Wale mashangazi wa JF yako wapi siku hizi? Au wameolewa ukubwani?

Wale mashangazi wa JF yako wapi siku hizi? Au wameolewa ukubwani?

Duh hata yael majina miss nani sijui miss nini yameisha kweli siku hazigandi!
Daaah! nimewaza kama wewe, kulikuwa na Lady fulani fulani au Miss Nani naniiiiiii sijui au Madam fulanii......
Ila mazee tokea miaka ya 2008 hadi 2022, nadhani wengine wako na wajukuu sasa......
 
Mashangazi mje polepole na tahadhari kubwa.Lile tangazo la kupiga hadi mashangazi halijafutwa.
 
Jamani kama kichwa chauzi kinavyojieleza maana hata kitaani siyaoni au zama zimebadilika maana kipindi kile tulikuwa tunagongana kitaa!vipi sasa siyaoni au yameolewa??
ukubwani nimewamiss kwakweli!!au kilikuwa kipindi cha umri wa stress😀
😀😀😀
Wapo wamekumbatia vibenten vyao.... Wanataka kupewa mimba na vibenten alaf ety watalea wao.....
 
Back
Top Bottom