombe kujitolea haitakuwa kujitolea kweli kweli kama kweli wewe una nia na ni mchapa kazi kweli kweli,kama kweli unachapa kazi haita pita hata mwezi mmoja asilimia kubwa za makampuni wataanza kukulipa japokuwa haitakuwa sawa na degree,masters au p.h.d yako.Kuomba kwa kujitolea itaifanya kampuni kuwa free kukulipa kutokana na uwezo wake maana sio kla kampuni zinauwezo wa kumlipa mfanya kazi kutokana na elimu aliyo nayo.Hata kama wasipokupa kitu komaa maana UJUZI utakaoupata ndio muhimu kuliko hata mshahara ambao wangekulipa kwa elimu uliyo nayo.Njia pekee ya kutukomboa sisi kama graduates sio kupata KAZI bali kuwa na UJUZI,Baada ya muda ukiona umeiva vizuri na pesa wanayokulipa hauridhishwi nayo YOU CAN MOVE ON na kuanza kufanya hizo shuguli mwenyewe.KIUKWELI biashara unayoweza kuianza bila ya kuwa na mtaji kabisa ni kwa kuwa na ujuzi maana EVEN if utapewa mamilioni ya fedha uanzishe biashara labda ya kuuza products,huwezi kuwa na uhakika 100 percent maana biashara pia zinaweza kufa muda wowote,cha kujiuliza utafanya nini baaada ya biashara kufa?UJUZI ni security yako milele na hakuna yeyote anaeweza kuuchukua au kuku nyang'anya,LET US BE CREATIVE.
Umetisha mwanangu.
 
Graduates nendeni mkajiajiri kwenye kilimo, acheni ubwege.

Mtaji wako mkubwa ni nguvu zako na elimu yako. Mashamba yapo ya bure kabisa ktk mikoa ya Katavi, Tanga, na Tabora. Yaani sijui mnataka nn tena?

Umeandika utadhani umekatwa kichwa..

Kuna watu mkibahatika kupata fursa fulani mnadhani kila mtu anaweza kuipata pia. Hivi mfano mtu anayeishi Rorya Mara utamwambia aende kutafuta mashamba Katavi? Wakati huo mtu anatamani apate hata elfu 50 tu aanze kuuza karanga.

Ipo siku...
 
Pesa ya mbegu
Pesa ya nauri na mizungoko yote
Pesa ya jembe
Pesa ya kusafirisha mazao
Pesa ya kula
Pesa ya madawa
Pesa ya malazi
Pesa ya
Pesa ya

Hacheni story zenu nyinyi mlivyopewa pesa na wazazi wenu munaongea tu.
Pesa ya smartphone unayo ila ya hivyo vitu huna?
 
Mkuu Mimi ni mhitimu wa 2018, mpka hapa nilipo leo nilisota sana nilianza na biashara ya mchele lakini baadae nikabadili gia.

Kwasasa ninajishugulisha na biashara ya samaki kutoka mwanza( Sangara na sato), kiukweli ni biashara nzuri sana!!

Unafanyaje? Natumiwa samaki Mwanza - Moshi wakifka nna ofisi nauza wabichi jumla na rejareja, lakini kuna department nyingne nimeweka mdada huwa anakaanga Sangara vipande kuanzia 1500, 2000,na 2500.

Kwa siku nakaanga kilo 10- 15, wakati wabichi inategemea na siku hiyo wateja wangapi wana hamu ya kula samaki lakini sio chini ya kilo 10.

Na oda za supermarket pia huwa nawauzia, na watu wahotelini pia.


Nilianza na kilo 50 za sangara na sato 50kg, now nna uwezo wa kuagiza 200kg. Karbu kwa maswali
IMG_20200415_080311_0.jpeg
 
Mkuu Mimi ni mhitimu wa 2018, mpka hapa nilipo leo nilisota sana nilianza na biashara ya mchele lakini baadae nikabadili gia.

Kwasasa ninajishugulisha na biashara ya samaki kutoka mwanza( Sangara na sato), kiukweli ni biashara nzuri sana!!

Ufanyaje? Natumiwa samaki Mwanza - Moshi wakifka nna ofisi nauza wabichi jumla na rejareja, lakini kuna department nyingne nimeweka mdada huwa anakaanga Sangara vipande kuanzia 1500, 2000,na 2500.

Kwa siku nakaanga kilo 10- 15, wakati wabichi inategemea na siku hiyo wateja wangapi wana hamu ya kula samaki lakini sio chini ya kilo 10.

Na oda za supermarket pia huwa nawauzia, na watu wahotelini pia.


Nilianza na kilo 50 za sangara na sato 50kg, now nna uwezo wa kuagiza 200kg. Karbu kwa maswali View attachment 1503055
Mkuu naomba kujua ulihitimu course gan kama hutojali
 
Mkuu Mimi ni mhitimu wa 2018, mpka hapa nilipo leo nilisota sana nilianza na biashara ya mchele lakini baadae nikabadili gia.

Kwasasa ninajishugulisha na biashara ya samaki kutoka mwanza( Sangara na sato), kiukweli ni biashara nzuri sana!!

Ufanyaje? Natumiwa samaki Mwanza - Moshi wakifka nna ofisi nauza wabichi jumla na rejareja, lakini kuna department nyingne nimeweka mdada huwa anakaanga Sangara vipande kuanzia 1500, 2000,na 2500.

Kwa siku nakaanga kilo 10- 15, wakati wabichi inategemea na siku hiyo wateja wangapi wana hamu ya kula samaki lakini sio chini ya kilo 10.

Na oda za supermarket pia huwa nawauzia, na watu wahotelini pia.


Nilianza na kilo 50 za sangara na sato 50kg, now nna uwezo wa kuagiza 200kg. Karbu kwa maswali View attachment 1503055
Faida yake ipoje?
Changamoto je?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida ipo ndo maana naendelea kufanya.
Kuhusu changamoto zipo, kutumiwa size kubwa( samaki wa kilo 9) wakati soko langu linahtaji samaki size ya Kati ( 1.5kg - 2.5kg). Samaki akiwa mkubwa Sana ni hasara, sababu baada ya kukata kichwa chache kitakuwa na uzito mkubwa ( labda upate mteja wa kununua mzima)

Pili kuna baadhi ya siku unaweza kupokea samaki wawili au watatu wameharibika lakini hapa hutegemea sana na mtu anayekutumia mzigo, kwangu mm hutokea mara chache sana kwa mwezi ata Mara 1, au isitokee kabsa!! Kijana wangu mi mwaminifu mno.

Kubadilika badilika kwa bei, kila week samaki hubadilika bei, inaweza Kupanda au kushuka, ila ikishuka utaenjoy Sana, mfano ikashuka mpka 3400 wakati ww huku unauza 6000 au 6500 na wateja hawajui kama imeshuka!!.

Tatu, hakuna kipimo cha usahihi kwamba hapa ni kilo 1 au nusu Bali nnakata kwa uzoefu tu, uzoefu ndo umenifundisha kuwa nikikata hapa ni kilo 1 au hapa ni nusu kilo, ila ukikosea kukata ni changamoto kumshawishi mteja aongeze pesa kisa eti umekosea kukata.

Ila mpka saiv nna uwezo mzuri kabsa wa kukadilia kuwa hapa ni nusu au hapa ni kilo, mpka wateja huwa wanashangaa sana!!

Umeme, ila kwangu sijawahi kupata hili tatzo mpka nikakosa raha eti umeme umekatika, ukikatika baada ya mda unarudi, Ila kama upo vzr unaweza kununua generator.

Ntakuja kuendelea
Faida yake ipoje?
Changamoto je?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Graduates wengi wana mawazo makubwa ya biashara,mtaji ndio changamoto kubwa,hongereni mlioweza kujichanga na kuanza kwa kidogo.
 
Faida ipo ndo maana naendelea kufanya.
Kuhusu changamoto zipo, kutumiwa size kubwa( samaki wa kilo 9) wakati soko langu linahtaji samaki size ya Kati ( 1.5kg - 2.5kg). Samaki akiwa mkubwa Sana ni hasara, sababu baada ya kukata kichwa chache kitakuwa na uzito mkubwa ( labda upate mteja wa kununua mzima)

Pili kuna baadhi ya siku unaweza kupokea samaki wawili au watatu wameharibika lakini hapa hutegemea sana na mtu anayekutumia mzigo, kwangu mm hutokea mara chache sana kwa mwezi ata Mara 1, au isitokee kabsa!! Kijana wangu mi mwaminifu mno.

Kubadilika badilika kwa bei, kila week samaki hubadilika bei, inaweza Kupanda au kushuka, ila ikishuka utaenjoy Sana, mfano ikashuka mpka 3400 wakati ww huku unauza 6000 au 6500 na wateja hawajui kama imeshuka!!.

Tatu, hakuna kipimo cha usahihi kwamba hapa ni kilo 1 au nusu Bali nnakata kwa uzoefu tu, uzoefu ndo umenifundisha kuwa nikikata hapa ni kilo 1 au hapa ni nusu kilo, ila ukikosea kukata ni changamoto kumshawishi mteja aongeze pesa kisa eti umekosea kukata.

Ila mpka saiv nna uwezo mzuri kabsa wa kukadilia kuwa hapa ni nusu au hapa ni kilo, mpka wateja huwa wanashangaa sana!!

Umeme, ila kwangu sijawahi kupata hili tatzo mpka nikakosa raha eti umeme umekatika, ukikatika baada ya mda unarudi, Ila kama upo vzr unaweza kununua generator.

Ntakuja kuendelea


Hongera mkuu...Ina maana huna ule mzani au sijaelewa
 
Graduates nendeni mkajiajiri kwenye kilimo, acheni ubwege.

Mtaji wako mkubwa ni nguvu zako na elimu yako. Mashamba yapo ya bure kabisa ktk mikoa ya Katavi, Tanga, na Tabora. Yaani sijui mnataka nn tena?
Ww umejiari au unaongea unafanya masihara na kulima ww???
 
Faida ipo ndo maana naendelea kufanya.
Kuhusu changamoto zipo, kutumiwa size kubwa( samaki wa kilo 9) wakati soko langu linahtaji samaki size ya Kati ( 1.5kg - 2.5kg). Samaki akiwa mkubwa Sana ni hasara, sababu baada ya kukata kichwa chache kitakuwa na uzito mkubwa ( labda upate mteja wa kununua mzima)

Pili kuna baadhi ya siku unaweza kupokea samaki wawili au watatu wameharibika lakini hapa hutegemea sana na mtu anayekutumia mzigo, kwangu mm hutokea mara chache sana kwa mwezi ata Mara 1, au isitokee kabsa!! Kijana wangu mi mwaminifu mno.

Kubadilika badilika kwa bei, kila week samaki hubadilika bei, inaweza Kupanda au kushuka, ila ikishuka utaenjoy Sana, mfano ikashuka mpka 3400 wakati ww huku unauza 6000 au 6500 na wateja hawajui kama imeshuka!!.

Tatu, hakuna kipimo cha usahihi kwamba hapa ni kilo 1 au nusu Bali nnakata kwa uzoefu tu, uzoefu ndo umenifundisha kuwa nikikata hapa ni kilo 1 au hapa ni nusu kilo, ila ukikosea kukata ni changamoto kumshawishi mteja aongeze pesa kisa eti umekosea kukata.

Ila mpka saiv nna uwezo mzuri kabsa wa kukadilia kuwa hapa ni nusu au hapa ni kilo, mpka wateja huwa wanashangaa sana!!

Umeme, ila kwangu sijawahi kupata hili tatzo mpka nikakosa raha eti umeme umekatika, ukikatika baada ya mda unarudi, Ila kama upo vzr unaweza kununua generator.

Ntakuja kuendelea
Hongera na akhsante kwa maelezo mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mimi ni mhitimu wa 2018, mpka hapa nilipo leo nilisota sana nilianza na biashara ya mchele lakini baadae nikabadili gia.

Kwasasa ninajishugulisha na biashara ya samaki kutoka mwanza( Sangara na sato), kiukweli ni biashara nzuri sana!!

Unafanyaje? Natumiwa samaki Mwanza - Moshi wakifka nna ofisi nauza wabichi jumla na rejareja, lakini kuna department nyingne nimeweka mdada huwa anakaanga Sangara vipande kuanzia 1500, 2000,na 2500.

Kwa siku nakaanga kilo 10- 15, wakati wabichi inategemea na siku hiyo wateja wangapi wana hamu ya kula samaki lakini sio chini ya kilo 10.

Na oda za supermarket pia huwa nawauzia, na watu wahotelini pia.


Nilianza na kilo 50 za sangara na sato 50kg, now nna uwezo wa kuagiza 200kg. Karbu kwa maswali View attachment 1503055
mkuu namba yako pls
 
Back
Top Bottom