wa 100Nakuwa wa ngapi?
Mi sijachochea ila huwa nasema ninacho kionahahaha mndali we ni mchochezi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hua nawatokea then sionani nao maana najua hatanikubali.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Haya shemeji endelea kulia tu hadi mmeo aje
Wewe ni mtabiri wa hali ya hewa?hahahhahah kamuwish bday mcheza porn
ila mm hajanitongoza halaf si uliona nilivyokua nauliza espy anajua
alisema ana jambo anataka kuniambia kutokana na hii hali ya hewa
Mungu alinena naye musa hicho kiatu kivue hicho kiatu kivue [emoji445][emoji445][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Husna muba utamuachia nani?
Na nani tena shemeji....Mia wachache hivyo!!
Kumbe unanitamani tu.
Haya jichanganyeee.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mungu alinena naye musa hicho kiatu kivue hicho kiatu kivue [emoji445][emoji445]
Kwahiyo upendo umeisha? Basi uniwache.Na nani tena shemeji....
Tatizo nilikuwa nakupenda hadi upendo umekwisha kila nakuja kwenu haeleweki umeshaniona dalali wa kuchora mwali
Hahaha....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yo nuts haki vile.
Haujawisha ndiyo kwanza naona kamoyo kameanza kukusukuma damu inisamehee itasukumwa baadaeKwahiyo upendo umeisha? Basi uniwache.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahaha....
Yani sio kwa drama zote hizi.. halafu nashangaa bado haujakolea
Haujawisha ndiyo kwanza naona kamoyo kameanza kukusukuma damu inisamehee itasukumwa baadae
Mmmmh hi ni dangerHivi wewe una nini mwanamke siulishanikataaa lakini? Ukiona natongoza unakuja nizibia riziki.... mimi namtamani espy
Cha mtu huliwa na mtu.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Wahenga walisema cha mtu......
Sasa unataka husna anichezee sindimba?
Nooma saanaMmmmh hi ni danger