Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwani mimi nawe tunafahamiana?Haha... kwa hiyo umechukia shemeji... mimi na wewe wa kutugombanishaaaa mungu tu bwana hata mod hawawezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mimi nawe tunafahamiana?Haha... kwa hiyo umechukia shemeji... mimi na wewe wa kutugombanishaaaa mungu tu bwana hata mod hawawezi
Nikuulize wewe mwenzanguKwani mimi nawe tunafahamiana?
Hata mimi mwenyewe sijui.Kweli mimi sikujui ebu nikumbusheee [emoji16][emoji16] wewe ndiyo nani vileee
Iyo noma sanaMi kuna demu mmoja nilimpata fb akaniambia nimtumie nauli aje! Unajua nilifanyaje? Nilitafuta no ya mkatishaji ticket nikamwambia kuna mtu atakuja akifika ntakutumia hela ya malipo ya nauli na gari likianza kuondoka mpatie konda 10,000 ampe njian kwa ajili ya chakula! Manzi aligoma nikampotezea
Nenda kachukue..... mtandao unashida hautumi pesaNitumie hela.
Teh.. haya jikiss basi...Hata mimi mwenyewe sijui.
Mtandao ukikaa sawa atatuma.Nenda kachukue..... mtandao unashida hautumi pesa
Nshajikiss.Teh.. haya jikiss basi...
Na hizo lips zako nzur
Kwa hiyo bado uko nae? au tuchangamkie fursaMi siombagi hela mkuu!!! Ila mwanaume ashawai nilalamikia kwanini simuombi hela!!!? Alidhani kuna mtu mwingine pembeni.
Mie hata ukiwa upline sikupi. Nakudinya nakutapeli nasepa[emoji23][emoji23]sasa kama hamuwezi kuwapa pesa wanawake msiowajua au kuwaona si mtongoze mnaojuana/kuonana nao?
kila siku wanaume mnakuja kulialia na nyuzi za wanawake wanapenda pesa na mnashauriana jinsi ya kutunyima but nashangaa kila siku sisi pesa tunapewa coz mnatiana ujinga tu kwenye mitandao but in real life mnatupa pesa, hapana chezea ile kitu bana, utapiga kilele na fix humu jukwaani but demu akikuweka kwenye impossible angle lazima pesa ikutoke, endeleeni kudanganyana online mkimaliza mje offline tuwaombe pesa kama kawa coz tunajua lazima mtupe na tusipowaomba nyie mnataka tumwombe nani? hyo ndo nature kama hutaki kutoa pesa hama jinsia uwe KE ili na wewe uombe.
Hapana siko nae!!! Nafasi bado iko wazi!!!Kwa hiyo bado uko nae? au tuchangamkie fursa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa yangu hivi majuzi amelia sana, alitamba kwamba an import kitu kutoka Arusha.
sasa siku ya siku ikafika, kumuuliza mgeni amefika wapi, yaha ndio majibu alipewa " babe nimepanda basi asubuhi alafu nikakumbuka tuna test chuo jumatatu ikabidi nishuke" nilicheka sana maana jamaa alikuwa ametuma kilo na nusu.
i wish i can paprika now![emoji1][emoji1][emoji1]Hapana siko nae!!! Nafasi bado iko wazi!!!
Nakuja PM fasta. ila usiombe nauli tafadhaliHapana siko nae!!! Nafasi bado iko wazi!!!