Wale mashangazi wa JF yako wapi siku hizi? Au wameolewa ukubwani?

Wale mashangazi wa JF yako wapi siku hizi? Au wameolewa ukubwani?

Jamani kama kichwa chauzi kinavyojieleza maana hata kitaani siyaoni au zama zimebadilika maana kipindi kile tulikuwa tunagongana kitaa!vipi sasa siyaoni au yameolewa??
ukubwani nimewamiss kwakweli!!au kilikuwa kipindi cha umri wa stress😀
😀😀😀
 
Auntie nanihii huyu hapa
FB_IMG_1656934756500.jpg
 
Nipo poa za masiku waite mashangazi waje hapa ikiwezekana watag kabisa
Hahahaa. ngoja nivute kumbukumbu
Mamndenyi gfsonwin @passionlady Arabela Preta YNNAH amu Ladymasa Ennie Avemaria kyanaKyoMuhaya CharmingLady @lilyflower @blakiwonami marejesho snowhite Madame B Smile shansarie Ablessed Paloma The secretary @elizabethdominic Zion Daughter ladydoctor @ladyfuraha Munkari Dinazarde Miss Neddy Evelyn Salt Heaven on Earth @maeskron Mrembo by nature Passion Lady Khantwe Valentina janeth1 mwallu Eeka Mangi
uwii few to mention

KakaKiiza utuletee wajomba sasa
Nipo poa za masiku waite mashangazi waje hapa ikiwezekana watag kabisa
 
Mashangazi tupo tu, hakuna tena shughuli za kufunda mwali miaka hii.

Tunangojea royal tour ya jf
 
Jamani kama kichwa chauzi kinavyojieleza maana hata kitaani siyaoni au zama zimebadilika maana kipindi kile tulikuwa tunagongana kitaa! Vipi sasa siwaoni au wameolewa?

Ukubwani nimewamiss kwakweli!!au kilikuwa kipindi cha umri wa stress😀
😀😀😀
Unasemaje dogo mbona unaleta usumbufu huku
 
Mashangazi wapewe ulinzi na sehemu yao peponi,hawa viumbe ndio wamebakia pekee ambao unaweza unganisha bao la pili na tatu kwanza ukimwaga utasikia pole jamani we polee etii.
hawa ma slay queen ni wabaridi kama panga lililolala nje.
 
Mashangazi tupo tu, hakuna tena shughuli za kufunda mwali miaka hii.

Tunangojea royal tour ya jf

Hii Royal Tour ya JF inahitaji uzi wake binafsi…….imenikumbusha trip yetu ya JF mwaka 2010 nafikiri……..
Irudiweeeee…….irudiweeeee……..
@Pakajimmy…@Filipo…..@marejesho…..@Lily Flower….@sweetlady……@madam B…..@watu8…..
 
Jamani kama kichwa chauzi kinavyojieleza maana hata kitaani siyaoni au zama zimebadilika maana kipindi kile tulikuwa tunagongana kitaa! Vipi sasa siwaoni au wameolewa?

Ukubwani nimewamiss kwakweli!!au kilikuwa kipindi cha umri wa stress😀
😀😀😀

Dah……kweli muda ni dhahabu……..
Hebu tujadili hii namna……..
 
Back
Top Bottom