Wale Graduate mlioweza kujiajiri mlitumia mbinu (njia) kuweza kujiajiri?

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Akhsante kwa kunitia moyo.
Mimi nilikuwa siamini katika kufanya hizo biashara.
Nitajaribu,skills kwa kiasi ninazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
My dear You should never quit...try it, try it, try it ...utakuja enjoy sana apo badae...

Good things take time...

Usikubali kuyumbishwa na mtu...
 
Rafk angu mmoja hivi waliunga kikundi wa4
Walifungua kampuni wakiwa chuo
Wakaanza kutafuta tenda ya kazi walizosomea...
Wakaanza kupata kidogo kidogo...wakajishkiza ofisi za wazazi na muda mwingine majumbani

Wamesota sana sana na bado wanapambana lakini their future is too bright tayari matunda wanayaona..wanaishi comfortably saivi ...wana ofisi yao saivi nzuri mnooo ila imepita miaka 8!the hustle is real!

So mnaweza jaribu
Ni idea mojawapo
 
Acha kashfa mwenzio anapotoa hoja,swali alilouliza linaonyesh wazi kijana ni msomi kwa kuwa ameweza kuwaza extra miles,haya tukisema tufanye kilimo Cha mababu zetu tutafika wapi?tunahitaji mapinduzi ya kilimo hicho kilimo Cha mkono atang'oa visiki vingapi?
 
Hongera sana mkuu kwa kuthubutu.
 
Ukinisoma katikati ya mistari sikupigia debe kilimo cha mkono. Ninachopinga viakali hapa ni graduates kukaa wakililia ajira wakikataa kufanya shughuli za kilimo.

Wako tayari kufanya kazi za kuajiriwa zisizo na staha na ujira kidogo. Lkn ukiwagusia suala la kilimo wanapiga kelele za kukosa mitaji . Ndiyo maana nimetoa ushauri kwamba ni vema graduates wabadili fikra. Wakubali kuanza kilimo kwa mtaji wa nguvu na elimu zao ili waanze kuokoteza fedha zitakazo wapelekea kuwa na uwezo wa kifedha. Baada ya hapo sasa ndiyo wanaweza kufanya kilimo biashara.

Kwa ufupi graduates waanze na kilimo malengo ndipo wafanye kilimo biashara. Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Wasitake kuanza na makubwa wakati madogo hawana.
 
Nimependa uzoefu wako hongera sanaπŸ‘πŸ½
 
Mchele ulikuwa unauzaje jumla au rejareja? Na ilikuwaje ikafa namaanisha changamoto ulizokutana nazo
 

Walikua na maono sawa, hongera kwao.
 
pole sana ,japo naamini ushapoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…