Wale mabingwa wa kutongozana kwenye mitandao ya mahaba hebu tukutane hapa kupeana nondo

Wale mabingwa wa kutongozana kwenye mitandao ya mahaba hebu tukutane hapa kupeana nondo

Mi kuna demu mmoja nilimpata fb akaniambia nimtumie nauli aje! Unajua nilifanyaje? Nilitafuta no ya mkatishaji ticket nikamwambia kuna mtu atakuja akifika ntakutumia hela ya malipo ya nauli na gari likianza kuondoka mpatie konda 10,000 ampe njian kwa ajili ya chakula! Manzi aligoma nikampotezea
Iyo noma sana
 
sasa kama hamuwezi kuwapa pesa wanawake msiowajua au kuwaona si mtongoze mnaojuana/kuonana nao?

kila siku wanaume mnakuja kulialia na nyuzi za wanawake wanapenda pesa na mnashauriana jinsi ya kutunyima but nashangaa kila siku sisi pesa tunapewa coz mnatiana ujinga tu kwenye mitandao but in real life mnatupa pesa, hapana chezea ile kitu bana, utapiga kilele na fix humu jukwaani but demu akikuweka kwenye impossible angle lazima pesa ikutoke, endeleeni kudanganyana online mkimaliza mje offline tuwaombe pesa kama kawa coz tunajua lazima mtupe na tusipowaomba nyie mnataka tumwombe nani? hyo ndo nature kama hutaki kutoa pesa hama jinsia uwe KE ili na wewe uombe.
Mie hata ukiwa upline sikupi. Nakudinya nakutapeli nasepa[emoji23][emoji23]
 
Kuna jamaa yangu hivi majuzi amelia sana, alitamba kwamba an import kitu kutoka Arusha.
sasa siku ya siku ikafika, kumuuliza mgeni amefika wapi, yaha ndio majibu alipewa " babe nimepanda basi asubuhi alafu nikakumbuka tuna test chuo jumatatu ikabidi nishuke" nilicheka sana maana jamaa alikuwa ametuma kilo na nusu.
 
Kuna jamaa yangu hivi majuzi amelia sana, alitamba kwamba an import kitu kutoka Arusha.
sasa siku ya siku ikafika, kumuuliza mgeni amefika wapi, yaha ndio majibu alipewa " babe nimepanda basi asubuhi alafu nikakumbuka tuna test chuo jumatatu ikabidi nishuke" nilicheka sana maana jamaa alikuwa ametuma kilo na nusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom